Naomba kuuliza kwa wale ambao mmezaliwa na kukulia kijijini je ukiwa unafikiria jambo huwa unafikiria kwa lugha yako ya Asili mfano kisukuma n.k

Naomba kuuliza kwa wale ambao mmezaliwa na kukulia kijijini je ukiwa unafikiria jambo huwa unafikiria kwa lugha yako ya Asili mfano kisukuma n.k

Knock life

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2024
Posts
2,468
Reaction score
7,733
Naomba kuuliza kwa wale ambao mmezaliwa kijijini je mkiwa mnafikiria jambo lolote huwa mnatumia lugha zenu za Asili.?

Maana Mimi binafsi huwa natumia kiswahili., kwakuwa sijakulia kijijini , .
 
Co-asking, na kuota huwa wanaota kilugha?
 
Naomba kuuliza kwa wale ambao mmezaliwa kijijini je mkiwa mnafikiria jambo lolote huwa mnatumia lugha zenu za Asili.?

Maana Mimi binafsi huwa natumia kiswahili., kwakuwa sijakulia kijijini , .
Mimi hata ndoto naota kwa kilugha
 
Yah kisukuma mwanzo mwisho Kisha kiswahili huja taratibu baadae kiingereza na gifaransa
 
Back
Top Bottom