Naomba kujua kosa langu Wana jamvi

Naomba kujua kosa langu Wana jamvi

Natamani nimjue huyo mdada!mwee jamani aliyeunganisha hizo herufi aninong'oneze!
 
Yani nimekasirika utafkir mi ndo Superbrand ! Nimekua mhanga wa wanawake pasua kichwa and so when I see a bitch traumatizing a bro...

afu unakuta limwanamke la hvo bdae linatoa toa mimacho 'oh I'm lukin for my MR Right'! Na utatoa hadi ufe u alrdy cursed yourself!

Na kuhamia kwenye nyumba za ibada
 
Last edited by a moderator:
Huyo k.a.h.a.b.a tu, yeye ana mtoto safi aolewe tena na asiye na mtoto, hana adabu kabisa. Na wewe superbrand ulifanya haraka kumpakisha kwenye usafiri, alijiona yupo juu sana. Aende zake
 
Mapenzii yana run dunia sikiliza kijana ww kosa lako unampembekejea sana huyo demu mpotozee mazima mazima asikuzungue wanawake wako wengi sana km anakupenda atakutafuta wakati mwengine, jifunze mtu anapokudharau na kutodhamini hisia zako some time react like man potezea
 
Mkuu huyo anao wanaume wengi tu ndo maana kaamua umuache njiani na usiku huo 99% huenda alikuwa na mwanaume ndo maana kakataa mawasiliano .
 
Kaandika sms eti nimeamua kumdhalilisha na kusema "Mark ma words ukifuata ushauri wa Jf you will ruin your life!! Sijui let me wait to be ruined by Jf advise

Mtaje tu mkuu,
Tangia jf iwe mpya kumtaja aliekuzingua pm/ whatsap/ viber/ talkray/ saivi ruhksa
 
Umesema linaanza na M linaishia na A,
Ebu jiongeze kidogo lina herufi ngapi?
 
Hahahaaaaa umeonaee mkuu Kaveli mtu akileta utoto unatupa kwa dustbin. Ukishikwa shikamana.

Hapo kwenye red, umemaliza kila kitu dada'ake, thumb up!! hiyo ndo habari ya mujini kwa watu makini. Ila wale wanaokuja mujini kwa lift ya msafara wa mbio za mwenge, hawalijuwi hilo na huishia kuvurunda tu.
 
Huyo hata akirudi ukamkubali utapata shida huko mbeleni. Yeye alikupima kama unaweza kumkubali mwanae na ukashinda hiyo test kwanini yeye asikubali mwanao? Naona huyu kaathirika kisaikolojia na inawezekana alitendwa huko nyuma. Kwahiyo sasa hivi haamini mwanaume yeyote.
 
Na anachofanya ni kama revenge ya yaliyomkuta. Hivyo usikubali kuwa victim wa tatizo hilo.
 
Hahahaaaa najiuliza umemjuaje labda mhusika atupe jina ikiwezekana

I'm psychic detective...lolest, tunawajua machangudoa wote wa Jf bana! Is it hard to tell?!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom