Knock life
JF-Expert Member
- Oct 11, 2024
- 2,468
- 7,733
Naomba kuuliza kwa wale ambao mmezaliwa kijijini je mkiwa mnafikiria jambo lolote huwa mnatumia lugha zenu za Asili.?
Maana Mimi binafsi huwa natumia kiswahili., kwakuwa sijakulia kijijini , .
Maana Mimi binafsi huwa natumia kiswahili., kwakuwa sijakulia kijijini , .