Naomba kujua kosa langu Wana jamvi

Naomba kujua kosa langu Wana jamvi

Hahahaaha..kaazi kweli kweli.

Mtumie PM mwambie na wewe ulivyoanza nae maongezi ulikuwa unampima, vipimo vimekamilika huna uhitaji nae tena.

nashangaa badala ya kupima maradhi wanapimana nin sijui hii tuite! ningekuwa superbrand ningeuchuna kimya maana huyo dasa bado hajielewi ana mapenz ya kipraimaree.
 
nashangaa badala ya kupima maradhi wanapimana nin sijui hii tuite! ningekuwa superbrand ningeuchuna kimya maana huyo dasa bado hajielewi ana mapenz ya kipraimaree.

Nisingeweza ningekufa kwa nyongo kali hapa afadhali
 
interesting.......kumbe mbagala chamazi pia kuna a sister du wa kuomba kushushwa kwenye gari njiani?
halafu akaenda kugombania daladala?

this is news to me.........

yaani wadada wa kibongo kwa kuiga movie za Hollywood hadi wanajiumiza

yaani unaelekea Chamazi eti umekairika ushushwe njiani?

mimi ngingemshusha fast na wala nisingmpigia tena....

huyo sister du wa mbagala keshakusoma weakness zako so anakutingisha tu hadi mwisho akwambie mwanao simtaki alelewe na mama yake......ignore her haraka

mpwapwa kwenyewe kuna sistaduu. ukiniudhi utanishusha kibaigwa nipande hata lori.
kutingishana kwenye mapnz sio kuzuri. unaweza poteza bahat hivi hivi.
 
Nisingeweza ningekufa kwa nyongo kali hapa afadhali

Sometimes its better ukae kimya tu hata kama una nyongo kali.Mie naona si ustaarabu kwa hichi kinachoendelea hapa maana wakati mnatongozana na mengineyo haukutwambia why hili utuambie?Kuwa mstaarabu jamani mie naona haufanyi fair kabisaa
 
Sometimes its better ukae kimya tu hata kama una nyongo kali.Mie naona si ustaarabu kwa hichi kinachoendelea hapa maana wakati mnatongozana na mengineyo haukutwambia why hili utuambie?Kuwa mstaarabu jamani mie naona haufanyi fair kabisaa

dada mkubwa hujaizoea jf! watu wanatongozana kimya kimya wanagegedana ila mambo yakishaharibika ndio wanakuja kusasambua.
 
Sometimes its better ukae kimya tu hata kama una nyongo kali.Mie naona si ustaarabu kwa hichi kinachoendelea hapa maana wakati mnatongozana na mengineyo haukutwambia why hili utuambie?Kuwa mstaarabu jamani mie naona haufanyi fair kabisaa

Asilimia kubwa ya wanawake hapa jf wanamtetea huyu mjinga sijajua ni kwa nini, mleta mada kaomba ushauri ili ajue kosa lake liko wapi ili kwa mara ya pili asirundie tena,

ni wachache sana waliomshauri lakn wengine wote mnarukaruka tu, kosa la mtoa mada liko wapi??
 
Sometimes its better ukae kimya tu hata kama una nyongo kali.Mie naona si ustaarabu kwa hichi kinachoendelea hapa maana wakati mnatongozana na mengineyo haukutwambia why hili utuambie?Kuwa mstaarabu jamani mie naona haufanyi fair kabisaa

What is fair now??mbona kwa hili mnaonekana ni dhambi wangapi member wanatajwa na mnachangia tena kwa mapicha ambayo hukualikwa mtu kupiga wala kutuma au hayo yanaruhusa maalumu?
 
Sometimes its better ukae kimya tu hata kama una nyongo kali.Mie naona si ustaarabu kwa hichi kinachoendelea hapa maana wakati mnatongozana na mengineyo haukutwambia why hili utuambie?Kuwa mstaarabu jamani mie naona haufanyi fair kabisaa

Kimsingi washauri moderators wanipige ban tu nachoka akili kabisa kuwaza nikamseme pembeni wakati hapa ndo ujumbe unafika vizuri
 
Sasa baaasi, speculations should end! tunataka mhusika ajitokeze huko aliko atupe the whole thing behind what the dude said! pengine nawe Superbrand ni dramaking mzoefu so mitego yako imedunda ndo ukaamua kumuanika mpendwa wetu hapa!

Nitafurahi sana endapo atakuja hata kukanusha kwa neno moja sio kweli
 
Last edited by a moderator:
ila kama unampenda jaribu kumtafta uongee nae. fight for what u love....( nimeonesha msisitizo hapo ujue).
pili, siku zote victim wa mapenzi ni ngumu sana kudate nao. lazma utambue hilo na ujue namna ya kukabiliana nalo.

Sitaweza kumtafuta kwa maongezi hata kama nitampenda sana ni wengi wanaishi na wasio wapenda na maisha yanaenda
 
Only God can judge her....

You never know mtu anapitia nini mpaka anafanya anayofanya.

Mambo mengine yawe yanaishia huko huko nje....kuchoreshana hapa ndani hata sio poa
 
Nisamehe mumy wangu kwa kukutaja lol!! Najua ungekuwa wewe tungemchuna mpka ka gari kake angeuza,pesa mbele mapenz baadaye....

Ha ha ha angekuja hapa na malalamiko ya kufilisiwa nicheke mie mapenzi sijui mie ... pesa na penzi kama mate na ulimi mchaga mie nimetumwa.pesa
 
Aaakh mbona haji huyu mdada au itakuwa kweli ndo yy nn maana mada km hizi hakosi kuchangia hata sku moja kulikoni wajameni. Mamio babio ww kuja hukuu alaaaa ujitetee maana kusikiliza pande moja sio suluhisho
 
Asilimia kubwa ya wanawake hapa jf wanamtetea huyu mjinga sijajua ni kwa nini, mleta mada kaomba ushauri ili ajue kosa lake liko wapi ili kwa mara ya pili asirundie tena,

ni wachache sana waliomshauri lakn wengine wote mnarukaruka tu, kosa la mtoa mada liko wapi??

Unajua maana ya ushauri?Au na wewe umekurupuka tu?Second tumeumbwa tofauti na kila mtu ana mawazo yake na kama aliomba ushauri huo ndio ushauri wangu kwake au ulitaka nisemeje?

Mie hapa simtetei mtu ila sio fair kumsema mtu wakati yeye hajarespond chochote what if mleta mada labda na yeye kuna sehemu alizingua ndio maana ikawa hivyo?
 
Ha ha jamani nimesoma page zote...
Kama ni kweli huyo mdada mburula sana jamani ...Na anaongezeka kwenye ile list ya walimu waliopo jf mambutulaz mpaka sasa wamefika watano..
Ila angalizo kuna katabia cha wakaka kuanzisha mada za uongo na kuwataja watu ambao hata hawajui.
Mir binafsi ni muhanga wa hilo jitu halinijui hata no yangu hana akaja jamvini na limada.
Pm akachat na mtu wangu wa karibu akascreen shot na kuntumia(maana siku hizi hatuna mdumange tunasuta kwa screen shots tu.)
Yote yanawezekana.

amu dah!!!
sawa bwana!!
 
Last edited by a moderator:
Asilimia kubwa ya wanawake hapa jf wanamtetea huyu mjinga sijajua ni kwa nini, mleta mada kaomba ushauri ili ajue kosa lake liko wapi ili kwa mara ya pili asirundie tena,

ni wachache sana waliomshauri lakn wengine wote mnarukaruka tu, kosa la mtoa mada liko wapi??

Lipo kwenye kuvua samaki wachanga na kuacha waliokomaaa.... Shy land umeelewa sasa.uwe makini na wewe kutongoza watoto kuacha tunaopenda hela na wakubwa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom