Hili swali akilijibu ndio hili litanoga jamani.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu hivi unavyoniona natokwa na povu humu,ni sababu ya hayo mabomu ya Nagasaki na Hiroshima coz yameniathiri sana, mpaka nikaona sina budi kutumia teknolojia ya mmarekani ambayo inagharama ya hali yajuu.[emoji3][emoji3] malizia hapo chini tupeane uzoefu bwana.
Ikiwezekana na mbinu za za kukwepa hizo B52 kabisa.
Kwenye mapenzi mizinga haikwepeki labda na wewe uwe na teknolojia kubwa ikija uielekezee baharani kama afanyavyo Mmarekani.
Ila kama teknolojia yako ndogo kuna mizinga ingine ni makombora kama yale ya nagasaki na hiroshima hayakwepeki likija Unalo na likikupata linaacha maafa kizazi kwq kizazi kama mjapan sasa hivi. [emoji125] [emoji125] [emoji1] [emoji1]
tatizo sababu ulizotoa zina utata kuna kila harufu ya kuchunwa lazima aogope.. ungeongea simple tu naomba uniazime kiasi flani Nina shida sana baas!Hela ni ndogo mno niliyomuomba ila nilimshangaa sana.......uwa sipendi kuomba hela kwa mwanaume ila nilijikuta nimemuomba kutokana na situation niliyokuwa nayo
Hata me nalisubiri Kwa hamu,Ushilawadu [emoji23] [emoji23]Hili swali akilijibu ndio hili litanoga jamani.
Teh teh! sio kwa mapovu haya ngoja tuendelee kucheki movieUchoyo tu na roho mbaya ndio maana wanatafutia na majina oooh "unajiuza" ili ujisikie vibaya usiombe, mara si umuombe mzazi wako, yeye why asimuombe mzazi wake!!!
Kama kapotezea nawe mpotezee tu, mwanaume mchoyo hivyo hata mkiingia kwenye ndoa atakuwa ni tatizo tu, ndio wale wa "nyumba yang,kochi langu,tv yangu" full uchoyo na ubinafsi.
Wanawake mnashangaza sana mi kuna msichana aliniomba hela nikamwambia sina(ni kweli nilikuwa sina kwa wakati huo) akanambia watanipa wenzako nikamwambia poa! Tabia zenu zile zile wengi mnafaa kwa matumizi tu ila sio kuweka ndaniHahahahahaaaaaa yani alinichekesha sana nikamuona wa ajabu ila nashukuru nimeweza kumjua ni mtu wa aina gani na tungepotezeana muda tu
Hiyo id yake nyingine ni ipi? Ili tuwajue wachoyo vizuri!![emoji12] [emoji12] [emoji12]Sitaki kusema chochote hapa zaidi ya hayo niliyosema.....unanijua na unajua ulichofanya sio naomba niishie hapa maana wewe unatumia ID nyingine sitakujibu tena
sema sasa shida yako hapa wana Jf wakuchangie hela Jf hakishindikani kitu.. Ila usimuache jamaa kisa hajakupa hela utakuwa ulimpendea helaSoma vizuri utaelewa maana naona unaongea tu
[emoji23][emoji23]Mkuu hivi unavyoniona natokwa na povu humu,ni sababu ya hayo mabomu ya Nagasaki na Hiroshima coz yameniathiri sana, mpaka nikaona sina budi kutumia teknolojia ya mmarekani ambayo inagharama ya hali yajuu.
Hapa nilipo nimeshayatupilia mbali mabomu kadhaa,ila inahitaji moyo sana mkuu maana kuna mabomu mengine yanatumwa na mataifa yenye ushawishi ktk kila idara .....unakuta taifa lina rasilimali za kutosha kama TZ.Inahitaji moyo waki boko haram walau kulikwepa tu!
Sawa mkuu.Huenda ilichelewa kufika na ukumbuke hawa wenzetu huwai kuwa na jaziba. Unajua wanawake wana mambo mengi sana. Ukumbuke hawa ni viumbe kwahiyo inabidi tuishi nao kwa akili. Mkuu suala la mapenzi ni gumu sana lkn kwann haya mambo mwenzako kaleta humu? Mngeyamaliza bila kuyaleta humu ingekuwa bora sana.Point of Correction;
1. Wakati anaomba nilimweleza bayana itakuchukua dakika 45 mpaka lisaa limoja coz kuna ishu nafanya, hvyo nilimtaarifu.
2. Sikatai kosa, coz najua mimi ni mkoseaji mzuri tu but hata tunapokoseana jambo zuri ni kuongea
Wewe jamaa unakili sana hata Mimi kuombwa hela uwasipendi. Napenda kuombwa nitoeushauli tu basiHakuna mwanaume anayependa kuombwa hela
Pole sanamkuu tuna mwezi mmoja
Ndoto yangu sikuzote nikupata mwanmke mwenyetabia kama yako ebu njoo inbox mama tuyajenge minipo naishi Mwanza mwanzaBahili tu kwani ulimwomba nyingi? Angekupa akakupima.
Binafisi sijawahi kuomba hela kwa mwanaume yeyote sio kwamba sina shida niko tiyari kukopa kwa shoga ila sio kumwomba pesa mwanaume. Wanaume wengi mibahili mwanzo mwisho bora ufe na shida zako kuliko masimango.
Hela ya viumbe hawa ni chungu sana ukimuomba anakutafutia sababu. Binti ukizidiwa kopa kwa mtu baki ila sio mpz.
Kinachonishangaza wakiwa na shida tuko tiyari kwa lolote ili mradi tuwasaidie ila wao kutusaidia waziiito kama nn.
Wanaume make mkijua kuwa nyie ndo chanzo cha wanawake kuchepuka.sisi tukipenda unasahau yote ya zamani mapenzi tunahamishia kwa mpz sasa mpz gani kaombwa pesa kasepa kimya kimya? Kwa nn mtu usimkumbuke x wako ambae alikuwa anajiongeza hata usipomwomba? Hii ndo moja ya sababu sitowahi kuomba mwanaume pesa yake.akijua nina shida atume asipotaka aache.
Usiludie ludie tena kuomba PESA watu koma kabisa halingumusaiziHiyo sio shida ya pesa ila nilimuomba kwa kuwa nilikuwa mbali na hela nilikuwa nayo sema yeye ndo alikuwa mtu wa karibu angeweza kunisaidia
We we ndio ujielewi aliekwambia uniombe hela mapema ata atuja duduana ndiyo maana nikaamua kuuchuna mpaka sasa Na kwataarifa yako ulizani ukija huku JF kuomba ushauli sito jua. Nakupimia tuIla nyinyi mkiwa na shida zenu mnataka kupewa bila pingamizi.....OMG
Ndio lilikuja ghafla na sikumlazimisha anipe sema alichonishangaza mimi nampigia simu nimwambie mambo mengine yeye anaogopa kupokea yani alinichekesha kwa kweli maana nilimuona hajielewi