GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,554
- 108,897
Yanga SC: Tafadhali rudi utusaidie huko Mapinduzi Cup Zanzibar.
Khalid Aucho: Hamna Akili pitieni upya Mkataba wangu nanyi.
Yanga SC: Hivi ni kwanini Unatusumbua hivi?
Khalid Aucho: Wakati mnanishobokea na Kunihitaji kwa Udi na Uvumba Wachezaji wasio Wasumbufu duniani hamkuwaona?
Yanga SC: Kwanini unapenda Kukaa katika Nyumba ya peke yako tu pale katika Apartments za Palm Village Mikocheni wakati Wachezaji Wenzako wote wa Kigeni wanakaa katika Nyumba Moja tu kule Mbezi Beach?
Khalid Aucho: Kwakuwa Mimi nina Akili halafu najitambua kuliko Wao walivyo Mazuzu na Kazi yao ni Kujiremba na Kujipodoa tu.
Yanga SC: Tumetolewa jana Nusu Fainali Mapinduzi Cup na Azam FC kwakuwa Wewe Mchezaji wetu Tegemeo hukuwepo.
Khalid Aucho: Pumbavu zenu hivi siyo nyie mlioniruhusu Wenyewe nije Mapumzikoni Nyumbani Kampala Uganda na mkasema kuwa hata kwa Kikosi kilichobakia mtatetea Kombe?
Yanga SC: Basi tusamehe Kaka tumekosa....!!
Khalid Aucho: au nihamie Simba SC dirisha hili dogo ili mkome?
Yanga SC: Unadhani ni nini Kimepungua na Kimeongezeka Yanga SC?
Khalid Aucho: Akili zimepungua sana na Upumbavu umeongezeka mno.
Yanga SC: Tunaanza Mazoezi Jumatano kujiandaa na Mchezo wetu muhimu dhidi ya Coastal Union FC ya Tanga.
Khalid Aucho: Naingia Dar es Salaam leo Jumanne Mchana kama nilivyowaahidi ila nataka Mshahara wangu wa sasa uwe Tsh Milioni 30 vinginevyo namfuata Pape Ousmane Sakho kule Simba SC.
Yanga SC: Kwa sasa kutokana na Ukata Yanga SC kiukweli Mshahara huo hatutoweza kwani Magodoro ya GSM hayajauzika kwa Wingi, Klabu ina Madeni na tumetumia Kizembe mno Pesa nyingi Kuihujumu Simba SC katika Ligi Kuu ya NBC ila tunasikitika tulidhani itafungwa na ndiyo Kwanza inashinda na Kutupumulia tu kwa nyuma.
Khalid Aucho: Hivi kwa Akili zenu kabisa mnadhani Yanga SC yetu hii itakuwa Bingwa mbele ya Simba SC ambayo naipenda na ndiyo Klabu yangu ya Rohoni?
Khalid Aucho anawanyoosha Yanga SC.
Khalid Aucho: Hamna Akili pitieni upya Mkataba wangu nanyi.
Yanga SC: Hivi ni kwanini Unatusumbua hivi?
Khalid Aucho: Wakati mnanishobokea na Kunihitaji kwa Udi na Uvumba Wachezaji wasio Wasumbufu duniani hamkuwaona?
Yanga SC: Kwanini unapenda Kukaa katika Nyumba ya peke yako tu pale katika Apartments za Palm Village Mikocheni wakati Wachezaji Wenzako wote wa Kigeni wanakaa katika Nyumba Moja tu kule Mbezi Beach?
Khalid Aucho: Kwakuwa Mimi nina Akili halafu najitambua kuliko Wao walivyo Mazuzu na Kazi yao ni Kujiremba na Kujipodoa tu.
Yanga SC: Tumetolewa jana Nusu Fainali Mapinduzi Cup na Azam FC kwakuwa Wewe Mchezaji wetu Tegemeo hukuwepo.
Khalid Aucho: Pumbavu zenu hivi siyo nyie mlioniruhusu Wenyewe nije Mapumzikoni Nyumbani Kampala Uganda na mkasema kuwa hata kwa Kikosi kilichobakia mtatetea Kombe?
Yanga SC: Basi tusamehe Kaka tumekosa....!!
Khalid Aucho: au nihamie Simba SC dirisha hili dogo ili mkome?
Yanga SC: Unadhani ni nini Kimepungua na Kimeongezeka Yanga SC?
Khalid Aucho: Akili zimepungua sana na Upumbavu umeongezeka mno.
Yanga SC: Tunaanza Mazoezi Jumatano kujiandaa na Mchezo wetu muhimu dhidi ya Coastal Union FC ya Tanga.
Khalid Aucho: Naingia Dar es Salaam leo Jumanne Mchana kama nilivyowaahidi ila nataka Mshahara wangu wa sasa uwe Tsh Milioni 30 vinginevyo namfuata Pape Ousmane Sakho kule Simba SC.
Yanga SC: Kwa sasa kutokana na Ukata Yanga SC kiukweli Mshahara huo hatutoweza kwani Magodoro ya GSM hayajauzika kwa Wingi, Klabu ina Madeni na tumetumia Kizembe mno Pesa nyingi Kuihujumu Simba SC katika Ligi Kuu ya NBC ila tunasikitika tulidhani itafungwa na ndiyo Kwanza inashinda na Kutupumulia tu kwa nyuma.
Khalid Aucho: Hivi kwa Akili zenu kabisa mnadhani Yanga SC yetu hii itakuwa Bingwa mbele ya Simba SC ambayo naipenda na ndiyo Klabu yangu ya Rohoni?
Khalid Aucho anawanyoosha Yanga SC.