GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,689
- 109,117
Kambi imeshaanza Avic Town Kigamboni ila Kipa Diara, Kiungo Mshambuliaji Aziz K, Kiungo tegemezi Aucho, Kiungo Fundi aliyewahi kuwa MVP Bangala na Beki mahiri wa Kulia Djuma Shabaan hadi sasa Wote hawa hawako Kambini, hakuna Taarifa yoyote na wana Yanga SC kila Wakihoji wanachoishia Kujibiwa ni Ujio wa Namba Sita.
Ficheni tu ila tunaoujua Mpira wa Bongo ( wa Kitanzania ) na Wafuatiliaji wa Masuala magumu na ya ndani tunajua wamegoma kurejea mpaka muwalipe Kwanza Fedha zao wanazodai na mlikuwa mnasubiri hadi Muuze Jezi ( ambazo zimedoda Kuuzika kutokana na Ubaya wake ) ili mpate Fedha mchanganye na zile Shilingi Milioni 450 za SpotiPesa ( Bonus ) ndiyo muwalipe na waje katika Pre Season yenu ya Kimasikini huko Kigamboni.
Huwezi kutumia Fedha nyingi kwa Kuhonga Waamuzi, Wachezaji na Timu katika Michuano yako yote ya Kiushindani ( ya Kitaifa na baadhi ya Kimataifa ) halafu unategemea ukawa Imara Kiuchumi ( Kipesa ) kwa Msimu Mpya.
Na sasa Simba SC ndiyo kuna Fedha.
Ficheni tu ila tunaoujua Mpira wa Bongo ( wa Kitanzania ) na Wafuatiliaji wa Masuala magumu na ya ndani tunajua wamegoma kurejea mpaka muwalipe Kwanza Fedha zao wanazodai na mlikuwa mnasubiri hadi Muuze Jezi ( ambazo zimedoda Kuuzika kutokana na Ubaya wake ) ili mpate Fedha mchanganye na zile Shilingi Milioni 450 za SpotiPesa ( Bonus ) ndiyo muwalipe na waje katika Pre Season yenu ya Kimasikini huko Kigamboni.
Huwezi kutumia Fedha nyingi kwa Kuhonga Waamuzi, Wachezaji na Timu katika Michuano yako yote ya Kiushindani ( ya Kitaifa na baadhi ya Kimataifa ) halafu unategemea ukawa Imara Kiuchumi ( Kipesa ) kwa Msimu Mpya.
Na sasa Simba SC ndiyo kuna Fedha.