Naomba kujua kosa langu Wana jamvi

Naomba kujua kosa langu Wana jamvi

interesting.......kumbe mbagala chamazi pia kuna a sister du wa kuomba kushushwa kwenye gari njiani?
halafu akaenda kugombania daladala?

this is news to me.........

yaani wadada wa kibongo kwa kuiga movie za Hollywood hadi wanajiumiza

yaani unaelekea Chamazi eti umekairika ushushwe njiani?

mimi ngingemshusha fast na wala nisingmpigia tena....

huyo sister du wa mbagala keshakusoma weakness zako so anakutingisha tu hadi mwisho akwambie mwanao simtaki alelewe na mama yake......ignore her haraka
 
Huyo dada hana nia ya dhati,ikiwa hataki uwailiane na mama mtoto jua wazi kuwa ikiwa utamuweka ndani basi itafika wakati atakuambia ukate mawasiliano na ikibidi ht hbr za mtoto uachane nazo.
 
mmmh pole ndo inavyokuwaga mwanaume mpole lazima akutane na mwanamke mwenye visa na mikasa and viceversa

Umejuaje? Au unanisema? Hahaha dudu morning mpwa
Superbrand bhana usimuache ila mpe muda kidogo, mwache kidogo atarudi faster usionyeshe hasira.
 
Last edited by a moderator:
Umejuaje? Au unanisema? Hahaha dudu morning mpwa
Superbrand bhana usimuache ila mpe muda kidogo, mwache kidogo atarudi faster usionyeshe hasira.

Mwanzo mkuu alini block bila sababu na hata hivyo hatukuwasiliana kwa siku mbili lakini akaja nambia around saa nne asb am on my way yupo Mombo.

Basi nikaona atakuwa kajifunza ameamua kufunguka zaidi lakini ndo hayo kaja kufanya baadae nilipompokea
 
Last edited by a moderator:
Mwanzo mkuu alini block bila sababu na hata hivyo hatukuwasiliana kwa siku mbili lakini akaja nambia around saa nne asb am on my way yupo Mombo.

Basi nikaona atakuwa kajifunza ameamua kufunguka zaidi lakini ndo hayo kaja kufanya baadae nilipompokea

Chapa mwendo......
Anataka adhibiti maisha yako...
 
Drama za kichawi kama hizo mwanzoni mwa mwaka ni Mkosi mkubwa sana!Nakushauri usimtafute,she's just a psycho anataka kuzifanya hisia zako kama mdoli,nadhani atakuwa ana majini au alilewa!Na ukirudi atakufanyia jambo kubwa zaidi...pole!
 
interesting.......kumbe
mbagala chamazi pia kuna a sister du wa kuomba kushushwa kwenye gari
njiani?
halafu akaenda kugombania daladala?

this is news to me.........

yaani wadada wa kibongo kwa kuiga movie za Hollywood hadi wanajiumiza

yaani unaelekea Chamazi eti umekairika ushushwe njiani?

mimi ngingemshusha fast na wala nisingmpigia tena....

huyo sister du wa mbagala keshakusoma weakness zako so anakutingisha tu
hadi mwisho akwambie mwanao simtaki alelewe na mama yake......ignore her
haraka

the boss inenichekesha ila uko right afu unadanganya wew ulivo usingemshusha trust me
 
Mwanzo mkuu alini block
bila sababu na hata hivyo hatukuwasiliana kwa siku mbili lakini akaja
nambia around saa nne asb am on my way yupo Mombo.

Basi nikaona atakuwa kajifunza ameamua kufunguka zaidi lakini ndo hayo
kaja kufanya baadae nilipompokea

kututaftia visa ya nn? utakuja juta tafta mtu mnaeendanda kashakusoma so anatafta visa wew hujui wadada
 
Usijali....atakublock na kuku-unblock mara nyingi tu...nadhani hajajua anataka nini....siku alipokuwa kimya kuna mwingine alikuwa anamtahini, inawezekana mwenzako kashinda mtihani....mwalimu? chamazi? majimatitu...sorry i was connecting dots.
 
mkuu, hakuna mwanamke hapo. piga chini gume-gume hilo lisilojitambua. na kama alikuwa anatikisa kiberiti ili aone umezimikaje kwake, basi maliza kabisa na funga ukurasa! Umeliheshimu na kuchoma mafuta yako all the way from Ubungo to Mbagala, limeona lishafika mbagala alafu ndo linajifanya kususa na kushuka??!! si ajabu halijasema ata 'AHSANTE' kwa lift.

Demu anakuwa mkali/mkorofi kiasi hicho just at the FIRST DATE??!! puuuuuuuuh. huyo ndo maana kaishia kuzalishwa na kutelekezwa tu. Mwanaume gani anaejitambua aoe jike lenye akili-mibange kama hilo?

mademu wenye kupretend 'mapozi-mbuzi' kama huyo ndo huwa na-DELETE fastaaaa kwenye memory yangu, tena na-format kabisa.

Mkuu, pole kwa mkosi huo ambao naamini umekuharibia jioni yako ya leo. Plus ungekutana na 'Panya Road' wa Kova, ndo kabisaaa ungezimia na roho yako. Endelea kutafuta mke, wewe ni 'SUPER BRAND' bhana, Mungu akujaalie upate mke ambae ni super-branded as well.

-Kaveli-

Umeongea Poa Ila Punguza Hasira Chief
 
Kama Una Mpango Wa Kumuachia Ulezi Huyo Binti...Namuonea Huruma Mwanao
Kwa Itikadi Zake, Inawezekana Hata Sio Mwalimu Bali Ni Tapeli

changanya Kwato Haraka Chief
Source: watu8

Ahsante Jigo
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom