Naomba msaada namna ya kusafirisha mizigo kutoka Nigeria

meaganita

JF-Expert Member
Sep 24, 2016
436
630
Wakuu naomba mwenye uzoefu wa kusafirisha mizigo kutoka Nigeria anisaidie kampuni inayosafirisha na gharama ni kiasi gani Kwa normal goods.

Natanguliza shukurani 🙏
 
Mzigo wa aina gani

mode of Transport:

Kwa Anga au kwa maji

Ukubwa wa mzigo utaamua yote hayo

Mahali kwa kupolelea mzigo,Dar,Moshi au wapi
Normal goods, usafiri wa ndege . mzigo mdogo around kilo kumi.kupokelea ni Dar es salaam
 
kusafirisha mizigo kutoka
Normal goods, usafiri wa ndege . mzigo mdogo around kilo kumi.kupokelea ni Dar es salaam
1kg = US $28
Mzigo utaniletea Mji wa Ikeja ( MMI Airport Road)
  • Na utafikishwa Dar.
  • Utapewa tracking number mzigo kabla ya uondoka Nigeria
  • NB: Mzigo ukifika nchini utafuta taratibu zote za clearance na utawajibika kulipa kodi TRA.
 
DHL gharama sana... Na bado utalipa clearance and import duty TRA...

Nigeria Air nadhani wana share code na KQ... Hivyo ukifanya booking Nigeria air wata fanya transportation hadi Kenya.. From Kenya KQ watakuletea JNIA.. Hapo utafanya clearance na kutoa mzigo wako.
 
1kg = US $28
Mzigo utaniletea Mji wa Ikeja ( MMI Airport Road)
  • Na utafikishwa Dar.
  • Utapewa tracking number mzigo kabla ya uondoka Nigeria
  • NB: Mzigo ukifika nchini utafuta taratibu zote za clearance na utawajibika kulipa kodi TRA.
Shukurani mkuu
 
Back
Top Bottom