Naomba kujua kosa langu Wana jamvi

Naomba kujua kosa langu Wana jamvi

Ila mtoa mada hajamtaja mtu, tusihukumu hapa kila mtu anafikiria anavyojua yeye.

Cha muhimu ujumbe umefika na kina dada wenye tabia kama hizo wajirekebishe
 
Naamini sio walimu wote walio na tabia hii.

Katika professions zenye haiba na maadili, nasikia UALIMU ni mojawapo. But huyo demu naona aliibaka taaluma hii. Mmasai na Ualimu wapi na wapi bhana. Mmasai yake mavi ya ng'ombe, fani zngne izo ni kuforce tu!
 
Yaani!!! Tutasutwa mwenzangu lol!! Mara yangu ya kwanza kujishughulisha na maubuyu ya humu ndani huwa nayapita tu...ila ubuyu huu umekuwa mtam sana nimeshindwa kuutupa.

im disappointed in you! Really
 
lara 1 kwani na wewe una mahusiano uliyoyapata kutoka jf
NDIO! KWANI UNANIDAI? Mi sitembei na vitoto humu vinavoendekeza KISS AND TELL! Havikawii kusema hukunyoa zivu kama Zarina! Hahahaaaaaaaa! Mi natoka na BABA ZAKO humu ndo level zangu. Sitaki swali lingine! Hamna anaenidai.
 
  • Thanks
Reactions: amu
Huyu hakufai , huwa katika maisha tunapata ishara za kutuongoza - nawe umeipata dhahiri
 
NDIO! KWANI UNANIDAI? Mi sitembei na vitoto humu vinavoendekeza KISS AND TELL! Havikawii kusema hukunyoa zivu kama Zarina! Hahahaaaaaaaa! Mi natoka na BABA ZAKO humu ndo level zangu. Sitaki swali lingine! Hamna anaenidai.

Acha matusi kwa wazazi, baba yangu unamjua anafananaje??? hadi unaropokaropoka ovyoo, namna hyo
 
Labda alivyokuona kwenye picha tofauti na alivyokukuta ndo maana ikawa hiyo, polee
 
NDIO! KWANI UNANIDAI? Mi sitembei na vitoto humu vinavoendekeza KISS AND TELL! Havikawii kusema hukunyoa zivu kama Zarina! Hahahaaaaaaaa! Mi natoka na BABA ZAKO humu ndo level zangu. Sitaki swali lingine! Hamna anaenidai.

Bora utoke na mume wa mtu humy kimya kimya haaa haya mambo ya kutajana siyataki mie...
 
Bora utoke na mume wa mtu humy kimya kimya haaa haya mambo ya kutajana siyataki mie...

Hahahahaaaaaaaaaa! Na huyu angepewa PAPUCHI huyuuuuuuu! Angekuja kutaja exact MEASUREMENTS in DIAMTETER, CIRCUMFERENCE, RADIUS ETC ya hio papuchi. MWANAUME GANI HANA STAHA? Puuuuuuuuuuuuuuuu!

Afu mi hata siamini! HUYO MUHUSIKA MISS (SIO MISS AS METAPHOR, MISS KABISA KASHINDA TAJI LA WILLAYA MOJA HAPA DAR, MCUTE, ANAELEWEKA) Ndo akome sasa, ma miss wenzie wanatoka na MAPEDESHEE yeye ana hangaika na AVERAGE JOE wa humu ndo faida yake hio. Navomjua yule kwa kuanzisha nyuzi mwaka huu utetezi wake utakuwa NYUZI ZISIZOPUNGUA LAKI! Hahahahaaaaaaaaa! Sio mazuri wala hayachekeshi.
 
Inamaana ajipangaje au

Yani sipati picha maandalizi aliyoyafanya aisee...halafu anarudi nehiii...

Najua kilichomuuma sana ni zile nguvu alizotumia kufua mashuka na mapazia, kuarrange room...yani duh...pole zake
 
Kila kitu kina sababu yake.......

Na ukiona mtu kagoma kula kisamvu ujue basi walau anao dagaa kauzu..... Huwezi kuacha kile kidogo ulichopewa kama huna mbadala!

Ila kwa ufupi, hapo naona kama umepiga wrong number ndugu yangu Superbrand!!

Babu DC hapo Superbrand kakutana na drama Queen , super mcharuko asiye na mapenzi kwake.
 
Last edited by a moderator:
Well...watu wameongea sana kumshutumu huyo dada lakini tumesikia upande mmoja tu wa stori ila huyu mtoa mada ameeleza kama yeye hajawahi kutenda kosa....totally innocent..!! Kwa uzoefu wangu watu wapole na wanaojifanya wataratibu hawa wana vituko vya chinichini sana lakini mbele za watu ni wataratibu kiasi kwamba ukilalamika unaonewa utabishiwa wewe uchapwe na makofi tena ukute mtu mwenyewe ndo una makelele kama mimi ndo hakuna hata atakayekusikiliza..!
 
Back
Top Bottom