Naomba kueleweshwa kuhusu hii tabia

Naomba kueleweshwa kuhusu hii tabia

Alishatangaza jimbo lipo wazi nishachukua form yangu... muda wowote nitambadilisha jina
Ninakuamini kwa hilo umefanya vema kuwahi kuchukua form nasubili matokeo tu
 
Sie wanaume bahiri ukituomba ela mapenzi hayawezi kubaki salama
 
Bahili tu kwani ulimwomba nyingi? Angekupa akakupima.

Binafisi sijawahi kuomba hela kwa mwanaume yeyote sio kwamba sina shida niko tiyari kukopa kwa shoga ila sio kumwomba pesa mwanaume. Wanaume wengi mibahili mwanzo mwisho bora ufe na shida zako kuliko masimango.

Hela ya viumbe hawa ni chungu sana ukimuomba anakutafutia sababu. Binti ukizidiwa kopa kwa mtu baki ila sio mpz.

Kinachonishangaza wakiwa na shida tuko tiyari kwa lolote ili mradi tuwasaidie ila wao kutusaidia waziiito kama nn.

Wanaume make mkijua kuwa nyie ndo chanzo cha wanawake kuchepuka.sisi tukipenda unasahau yote ya zamani mapenzi tunahamishia kwa mpz sasa mpz gani kaombwa pesa kasepa kimya kimya? Kwa nn mtu usimkumbuke x wako ambae alikuwa anajiongeza hata usipomwomba? Hii ndo moja ya sababu sitowahi kuomba mwanaume pesa yake.akijua nina shida atume asipotaka aache.

We ukiombwa huwa unatoa?
 
[emoji3][emoji3]subiri akukute dada ako espy!

brain is the beautiful part of the body.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Achana na yule mwanamke anapenda umbea sana wakati wapenzi wameshapatana yeye ana demand second edition [emoji39]

Sent from my D6603 using JamiiForums mobile app
 
Sawa.....tena mimi ni mbaya kuliko unavofikiria hapo yani sifai hata kuongwa.....bipolar
Sizungumzii ubaya wa sura nazungumzia quality za kusababisha nitoe hela yangu nikupe...unaweza kuwa mzuri ila bogus kbs

Sent from my SM-J500F using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Achana na yule mwanamke anapenda umbea sana wakati wapenzi wameshapatana yeye ana demand second edition [emoji39]

Sent from my D6603 using JamiiForums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3]wonderful

brain is the beautiful part of the body.
 
Back
Top Bottom