Wakuu naomba msaada wa kampuni Bora inayosafirisha simu za viswaswadu na smart phones Kwa haraka kuja Tanzania Kwa haraka Kwa njia zote mbili ndege na meli angalau mwezi mmoja niwe nimepokea mzigo. Kuna kampuni Zina ahadi hewa Hadi inaboa, tumia uzoefu wako. Itapendeza ukiambatanisha na gharama za Kila njia ya usafiri(meli na ndege)@ kg asante I.
Taja hapa jina la kampuni nitawatafuta mwenyewe
Taja hapa jina la kampuni nitawatafuta mwenyewe