ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 43,606
- 89,930
Wewe huwezi?Kweli asee kuna wanawake wana moyo mnoo
Wewe huwezi?Kweli asee kuna wanawake wana moyo mnoo
NawezaWewe huwezi?
Sidhani, hiyo nayo ni wito ujuwe, wachache sana wanaweza!Naweza
We endelea kuona mzaha. Umri unaenda huo unakazana kulia lia na mambo yasiyo na faida kwako. Utajiaharibia future yako na watoto wako.we ndugu umejua kunichekesha nasubiri muujiza wa mwamposa.
Ha ha ha haSidhani, hiyo nayo ni wito ujuwe, wachache sana wanaweza!
Ujue umeongea point kubwa tuTruth be told..
Mwanaume ukiwa huna hela au michongo haitiki hakika feeling zake huwa ni strong kuliko mapenzi... Hasa ndio demu awe na kipato kukuzidi ndio kabisaaaa yaani unaona hapa nachukuliwa poa...
Huyo mwamba yupo kwenye hio hali so jitahidi mpe nafasi,, watu kama hao mda mwingi wanapenda stori za success kuliko hadithi za mapenzi so kama unaongea nae balance hilo.
Infact hakuna formula wewe pambana unavoweza... Mapenzi ni uFalla sana sometimes
Ukiwa huna hela hakyanani ni bora kuweka mahusiano pembeni manake unaweza kuwa kero kwa mwenzako, walau ya kubadilisha mboga tu iwepo.Ujue umeongea point kubwa tu
Mimi binafsi nikiwa sina hela halafu ukaniletea habari za sijui baby nakupenda, mara nataka sex uwii huwa nasikia tu kichefuchefu, na ntakuchukia balaa
Na hapo mi ni mwanamke je mwanaume??
Maisha yamekuwa tight sana aisee, kwa sasa twende kwa kusaidiana tu, hatutaki kufa na tai shingoni kama wazee wetu, binafsi nataka nigonge 85, nikijifanya nabeba kila kitu hata 60 itakuwa mbindeHa ha ha ha
Mnapeenda wenyewe wanawake dizain ya mleta uzi
Kabisa yaanUkiwa huna hela hakyanani ni bora kuweka mahusiano pembeni manake unaweza kuwa kero kwa mwenzako, walau ya kubadilisha mboga tu iwepo.
nenda naye kwa akili usimpe mzigo hadi mfunge naye ndoa kama unampenda, pia usimtafute mara kwa mara na yeye asipokutafuta
Pole Sana hii Hali ipo wengi tuna pitia Kuna Lakin kitu muhimi Sana ni faraja Ina hitajka Sana kwa uyo bwanaHabari zenu wote, naombeni ushauri kwa hili
Mimi ni mdada wa miaka 27 ni mjasiriamali tu , nipo kwenye mahusiano na mwanaume miezi 3 sasa.
Mpenzi wangu ni miongoni mwa watanzania wanaopambana na kutafuta namna ya kutoboa kwenye suala zima la ajira, kwahiyo kutokana na hilo amekuwa ni mtu wa mawazo sana kiasi kwamba naona sasa ina athiri hata mahusiano yetu.
Mwanzoni alikuwa sawa tu alikuwa muwazi kunishirikisha harakati zake nami nilikua nampa moyo kwamba apambane tu atafanikiwa, kuna mizunguko alikuwa anahitajika kufanya ili kufuatilia mambo yake na nilikua najiongeza tu kwamba mwenzangu amefulia na atahitaji nauli nafanya kumtumia namwambia ikusaidie kwenye mizunguko yako, anashukuru.
Tatizo limeanza hivi karibuni ameanza kuwa mtu wa majibu mafupi mafupi tu, mawasiliano yetu sio kama mwanzo tena japo wote tupo mkoa mmoja.
Tukisha juliana hali asubuhi imetoka hiyo mpaka usiku na hapo nitaulizwa za asubuhi, nitajibu salama za wewe? atajibu tu salama nisipoendeleza conversation ndo kimya tutakaa mpaka usiku usiku mwema.
Huwa najaribu kumuuliza vipi mbona inakuwa hivi unakuwa kama huna interest, atanijibu kwani ikoje mbona kawaida au kuna kitu unataka kaniambia niambie, nikiona hivo basi naona nikae kimya maana ni mtu ambaye huwa anashutumu sana wanawake tunapenda kukuza vitu kwahiyo nanyamaza.
Jana pia nikaona nimuulize tena akanijibu ni kwasababu wewe unasemaga upo bize, kiukweli nilishangaa nikamuuliza kuwa mimi bize inakuwaje uwe hivo kwani kuna siku umehitaji tuwe wote nikakataa mbona huwa naacha kazi tunakuwa wote? na nikikwambia nipo bize nakuwa na order ya mteja natakiwa kukamilisha siku hiyo hivyo nakuambia tu ukweli, akanijibu kwani mimi nimesema huwa huna muda na mimi, au kuna kitu unataka kaniambia niambie, kiukweli nilichukia nikamjibu tu sina.
Kwakifupi naelewa situation anayopitia katika kufikia harakati zake, na ni kitu kina muathiri kifikra na kimwili, sometimes inaweza kufanya hata aka loose interest kwenye mahusiano yetu as anaona vitu haviendi, hamna msaada anapata, akiona na mimi nimemuambia nimebanana ndo kabisaa anaona nazingua pia, najua ndio nakuwaga busy lakini nami najaribu kupambana na hali yangu maana naelewa maisha yangu mwenyewe nayopitia maana kesho na keshokutwa sina hela sina pa kuomba maana najitegemea mwenyewe, ila najitahidi mda mwingine niahirishe kazi ili tuwe wote. Sasa kwa hili linaloendelea nashindwa kuelewa niende naye vipi yani maana mawasiliano yanaenda kufa mwisho wa siku mapenzi yanaenda kufa.
Najaribu tu kuwaza labda nimpe space labda namkwaza hata sielewi.
Ujue umeongea point kubwa tu
Mimi binafsi nikiwa sina hela halafu ukaniletea habari za sijui baby nakupenda, mara nataka sex uwii huwa nasikia tu kichefuchefu, na ntakuchukia balaa
Na hapo mi ni mwanamke je mwanaume??
Take it easy,Give him a hug.That all he needs for now.YOU on His SideHabari zenu wote, naombeni ushauri kwa hili
Mimi ni mdada wa miaka 27 ni mjasiriamali tu , nipo kwenye mahusiano na mwanaume miezi 3 sasa.
Mpenzi wangu ni miongoni mwa watanzania wanaopambana na kutafuta namna ya kutoboa kwenye suala zima la ajira, kwahiyo kutokana na hilo amekuwa ni mtu wa mawazo sana kiasi kwamba naona sasa ina athiri hata mahusiano yetu.
Mwanzoni alikuwa sawa tu alikuwa muwazi kunishirikisha harakati zake nami nilikua nampa moyo kwamba apambane tu atafanikiwa, kuna mizunguko alikuwa anahitajika kufanya ili kufuatilia mambo yake na nilikua najiongeza tu kwamba mwenzangu amefulia na atahitaji nauli nafanya kumtumia namwambia ikusaidie kwenye mizunguko yako, anashukuru.
Tatizo limeanza hivi karibuni ameanza kuwa mtu wa majibu mafupi mafupi tu, mawasiliano yetu sio kama mwanzo tena japo wote tupo mkoa mmoja.
Tukisha juliana hali asubuhi imetoka hiyo mpaka usiku na hapo nitaulizwa za asubuhi, nitajibu salama za wewe? atajibu tu salama nisipoendeleza conversation ndo kimya tutakaa mpaka usiku usiku mwema.
Huwa najaribu kumuuliza vipi mbona inakuwa hivi unakuwa kama huna interest, atanijibu kwani ikoje mbona kawaida au kuna kitu unataka kaniambia niambie, nikiona hivo basi naona nikae kimya maana ni mtu ambaye huwa anashutumu sana wanawake tunapenda kukuza vitu kwahiyo nanyamaza.
Jana pia nikaona nimuulize tena akanijibu ni kwasababu wewe unasemaga upo bize, kiukweli nilishangaa nikamuuliza kuwa mimi bize inakuwaje uwe hivo kwani kuna siku umehitaji tuwe wote nikakataa mbona huwa naacha kazi tunakuwa wote? na nikikwambia nipo bize nakuwa na order ya mteja natakiwa kukamilisha siku hiyo hivyo nakuambia tu ukweli, akanijibu kwani mimi nimesema huwa huna muda na mimi, au kuna kitu unataka kaniambia niambie, kiukweli nilichukia nikamjibu tu sina.
Kwakifupi naelewa situation anayopitia katika kufikia harakati zake, na ni kitu kina muathiri kifikra na kimwili, sometimes inaweza kufanya hata aka loose interest kwenye mahusiano yetu as anaona vitu haviendi, hamna msaada anapata, akiona na mimi nimemuambia nimebanana ndo kabisaa anaona nazingua pia, najua ndio nakuwaga busy lakini nami najaribu kupambana na hali yangu maana naelewa maisha yangu mwenyewe nayopitia maana kesho na keshokutwa sina hela sina pa kuomba maana najitegemea mwenyewe, ila najitahidi mda mwingine niahirishe kazi ili tuwe wote. Sasa kwa hili linaloendelea nashindwa kuelewa niende naye vipi yani maana mawasiliano yanaenda kufa mwisho wa siku mapenzi yanaenda kufa.
Najaribu tu kuwaza labda nimpe space labda namkwaza hata sielewi.