yaani kucheza mazoezi na simba unajisifuWale wa simba nao hawalipwi si ndio .. FICHA UJINGA WAKO KIDOGO KUMBAAAFU.
yaani kucheza mazoezi na simba unajisifuWale wa simba nao hawalipwi si ndio .. FICHA UJINGA WAKO KIDOGO KUMBAAAFU.
Weka na data za chama alipokua egyptyMzee hizo ni data sio maneno yangu nimejitungia, kama kweli unapenda soka ulipaswa uje na data za ku disprove, hivyo ndivyo mambo hufanyika
Aucho ni DLM na wala sio AMF wala CAMUnazungumzia aucho egypt kua alikua kwenye mgogoro kua ndio sababu ya kutokuwekwa hata kwenye squad as if kwamba angekuwepo angeleta impact, wakati katika hizo mechi tatu alizocheza na timu yake ya taifa kwa dakika zote 90 hakuna goli wala assist aliyopata zaidi ya yellow card?
Yani kutoka 2013-2021 mshkaji ana assit 2, halafu bado mnamuita mchezaji si utani huu?
Weka wewe, nimeweka na data za national team hapo na bado aucho kafichwa unataka kutuaminisha kua record za chama kule egypt zitakua worst kama aucho?Weka na data za chama alipokua egypty
Acha ujinga.Hakuna kiungo yoyote wa chini kwa apa Tanzania si Kwasasa Ila kwa miaka ya hivi karibuni anaye mkaribia Aucho.
Jamaa ana nguvu lakini anacheza kwa akili sana mtu wa mwisho katika mpira wa bongo ambaye kwa akili na Kasi ana mzidi Aucho ni marehemu Method Mogela Ila kwenye nguvu ata method anazidiwa.
Achana na akina chuji au Matola jamaa anawazidi sana. Uyo Thadeo Lwanga kwenye timu ya taifa ana sugua kwa Aucho. Sipati picha Aucho na Mukoko wakicheza pamoja kitatokea Nini. Mkude ata katika viungo Bora kumi wa chini walio wahi kutokea Simba hawezi kuwemo.
Bila shaka Unahitaji Bima ya Afya.hukuona au unabisha tu
Fiston Mayele aliweza kukupa jibu kuhusu Muunganiko ipalle Taifa.yanga ishapata muunganiko au bado? jibu kwanza. feisal tangu ajiunge na yanga hajabeba kombe zaidi ya ubao
Kwanza Niku ulize, mkude ni kiungo wa kumshambulia au kiungo wa kuzuia maana tusije tukawa tuna tofautiana uelewa!!!.Acha ujinga.
Ukiondoa Seleman Matola hakuna kiungo mwingine aliyecheza kwa mafanikio makubwa pale Simba kama Mkude
Na mpaka sasa kwa karne ya 21 hakujatokea hapa Tanzania midfielder bora kama Mkude.
Katika Ligi kuu ya Tanzania kuna wachezaji watatu tu wa kigeni wenye uwezo unaofanana ambao huwezi kulinganisha na wengine.
1.Clatous Chama
2. Patrick Mutesa Mafisango
3. Haruna Niyonzima.
Mkude anacheza nafasi hiyo hiyo anayocheza AuchoKwanza Niku ulize, mkude ni kiungo wa kumshambulia au kiungo wa kuzuia maana tusije tukawa tuna tofautiana uelewa!!!.
Ur talking as a gay man who is in love with Khalid Aucho.. acha ushoga.Nilijua tu wapenda timu watakuja na mawazo ya namna hii but kwa watu ambao ni wanasoka i mean wale wenzangu na mm wapenda soka tunasema kwa pamoja kwamba Aucho ni Classic player, mkuu acheni kupenda timu pendeni mpira utaishi vizuri sana kwenye maswala ya soka.
Mkuu mie kingereza sikijui,ndo kumaanisha umenitukana tusi jipya?,punguza hasira mkuu,maisha ni maraisi sana.Ur talking as a gay man who is in love with Khalid Aucho.. acha ushoga.
Mwanaume unamsifia vp mwanaume MWENZAKO kiasi hicho
Fact hao mashabiki wa makolo ttzo lao wamejimilikisha kila zuri liwe upande wao wapuuzi sana binafsi nampongeza hyu mtani katiloa mawazo yake kimpira hasa sio ushabikiInawezekana yupo yanga na pia kama timu huoni kinachofanyika labda kwa mapenzi yako na timu fulani..lkn penye ukweli jaribu kukubali tu,uwezo wa mchezaji mmoja mmoja Aucho ni kiungo hodari sana kuanzia mikimbio yake mpk pasi zake...
labda unaweza usipate unachotaraji kulingana na muunganiko wa timu au mfumo wa mwalimu tu..
mbona mashabiki wa yanga wanamkubali sana kiungo fundi Bwallya,hata Chama alikubalika sana na wana yanga..sasa kwann mtu anapotoa mtazamo kwa Aucho yani unapingaaaa kisa yupo timu pinzan
mlivokua hamna akili sasa akisajiliwa simba utamsifia hapa hadi unye iwe kama yale ya Morrison mlivo mkataa akiwa yanga.
Mtoa mada kongole kwako kwa kuweka unafki pemben na kuongea ukweli
Morrison alisajiliwa na nani na ukamchukua wapi acheni kujitoa ufahamu nyie ndio baba Simba na ww Simba kisa tonge la ugaliUmeanza kufuatilia soka lini?!
Nilikuwa namquote GentaMkuu mie kingereza sikijui,ndo kumaanisha umenitukana tusi jipya?,punguza hasira mkuu,maisha ni maraisi sana.
Poa mkuuNilikuwa namquote Genta
Mkude na Aucho ni mbingu na Ardhi, mkude afikii ata uwezo wa chuji achana na Aucho. Khalid Aucho ana CAPS 50 za nationational team ya Uganda ambayo kwenye Ranks za Fiffa Uganda Ina soma 74-76 kwa miaka Mingi achana na sisi wa 130-140.Mkude anacheza nafasi hiyo hiyo anayocheza Aucho
Unasemaje?
Hata Morrison alivyokuwa Yanga alipondwa sana kuwa hajui mpira zaidi ya kuupanda mpira. Leo hii yupo Simba kila mtu anamwona ndio Star wa Simba kuliko mchezaji yeyote. Binadamu ndivyo tulivyo!mchezaji wa maana hawezi kubali sajiliwa na yanga. yaani asionekane kinataifa, asitake mshahara mkubwa kama wa miquison au chama. huo ni ujuha. fei tangu acheze yanga hajachukua ubingwa na wala hamna timu hata moja ya nje iliomtaka.