Naomba kumjua tu Kiongozi wa Simba SC aliyeshindwa Kukamilisha Dili la Khalid Aucho kutua Msimbazi na Yanga SC wakamuwahi na kutua Kwao rasmi

Pole sana

Naona unamlinganisha Defensive midfielder na Attacking midfielder kwa kigezo cha assist na magoli.

Hivi unajua hata position wanazocheza uwanjani?

Mngelijua hilo mngethubutu kusema aucho kamzidi chama, bwalya, mzamiru nk?
 
Pole sana

Naona unamlinganisha Defensive midfielder na Attacking midfielder kwa kigezo cha assist na magoli.

Hivi unajua hata position wanazocheza uwanjani?
Analinganisha defensive midfielder na Attacking Midfielder. Alafu anaandika weee kama anamwaga mambo ya maana vile... ... Huyu atakuja kufananisha Manula na Mayele...
 
Analinganisha defensive midfielder na Attacking Midfielder. Alafu anaandika weee kama anamwaga mambo ya maana vile... ... Huyu atakuja kufananisha Manula na Mayele...
Yaani sometimes unajikuta unabishana na mtu ambaye hajui lolote ila anabisha tu ilimradi
 
kwasababu sijakubaliana na mtazamo wako?

Huyu mleta mada huwa ana tatizo kubwa la kisaikolojia,huwezi kuwa unatukana ovyo watu usiowajua,ni kama huwa analeta frustration zake za maisha hapa JF.Msamehe bure
 
Unazungumzia aucho egypt kua alikua kwenye mgogoro kua ndio sababu ya kutokuwekwa hata kwenye squad as if kwamba angekuwepo angeleta impact, wakati katika hizo mechi tatu alizocheza na timu yake ya taifa kwa dakika zote 90 hakuna goli wala assist aliyopata zaidi ya yellow card?

Yani kutoka 2013-2021 mshkaji ana assit 2, halafu bado mnamuita mchezaji si utani huu?
Wewe jamaa unapenda timu lakini sio mpira,so utabishana mpaka ufe kama kadi yenu inavyosema huko kolokwinyo
 
Aucho kacheza level gani champions league. Ni wakawaida sana shida media za bongo hovyoo zikiamua kumpamba mchezaji.
Mkumbuke mdogo wake Dany Serenkuma alivyosifiwa simba na aliupiga hasa baadae aliondoka kimya kimya. Hata Shiboub. Kiungo mkali haji bongo anasonga ulaya acheni uzuzuuu
 
Unahitaji Chama, Bwalya, Mkude, Muzamiru, Lwanga na hata Ndemla ili angalau tu kuufikia uwezo mkubwa alionao Kiungo ninayempenda na namkubali wa Yanga SC Khalid Aucho.

Naomba Yanga SC ikirejea Dar es Salaam japo Mimi Mightier ni mwana Simba SC lia lia lakini Furaha yangu Kubwa ni kupiga tu Picha nae hata kama akiwa amevalia Jezi za Yanga SC sitojali.

Ana kila Kitu ambacho Kiungo makini na wa Kimataifa anatakiwa awe nacho na si hawa Wengine ambao Sifa yao Kubwa ni Kucheza tu Mirafu ya Kipumbavu na kupatapata Mikadi tu ya Njano na Nyekundu.

Shikamoo Khalid Aucho unanikuna sana.
Anakukuna wapo mkuu na kwa kifaa gani !!
 
Na wewe utopolo hujioni,Kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake, wewe ulitakaje sasa?
Ni kweli mtu azuiliwi kutoa maoni yake au kuamini kile anachokiamini hata kikiwa upupu mtupu

20210930_224351.jpg
 
mfano unamtoa nani pale simba ili acheze huyo. hebu niambie huyo aucho anacheza na timu zipi pinzani ili umsfie. mfano luanga, mkude, mzamiru wanapambana na viungo wa al ahly, mazembe, kaizer. sasa aucho anacheza na viungo wa DTB, FRIENDS RANGERS, KAGERA ALAFU UNASIFU
Kwa hiyo umeanza kumuona akiwa Yanga ... Bora nafaka ukiitwanga utaitenganisha na makapi yake ..ila ni ngumu kukutenganisha we we na ujinga wako hata tukutwange vipi ..
 
Aucho kacheza level gani champions league. Ni wakawaida sana shida media za bongo hovyoo zikiamua kumpamba mchezaji.
Mkumbuke mdogo wake Dany Serenkuma alivyosifiwa simba na aliupiga hasa baadae aliondoka kimya kimya. Hata Shiboub. Kiungo mkali haji bongo anasonga ulaya acheni uzuzuuu
Ila Waliokuja simba ni wakali !!!?? MNA upuuzi sana makolo
 
Unahitaji Chama, Bwalya, Mkude, Muzamiru, Lwanga na hata Ndemla ili angalau tu kuufikia uwezo mkubwa alionao Kiungo ninayempenda na namkubali wa Yanga SC Khalid Aucho.

Naomba Yanga SC ikirejea Dar es Salaam japo Mimi Mightier ni mwana Simba SC lia lia lakini Furaha yangu Kubwa ni kupiga tu Picha nae hata kama akiwa amevalia Jezi za Yanga SC sitojali.

Ana kila Kitu ambacho Kiungo makini na wa Kimataifa anatakiwa awe nacho na si hawa Wengine ambao Sifa yao Kubwa ni Kucheza tu Mirafu ya Kipumbavu na kupatapata Mikadi tu ya Njano na Nyekundu.

Shikamoo Khalid Aucho unanikuna sana.
Msalimie Gentamycin
 
Wewe jamaa unapenda timu lakini sio mpira,so utabishana mpaka ufe kama kadi yenu inavyosema huko kolokwinyo
Mzee hizo ni data sio maneno yangu nimejitungia, kama kweli unapenda soka ulipaswa uje na data za ku disprove, hivyo ndivyo mambo hufanyika
 
Huyu mleta mada huwa ana tatizo kubwa la kisaikolojia,huwezi kuwa unatukana ovyo watu usiowajua,ni kama huwa analeta frustration zake za maisha hapa JF.Msamehe bure
huyu wengi wamekua wakimhusisha na genta kwa aina ya uandishhi na hata panic za kijinga, yani kwenye uzi wake ukitofautiana naye kimtazamo unakua adui yake
 
Back
Top Bottom