1. Ndo mara ya Kwanza kwenda nje ya nchi? Ushamba mzigo.Habari wakuu.
Naomba kujua kama nikienda nje ya Africa nikitumia huduma ya international roaming kama bado naweza kufanya miamala ya kutuma na kupokea pesa kwenye simu. Shukran!
Shukrani. Sihitaji kutoa pesa nilitaka kujua tu kuhusu kutuma na kupokeaInawezekana sana,
Ila hautaweza kutoa fedha kwani hakuna Wakala wa mpesa huko nje
Asante japo hiyo comment no.1 sikuipenda nimeimezea tu. Thanks mate!1. Ndo mara ya Kwanza kwenda nje ya nchi? Ushamba mzigo.
2. Ukiwa na App popote unafanya miamala ikiwa utapata internet.
3. Safe travels, Dada.
1. Ndo mara ya Kwanza kwenda nje ya nchi? Ushamba mzigo.
2. Ukiwa na App popote unafanya miamala ikiwa utapata internet.
3. Safe travels, Dada.