Naomba kujua kosa langu Wana jamvi

Naomba kujua kosa langu Wana jamvi

Duh!! Nusura niseme ni Manka kumbe ni MankaM? Au miss chagga? Lakini huyu hakai mbagala na anavyopenda pesa wallahi asingeachia hii fursa,haya sasa tutatafuta humu mpka basi....nani huyo M..... mwisho a....????

Hahahaaa mkuu amkaushie tu kwa kweli looo asimtaje bana
 
Last edited by a moderator:
dada manka huyo shankupe la Chamazi limechemka hasaa. nani aliemdanganya kuwa wanawake wenzie 'wanapima' hivyo? Manka ukiisoma vizuri thread yenyewe, iko self-explanatory kwamba jamaa ni mpole, staarabu na alimushow respect sana huyo muuza uduvi & ming'oko wa Chamazi.

Wamechat for a long, then jamaa akawa blocked in whatsapp, but stil jamaa hakuchoka na akaendelea kuonesha nia yake kwa huyo mdada. Jike kafika Ubungo, jamaa kaonesha kujali kwa kuchoma wese na muda wake kwenda kumpokea huyo gume-gume all the way from UBUNGO to CHAMAZI. But mwisho wa picha jamaa akaambulia eti 'kupimwa' kwa style ya kiwendawazimu kama hivyo. That's a serious bull.shit!!

Jamani in the given circumstances, ebu tuongee reality tu: je kuna mwanamke wa maana apo??!! au ni mwanamke mnywa gongo na mvutia bange chooni?

-Kaveli-

Hahahaaaa kwa kweli huyu du kaharibu aisee yani ameshayapata yake lakin hakumfanyia poa jamaa muda mwingine najiuliza kwa hali kama hii inanikuta mimi daaa sijui ngemfanyaje huyo binti
 
Pole sana Superbrand kama nilivyokueleza toka mwanzo weka hasira pembeni maisha bado yanaendelea,narudia tena nyimbo zangu na zingatia Serebuka Serebuka unaweza penda tena.....na tulia wanawake warembo na wenye kujitambua wapo ila unatakiwa uwe na macho embu imba huu......nipe macho nione macho eeee nipe macho nione sawasawa.

Kung'uta mavumbi maisha bado yanaendelea na yanapaswa kuendelea....kila la heri.

Kiukweli nimekuelewa sana na najaribu kwani zile ni nyimbo mimi yamenitokea kabisa napata wakati mgumu kupata relief nabaki nameza mate machungu kwani jana nimefika kwangu late night kwa fadhila za upepo

Nadhani nitajaribu bt it hurts na zaidi watu wanavyosema nimemtaja ndo naumia zaidi kwani hawaoni anachafua wadada wengi walio wasafi na after all sijamtaja bado na sitamtaja

Ila naumia sana tena sana sikuwa nategemea hayo bt yanatokea sana

Boss kazini amasema mapenzi ya kweli only hapen in move bt sijui
 
Last edited by a moderator:
interesting.......kumbe mbagala chamazi pia kuna a sister du wa kuomba kushushwa kwenye gari njiani?
halafu akaenda kugombania daladala?

this is news to me.........

yaani wadada wa kibongo kwa kuiga movie za Hollywood hadi wanajiumiza

yaani unaelekea Chamazi eti umekairika ushushwe njiani?

mimi ngingemshusha fast na wala nisingmpigia tena....

huyo sister du wa mbagala keshakusoma weakness zako so anakutingisha tu hadi mwisho akwambie mwanao simtaki alelewe na mama yake......ignore her haraka

Ha ha ha ha
 
Kiukweli nimekuelewa sana na najaribu kwani zile ni nyimbo mimi yamenitokea kabisa napata wakati mgumu kupata relief nabaki nameza mate machungu kwani jana nimefika kwangu late night kwa fadhila za upepo

Nadhani nitajaribu bt it hurts na zaidi watu wanavyosema nimemtaja ndo naumia zaidi kwani hawaoni anachafua wadada wengi walio wasafi na after all sijamtaja bado na sitamtaja

Ila naumia sana tena sana sikuwa nategemea hayo bt yanatokea sana

Boss kazini amasema mapenzi ya kweli only hapen in move bt sijui

Pole bana, tupa kuleeee, fanya kama umetoa sadaka, wenye real love tupo sana,ningekuwa sijaonwa jamani ningejitolea kukuonyesha what is real love mean......... Kaizer pita kimya kimya kama hujapaona hapa,lol
 
Last edited by a moderator:
masai dada pita huku utahabarishe ulichomfanyia huyu kaka au anatudanganya tu.
 
Last edited by a moderator:
Kumbe kuna wengine humu wanakaa Mbagala na Diamond!! Pole sana Mkuu kwa Safari ndefu ubungo hadi Mbagala Si Mchezo... then kwako hujafika bado mmmh!

Haya mambo ya Vipimo kama bado mpo vyuoni utu uzima wa sasa ni uamuzi tu... YES or NO life is the Journey..
 
Ha ha jamani nimesoma page zote...
Kama ni kweli huyo mdada mburula sana jamani ...Na anaongezeka kwenye ile list ya walimu waliopo jf mambutulaz mpaka sasa wamefika watano..
Ila angalizo kuna katabia cha wakaka kuanzisha mada za uongo na kuwataja watu ambao hata hawajui.
Mir binafsi ni muhanga wa hilo jitu halinijui hata no yangu hana akaja jamvini na limada.
Pm akachat na mtu wangu wa karibu akascreen shot na kuntumia(maana siku hizi hatuna mdumange tunasuta kwa screen shots tu.)
Yote yanawezekana.
 
kwani wewe una uhusiano gani na masai dada

Stop insuniating things,hata kama sina uhusiano naye au ninao sijaona mahali alipotajwa na mtoa mada,kwani cc maana yake nini na inatumikaje jamvini?mbona huulizi nna uhusiano gani na mtoa mada?
 
Last edited by a moderator:
Mama yeyoo Kumbe ww korofi sasa ndo nn kumringishia mwenzio fumba la samaki km paka siumpe tu hilo nofu Aaaah ndomanaa aiseeeh
 
Back
Top Bottom