Naomba kujua kosa langu Wana jamvi

Naomba kujua kosa langu Wana jamvi

Hapo kwenye red, umemaliza kila kitu dada'ake, thumb up!! hiyo ndo habari ya mujini kwa watu makini. Ila wale wanaokuja mujini kwa lift ya msafara wa mbio za mwenge, hawalijuwi hilo na huishia kuvurunda tu.

Hebu mkuu nifundishe mafumbo maraisi waelewe mbona wewe umeelewa
 
kaka vip wewe usiwe mnyonge wa mapenzi achana naye weka mbali madu wapo kibao na wakali na wenye hekima kibao yan
 
Kwa haya maneno hadi aibu jama duuuu

dada manka huyo shankupe la Chamazi limechemka hasaa. nani aliemdanganya kuwa wanawake wenzie 'wanapima' hivyo? Manka ukiisoma vizuri thread yenyewe, iko self-explanatory kwamba jamaa ni mpole, staarabu na alimushow respect sana huyo muuza uduvi & ming'oko wa Chamazi.

Wamechat for a long, then jamaa akawa blocked in whatsapp, but stil jamaa hakuchoka na akaendelea kuonesha nia yake kwa huyo mdada. Jike kafika Ubungo, jamaa kaonesha kujali kwa kuchoma wese na muda wake kwenda kumpokea huyo gume-gume all the way from UBUNGO to CHAMAZI. But mwisho wa picha jamaa akaambulia eti 'kupimwa' kwa style ya kiwendawazimu kama hivyo. That's a serious bull.shit!!

Jamani in the given circumstances, ebu tuongee reality tu: je kuna mwanamke wa maana apo??!! au ni mwanamke mnywa gongo na mvutia bange chooni?

-Kaveli-
 
Back
Top Bottom