Nyingi ni vijiwe vya kudangia tu, Kwa sasa ukimpata mtaalam wa make up ndio angalau unaweza kuiona biashara inayofanyika na kupamba maharusi.Habari zenu wadau,
Nilikuwa naomba msaada mwenye ujuzi na saloon za kike.
Yaani muundo wake, gharama zake, changamoto zake na hata faida zake na mengneyo kwa ujumla.