Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,574
- 40,835
Miss chaga, leo haonekani kuchangia yalionaibu mwana mmu
hihihihi umeingia chaka!! "thio huyo bhanaa"
Miss chaga, leo haonekani kuchangia yalionaibu mwana mmu
Humu ndani kuna mdada mrembo kadondokewa na Superbrand ndo kaleta za kuleta.
Haaa hebu kuja PM page zote izo sisomi..njoo.na samare kabisa
Teh Teh teh! ni speculation tu mjuba si unajua humu tumo vijishekh yahaya chipukizi!!
Mkuu, your "cc" says it all.
Dots connected.
Pathetic, though.
Hahahaa naogopa, nisije kukupa maubuyu huko halafu ukaja kunimwaga hadharani hapa...tumalizane hapa hapaa
Mi nashangaa mnatakaga nini jamani..mkipendwa hamtaki
ahaaa! bila shaka atakua masai dada au miss chaga ndo viherehere wa hiki kijukwaa!!!
n.b ni mtizamo tu, tusitaftane jamani lol!
Ayaaa na uzee huu hebu njoo bana
Hapana CC yangu ni ya kumuita aje atoe ushauri pia kwani ni mtoa ushauri mzuri sana hapa MMU pls
Ngoja aje
Pia mkuu,
Sijui jana ilikuwaje tu maana hata safari yenyewe ilikuwa ya taabu sana na majanga ambayo niliyavumilia aliniambia anatari kufika saa kumi na mbili mi On time nikawa pale ubungo kumpigia akasema bado yupo karibu na kibaha
Ikabidi nimwambie ngoja nikale external nitarudi,baada ya kula tu nikarudi kufika mataa nikampigia akasema ameshuka tayari nikamwambia nipo mataa akasema anachelewa anataka kuchukua tax,nikamuambia nafika kuwa mvumilivu na nikafika baada ya dk 15 za foleni
Kwenda ndani nikamfuata na kumsaidia mabegi huku tukielekea kwenye gari baada ya kufika kwenye gari gari ikagoma kupiga starts nikabidi niende kumuita wa tax aje ani bust akasema sh 10,000 nikampotezea kuja karibu na gari nikamkuta mshikaji ana park gari nikamuomba akakubali akani busti tukatoka na muda huo panya road ndo walikuwa wanazingua
Tukapita barabar ya shekilango na kuzunguka kupitia barabar ya makaburini kutokea external mataa
Kufika kwenye reli tukakuta jam ya maana mara muda si mrefu treni inakuja nataka kuondoka gari ikazima tena nikawa nimevuka kidogo treni ikapita na kuwakuta wengine waliokuwa wamesongamana kwenye reli na kugonga gari dogo moja kwa juma japo mwenye gari alikimbia na gari yake
Nilishuka na kupata vijana wawili tukaanza kukomaa pale na baada ya dk kama 45 alipatikana mtu na kukibali kunibust tena kumbe betri lilikuwa down na niliwasha A/C kwani alisema ana hisi Joto
Na baadae kufanikiwa na wale madogo wakanitoa kama 15 ila walijitahidi kwa kweli.,na hatimae tuliendelea na safari akaniambia huwa hufanyii service nikamwambia nafanyia ila leo nashangaa may be hujaaga huko?akacheka tukaendelea na safari
Hadi sasa gari ipo vizuri na nipo nayo bado nikajua amemind kwa gari kuzima ila nikasema ni kawaida ya magari hata liwe umetoka nalo show rum leo
Mhh...sema haki ya Mungu, naogopa mie...Mara kesho asubuhi nakuta lijithread hapa...ooh Kim mmbeaa...nitakufwaa
Ila kusema ukweli mleta mada ulichofanya sio fair...kabisaaa. Hata kama ulihitaji kushare na sisi basi usingemtaja jina....
Duh sipati picha jinsi anavyojisikia Saa hizi...not fair bwana...Kama vipi malizeni tofauti zenu....
Love z just a beautiful thing...
Acha l gadem woga u know mi I know le gadem game sio mtoto hata njoo chap
Hebu onesha mkuu nilipomtaja jina?
Sijamtaja hata sehemu moja katika uzi wangu
Na mbona wengine huwa wanatajwa na kuja kujitetea na ku toa doa
Narudia sijamtaja bado namheshimu sana tena sana the way nilivyoumia nadhani bila sheria za Jf ningemtaja kabisa kwa kuwa ana deserve.