Wakuu kwa anayetumia Vodacom M-Pesa Visa kulipia online naomba kujua ada ni asilimia ngapi. Nimeuliza customer care kupitia Whatsapp yao naambiwa ni 10%. Siamini kama ni ghali hivyo maana naona Safaricom ya Kenya wanachaji 3.5%.
Zamani nilikuwa natumia Mastercard yao haikuwa ghali kiasi hicho. Kwa anayetumia naomba kupata uhakika.
Zamani nilikuwa natumia Mastercard yao haikuwa ghali kiasi hicho. Kwa anayetumia naomba kupata uhakika.