Naomba msaada wa namna ya kuendana na mwanaume mwenye changamoto za kiuchumi

Habari zenu wote, naombeni ushauri kwa hili

Mimi ni mdada wa miaka 27 ni mjasiriamali tu , nipo kwenye mahusiano na mwanaume miezi 3 sasa.

Mpenzi wangu ni miongoni mwa watanzania wanaopambana na kutafuta namna ya kutoboa kwenye suala zima la ajira, kwahiyo kutokana na hilo amekuwa ni mtu wa mawazo sana kiasi kwamba naona sasa ina athiri hata mahusiano yetu.

Mwanzoni alikuwa sawa tu alikuwa muwazi kunishirikisha harakati zake nami nilikua nampa moyo kwamba apambane tu atafanikiwa, kuna mizunguko alikuwa anahitajika kufanya ili kufuatilia mambo yake na nilikua najiongeza tu kwamba mwenzangu amefulia na atahitaji nauli nafanya kumtumia namwambia ikusaidie kwenye mizunguko yako, anashukuru.

Tatizo limeanza hivi karibuni ameanza kuwa mtu wa majibu mafupi mafupi tu, mawasiliano yetu sio kama mwanzo tena japo wote tupo mkoa mmoja.
Tukisha juliana hali asubuhi imetoka hiyo mpaka usiku na hapo nitaulizwa za asubuhi, nitajibu salama za wewe? atajibu tu salama nisipoendeleza conversation ndo kimya tutakaa mpaka usiku usiku mwema.

Huwa najaribu kumuuliza vipi mbona inakuwa hivi unakuwa kama huna interest, atanijibu kwani ikoje mbona kawaida au kuna kitu unataka kaniambia niambie, nikiona hivo basi naona nikae kimya maana ni mtu ambaye huwa anashutumu sana wanawake tunapenda kukuza vitu kwahiyo nanyamaza.

Jana pia nikaona nimuulize tena akanijibu ni kwasababu wewe unasemaga upo bize, kiukweli nilishangaa nikamuuliza kuwa mimi bize inakuwaje uwe hivo kwani kuna siku umehitaji tuwe wote nikakataa mbona huwa naacha kazi tunakuwa wote? na nikikwambia nipo bize nakuwa na order ya mteja natakiwa kukamilisha siku hiyo hivyo nakuambia tu ukweli, akanijibu kwani mimi nimesema huwa huna muda na mimi, au kuna kitu unataka kaniambia niambie, kiukweli nilichukia nikamjibu tu sina.

Kwakifupi naelewa situation anayopitia katika kufikia harakati zake, na ni kitu kina muathiri kifikra na kimwili, sometimes inaweza kufanya hata aka loose interest kwenye mahusiano yetu as anaona vitu haviendi, hamna msaada anapata, akiona na mimi nimemuambia nimebanana ndo kabisaa anaona nazingua pia, najua ndio nakuwaga busy lakini nami najaribu kupambana na hali yangu maana naelewa maisha yangu mwenyewe nayopitia maana kesho na keshokutwa sina hela sina pa kuomba maana najitegemea mwenyewe, ila najitahidi mda mwingine niahirishe kazi ili tuwe wote. Sasa kwa hili linaloendelea nashindwa kuelewa niende naye vipi yani maana mawasiliano yanaenda kufa mwisho wa siku mapenzi yanaenda kufa.

Najaribu tu kuwaza labda nimpe space labda namkwaza hata sielewi.
Jivunie kuwa mwanamke awali ya vyote. Then unajielewa saan, hebu try kumpa mda kwanza then hebu treaty him the way yeye anavyo kutreat ww. Kama akinyamaza juwa ni normal kwake na ww lipoke hilo but kama ikitokea amechukizwa na unavyo mtreat then mwambie ukweli kwamba na ww moyo wako the way unavyo feel anavyo kutreat. Upo kwenye mahusiano unapaswa kuwa protected na kupewa mda na nafasi ya kufeel kweli upo kweny mahusiano na moja ya nafasi hizo ni kuwasiliana mara kwa mara hata kams kweli mtu yupo bussy lazima kuna mda atakutafuta tu no matter what's. Hakuna ubize kweny mahusiano ndugu. Keep that in mind
 
Jivunie kuwa mwanamke awali ya vyote. Then unajielewa saan, hebu try kumpa mda kwanza then hebu treaty him the way yeye anavyo kutreat ww. Kama akinyamaza juwa ni normal kwake na ww lipoke hilo but kama ikitokea amechukizwa na unavyo mtreat then mwambie ukweli kwamba na ww moyo wako the way unavyo feel anavyo kutreat. Upo kwenye mahusiano unapaswa kuwa protected na kupewa mda na nafasi ya kufeel kweli upo kweny mahusiano na moja ya nafasi hizo ni kuwasiliana mara kwa mara hata kams kweli mtu yupo bussy lazima kuna mda atakutafuta tu no matter what's. Hakuna ubize kweny mahusiano ndugu. Keep that in mind
Mawasiliano yaliyobaki sasa ni good morning na good night.
 
Nachoweza sema hapo ni experience is the beat teacher...acha kabisa huo wakati unakuwa na stress za kufa mtu.

Unfortunately for me demu niliekjwa nae ndio akanibwagia matusi ya huna mbele wala nyuma kama mche wa sabuni.
 
Miezi 3 huja mpatia kitumbua ndio tatizo lenyewe
Kabisa kama hajampa kweli hili ndio tatizo la Kwanza Jamaa ana muona manzi miyeyusho

Ila kama amempa halafu hapa anatuficha Basi Kuna mambo mawili yatakuwa Yana msibu huyo jamaa huwenda anasumbuliwa na stress za kazi kweli au kwakuwa amesha muonja binti wa watu so hataki tena mazoea nae anataka kumbwaga
 
Habari zenu wote, naombeni ushauri kwa hili

Mimi ni mdada wa miaka 27 ni mjasiriamali tu , nipo kwenye mahusiano na mwanaume miezi 3 sasa.

Mpenzi wangu ni miongoni mwa watanzania wanaopambana na kutafuta namna ya kutoboa kwenye suala zima la ajira, kwahiyo kutokana na hilo amekuwa ni mtu wa mawazo sana kiasi kwamba naona sasa ina athiri hata mahusiano yetu.

Mwanzoni alikuwa sawa tu alikuwa muwazi kunishirikisha harakati zake nami nilikua nampa moyo kwamba apambane tu atafanikiwa, kuna mizunguko alikuwa anahitajika kufanya ili kufuatilia mambo yake na nilikua najiongeza tu kwamba mwenzangu amefulia na atahitaji nauli nafanya kumtumia namwambia ikusaidie kwenye mizunguko yako, anashukuru.

Tatizo limeanza hivi karibuni ameanza kuwa mtu wa majibu mafupi mafupi tu, mawasiliano yetu sio kama mwanzo tena japo wote tupo mkoa mmoja.
Tukisha juliana hali asubuhi imetoka hiyo mpaka usiku na hapo nitaulizwa za asubuhi, nitajibu salama za wewe? atajibu tu salama nisipoendeleza conversation ndo kimya tutakaa mpaka usiku usiku mwema.

Huwa najaribu kumuuliza vipi mbona inakuwa hivi unakuwa kama huna interest, atanijibu kwani ikoje mbona kawaida au kuna kitu unataka kaniambia niambie, nikiona hivo basi naona nikae kimya maana ni mtu ambaye huwa anashutumu sana wanawake tunapenda kukuza vitu kwahiyo nanyamaza.

Jana pia nikaona nimuulize tena akanijibu ni kwasababu wewe unasemaga upo bize, kiukweli nilishangaa nikamuuliza kuwa mimi bize inakuwaje uwe hivo kwani kuna siku umehitaji tuwe wote nikakataa mbona huwa naacha kazi tunakuwa wote? na nikikwambia nipo bize nakuwa na order ya mteja natakiwa kukamilisha siku hiyo hivyo nakuambia tu ukweli, akanijibu kwani mimi nimesema huwa huna muda na mimi, au kuna kitu unataka kaniambia niambie, kiukweli nilichukia nikamjibu tu sina.

Kwakifupi naelewa situation anayopitia katika kufikia harakati zake, na ni kitu kina muathiri kifikra na kimwili, sometimes inaweza kufanya hata aka loose interest kwenye mahusiano yetu as anaona vitu haviendi, hamna msaada anapata, akiona na mimi nimemuambia nimebanana ndo kabisaa anaona nazingua pia, najua ndio nakuwaga busy lakini nami najaribu kupambana na hali yangu maana naelewa maisha yangu mwenyewe nayopitia maana kesho na keshokutwa sina hela sina pa kuomba maana najitegemea mwenyewe, ila najitahidi mda mwingine niahirishe kazi ili tuwe wote. Sasa kwa hili linaloendelea nashindwa kuelewa niende naye vipi yani maana mawasiliano yanaenda kufa mwisho wa siku mapenzi yanaenda kufa.

Najaribu tu kuwaza labda nimpe space labda namkwaza hata sielewi.
boyfriend hapewi hela kifupi kudate na mwanaume asiye na mishe ni balaaa.
Au nasema uongo wanaume wenzangu??
 
Mpe space Hilo ndio bora kwa sasa. Usidhani ni ajira tu angalia usitumiwe ukaachwa akifanikiwa. Kwa jinsi ulivyoelezea ulipaswa kuwa faraja na yeye aone hivo,ila haoni. Mpe space akizingua angalia maisha mengine,muda mfupi mambo mengi.
 
Mawasiliano yaliyobaki sasa ni good morning na good night.
Nooo....! Hayo siyo maswasiliano kwa wapendanao. Navyo jua mm kuna mawasiliano more than good morning and good nyt. You know s9metimes kunakupigiana simu atleast usikie tu voice ya yule unaye mpenda mostly kabla ya kulala na ikitokea hakupigii au hamuwasiliani japo hata kwa txt mara kwa mara then hapo nothing like love can exist between both of you. Better you take time thinking of these
 
Pole sana dia,iyo hali ilishawahi nitokea,nlikuwa na boyfriend alikuwa ananihudumia sana yaani nliishi kwa kudekezwa sana mpaka rafiki zangu wakawa wanasema sabbu sio type yangu ndio maana ananipenda sana na haikuwa kweli nlimpenda sana,ila baadae akapata shida biashara yake ikapata hasara kubwa na hakuwahi kuniambia,nlikuwa namuona jamaa usiku mara yupo macho usiku mnene,anapungua taratibu ikiwa napika vinzuri tu,na hata Ada ya mdogo angu akalipa kumbe amekopa sehemu,tukaenda kidogo nkasafiri kwenda zanzibar kufata mzigo wa urembo,hapo tulikuwa tumekwazana kawaida tu na nlipata chance maana alikuwa hataki nifanye chochote(mtaji nlikuwa najichanga anazonipa)nikiwa narudi sasa najisemea moyoni kuwa,nikifika ntakubali jamaa aende home maana alitaka aje nlimzuia kuwa sina ishu ya kufanya home watanielewa,acha nitafute ajira,Jamani nafika mkoani kwetu,siku inayofuata rafiki yake ananiambia ameuza kila kitu kakimbilia nje kidogo na Tz(nchi za Jirani)nliumia na nkapewa picha nzima kuwa alifulia ila bado alikuwa hataki nijue na aliingia madeni ili niishi alivotaka,NGOja nifupisheeee(nlifanikiwa kumrudisha Tz ila daah ikawa kama ndio namuumiza zaidi,alikuwa mnyongeee,hataki kula,kujilalamisha,yaani alikonda nkawa nalia tu,hapo tumeenda kuishi kwa rafiki yake,naenda kupika kule ndio narudi home,ikaendaa akasema hataki kukaa kwa rafiki yake Bora arudi kwao,na mimi nlikuwa nampenda na namiss zile bata na kudekezwa,najisemea atarudi upya,ntaondoka nani atanifanyia hivi?nkaenda nae kwa mama yangu,nkatoa taa ya geto,kukawa giza mda wote,nmeishi nae kwa mama week nzima,wakitoka asubuhi ndio anajiachia,saa 2 anarudi geto,akachoka akaomba aende kwao,toka hapo ndio mapenzi yakaanza kuisha,alivofika huko,nampigia hapokei,hajibu sms,nampigia mama yake ananiambia anashida amelala,nliangaika mnoo kila nikikimbuka wema wake,Ndio ivo bana,Mwanaume akifulia huwa anakosa nguvu hata ya kuendesha uhusiano,anajishtukia sana.Binafsi mpaka Leo namwambia aondoke kwa rafiki yake,ajitegemee tuanze upya,bado ajiamini na Mimi nshasimama japo sio sana lakn bado mnyonge,Niwatuma wakubwa wakamuambie nampenda yeye sio anayowaza.Yaani huku nje nakutana na watoto wa Farao wasumbufuu,Mungu mpe wepesi wa kutambua kila kitu kinapita na hakuna jipya,Anayopitia wakipitia wengii na mimi ndio mwanamke wa kumvusha.Namuombea sana na sadaka uwa natoa kuwa asije nifuta kabsa,aniangalie mimi sio vitu vya Duniani.
 
Back
Top Bottom