Masai dada......!!!???
Mkuu,kama ndiye ama kinyume chake,bado "privacy" yake hapa JF iheshimiwe.(Samahani lakini.Ni mtazamo wangu tu).
Masai dada......!!!???
Mkuu,kama ndiye ama kinyume chake,bado "privacy" yake hapa JF iheshimiwe.(Samahani lakini.Ni mtazamo wangu tu).
dada manka huyo shankupe la Chamazi limechemka hasaa. nani aliemdanganya kuwa wanawake wenzie 'wanapima' hivyo? Manka ukiisoma vizuri thread yenyewe, iko self-explanatory kwamba jamaa ni mpole, staarabu na alimushow respect sana huyo muuza uduvi & ming'oko wa Chamazi.
Wamechat for a long, then jamaa akawa blocked in whatsapp, but stil jamaa hakuchoka na akaendelea kuonesha nia yake kwa huyo mdada. Jike kafika Ubungo, jamaa kaonesha kujali kwa kuchoma wese na muda wake kwenda kumpokea huyo gume-gume all the way from UBUNGO to CHAMAZI. But mwisho wa picha jamaa akaambulia eti 'kupimwa' kwa style ya kiwendawazimu kama hivyo. That's a serious bull.shit!!
Jamani in the given circumstances, ebu tuongee reality tu: je kuna mwanamke wa maana apo??!! au ni mwanamke mnywa gongo na mvutia bange chooni?
-Kaveli-
Unawaza kama mimi lol
ahaaa! bila shaka atakua masai dada au miss chaga ndo viherehere wa hiki kijukwaa!!!
n.b ni mtizamo tu, tusitaftane jamani lol!
Herufi ya kwanza ni M na ya mwisho ''a''
Kwani kutaja jina la mtu kwa kukisia ni Ku violet privacy ya mtu...? Mtoa post katufikisha mahali inabidi tuhitaji kumjua muhusika kulingana na kisa chenyewe
Yaani!!! Tutasutwa mwenzangu lol!! Mara yangu ya kwanza kujishughulisha na maubuyu ya humu ndani huwa nayapita tu...ila ubuyu huu umekuwa mtam sana nimeshindwa kuutupa.
Mkuu,kama ndiye ama kinyume chake,bado "privacy" yake hapa JF iheshimiwe.(Samahani lakini.Ni mtazamo wangu tu).
Mmmh ni pacha wako bhana
Mmmh mkuu ngoja aje mwenyewe akufumue fumue mingumi ndo utaeleza vizuri
Wote herufi 9 kama mtoa mada alivotaja?
Ila mkuu, spare them for their privacy sake, please. (No offence intended, though. Ushauri tu)
Hivi hapa kuna nini
Kwa hiyo ndo huyo uliye m CC? Maana inashangaza huwa sifuatilii sana mambo ya humu hasa binafsi ila hili limenivutia na kuniduwaza