Naomba niwaage

Naomba niwaage

Wala usiogope mkuu mimi toka ijumatatu ya wiki iliyopita nilikua hoi mno. Mbavu,kifua,joint,kichwa,homa na kikohoo

Niliogopa sana yaani kifua na koo vilivyokua vinauma nilijua naondoka asee. Ila leo niko poa kabisa.(Sikuambia yoyote juu ya hiki)

Cha msingi acha Hofu kabisa kama una Kwaya Video angalia sana zinaondoa temptation..

Chukua Baking Soda kijiko cha kula kimoja changanya kwenye glasi kunywa kabla ya kula chochote.Nimepona kifua na Mbavu kwa hili.

Chukua Tangawizi,Asali na liamao uwe unakunywa.
Chukua mnyaa/mnyara ubabue kwenye moto kifogo kisha tafuna meza maji yake kikohoo kitapona.

Au tafuna majani ya mbaazi kifua na Kikohoo vitapona
Mimi nimepona koo kwa mchanganyiko huo
View attachment 1436458
Mkuu pole sana. Ilikuwa ni corona au ni ugonjwa mwingine. Tafadhali share zaidi experience yako ili watu wengine wajifunze. Unajua hapa tuko mberes wengi na hii corona ni lazima itapata baadhi yetu au imeshapata.
 
Ushimen punguza woga mkuu.
Hiyo kitu dawa yake ni kuwa active.Usilale ovyo ovyo.Be active as if unapambana vita.
Sali kwa Mungu.Make sure eneo lako la isolation ni safi mno halina vumbi wala feni au kiyoyozi kinachowaka.
Kula vizuri sana.Alternate vipindi vya kupumzika na kusimama,kutembea,especiaally ukisikia kifua kinabana.
Tumia malimau,tangawizi,muarobaini n.k unywe huo mchanganyiko kama chai haswa nyakati za usiku.
Hali ikiwa ngumu jaribu kuestablish connection upate ile dawa ya Madagascar.
Pole sana ila usihofu.Ukiona watu tunakusimulia hivi ujue tupo wengi kama wewe,tunapambana na kuelekezana uzoefu.Wengi tu kama sie wa medical industry tumepambana na dalili zenyewe kabisa yaani ila Mungu ametusaidia hadi now nafuu.
 
Duh,hizi dawa mnazomtajia inawezekana kabisa zinasaidia ila nyingi ni kubahatisha,kwanini msimshauri aende hospitali mapema ili kama ni Covid-19 aanze matibabu pale na kama sio ndio aendelee na hizo mixer iwapo atagundulika ana hayo matatizo,kwa mfano hapo umetaja mseto na salbutamol,unawezaje kuzitumia hizo dawa kama hujajua una malaria au pumu...!
Hospital ukipimwa ukakutwa na corona nako ni kubaya sana. Wengi wanalalamika mno. Ndiyo maana wengi wameishia kufia nyumbani.
 
Ushmen mbona huongei sasa.utakuja kufa kweli embu sema neno sasa

IF:X=WanaUFIPA+wanamaendeleo,Y=WanaLUMUMBA.
THUS:X=MABADILIKO
Y=WACHUMIA TUMBO!!
 
Uzi unasema,"Sina chaguo Kati ya kuishi au kufa"
Naogopa, moyo wangu una hofu kuu, nipo ugenini na hata baada ya kumaliza kilicho nileta huku pia sinto kuwa na namna ya kujumuika na familia yangu tena (mke na watoto wangu) hadi pale nitakapo jiridhisha na kuthibitika kwamba sija ambukizwa na hata kama nitakuwa positive basi bilashaka nitalazimika kuishi kama wale ama nawale.
Ni mmoja kati ya tunao fanya nao hili.

Alionekana mwenye hofu na alichukuwa tahadhari zote kama ilivyo takikana.

Alipaa na mwewe hata kwenda kwenye moja kati ta vikao vizito kwaajili ya kazizetu hizi.
Baafa ya siku moja, alirejea na ghafla akaanza kujisikia vubaya.

Mwenzetu mmoja alimpeleka hospital na baada ya vipimo alipatikana na joto la mwili likiwa zaidi ya nyuzi joto 45.

Hali hiyo ilipelekea kupumzishwa na kuchukuliwa sampuli kwaajili ya kwenda Dar kwa vipimo na jana majibu yalirejea akiwa positive, na tayari yupo kule ambapo wengine pia wametengwa.

Inasikitisha sana hasa ninapo mtazama yule aliye chukuwa tahafhari kubwa zaidi ya mimi, lakini tayari ameuguwa.
Ni mtu tulikuwa nae mara kadhaa asubuhi hata jioni, ingawa hatukuruhusu kushukana mikono lakini pale ofisini pake palikuwa na maji na sabuni, na pia alitumia sanitizer kila alipo gusa chochote.

Kwa siku mbili mfululizo alinibeba na gari lake akinirudisha hotel nilipo fikia kwaajili ya mapumziko.

Yes tulizaliwa ili tuishi na kisha tukufe. Pamoja na kwamba ninatambua kwamba nitakufa, lakini ukweli sijioni kama nipo tayari kukufa ama kwa lugha nyepesi hata sina haraka ya kutangulia huko.

Anyway, kikubwa ninawasihi tena mchukuwa tahadhari wakuu maana hii kitu inaogopesha mwili na roho. Pia unapo patwa na hali kama hii hata furaha hutoweka na sura hukosa nuru.

Kwakuwa sijajuwa hatma yangu, basi nimeamua kuzidi kuchukuwa tahadhari na nimeamua kutumia vitu ninavyo shauriwa na wataalam ili kuingeza vitamin mwilini inayo pambana na hili tatizo.

Mengine, nimeamua kumuachia Mungu maana yeye ndiye alie niumba na anaijuwa kesho yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jirani Pole jamani, ninini mbaya? Tunakuombea upone urudi tuendeleze hii familia yetu kubwa ya JF.
 
Mkuu usikate tamaa fanya hivi

Anza dosi ya mchanganyiko wa kuchemsha Wa limao ,tangawizi ,kitunguu swahum na chumvi kila wakati wakati huo pata dawa za kupunguza maumivu,weka antibiotic Kali ka ma azithromycin,na kama homa Kali piga na mseto inaweza kua malaria kama shida kupumu chukua salbutamol inhal.Tuliza kichwa punguza mawazo na kwa maelezo hayo ni matumain utaludi hapa janvin kwa kicheko
asante
 
Corona ipo mtaani na watu wanaugua... Acha kuogopa Mimi nimepata maambukizi ya Corona mara mbili na mara zote nimepona bila kunywa hata Panadol.

Mwanaume acha kulialia, show us your strength and endurance kwenye magumu Kama haya. As survival chance Ni kubwa Kama wewe Ni kijana usie na chronic disease, you are safe... And so why worrying?

Na Kama hujui hofu ndio adui yako mkubwa Sasa, watu wengi walikuwa na ukimwi bila kujua na waliishi kwa Amani kwa miaka mingi ila walipoambiwa tu Wanao ukimwi HIV walikufa mapema kwa sababu walikaribisha hofu.

Fear is the darkenes
Hope is the lantern.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tunaomba mbinu ulizotumia
 
Oooh ushimen sikupati hewani mkuu,
IMG_20200501_165208.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asee bro kama uko serious unaumwa basi kikubwa cha kuanza nacho ktk hayo mapambano ya kutetea pumzi ni kujenga confidence ya ushindi, ukijipa hofu ilopitiliza hyo ndio itakuondoa na wala si huo ugonjwa wako. Kuwa strong mwanaume kaza kwa kuamini utashinda!! Mungu mmoja yu nawe atakushindisha pamoja na hatua mbalimbali za kitabibu unazochukua!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom