Naomba kufahamishwa taratibu za kupata Hati Miliki ya Nyumba

Wababa13

Senior Member
Dec 27, 2017
105
70
Wana-Jukwaa habari ya muda huu, naomba kufundishwa jinsi ya kupata hati miliki ya nyumba, baada ya kuandikishana kwenye kitongoji husika sasa nahitaji kupata Hati Miliki
Natanguliza shukurani.
 
Sijawahi kusikia hati miliki ya nyumba, uwa nasikia hati ya ardhi ambayo mchakato wake unafanyika halmahauri, fika huko onana na idara ya Ardhi watakusaidia.
 
  • Thanks
Reactions: Auz
Back
Top Bottom