Naomba kueleweshwa kuhusu hii tabia

Naomba kueleweshwa kuhusu hii tabia

Haha wewe jamaa unakesi ya kujibu walai.

Mbona hili suala la kuombwa umelishikia njuga hivi au na wewe ni mhanga?

Naomba jibu ulitume kisha toa copy tatu moja iende KWA chama cha wanawake JF yaani CWJ ingine iende pm ya mweka hazina.

Nyingine mtumie CEO wa chama AKA kubwa la maadui pm.
Swadactaaaa
 
Huyo wala hakupendi na hakuna mapenzi hapo zaid ya ngono. Mpenzi wako kukuomba hela ni kitu cha ajabu? Ni mambo ya kawaida katika mahusiano. Huyo hata akikuoa jiandae kisaikolojia maana utateseka sana. Hawa ndiyo wale wanaume baada ya kupata watoto anaoa mke wa pili na kukuacha. KUWA MAKINI UNAPOINGIA KWENYE MAHUSIANO
Amen!
 
Usihukumu mtu, eti hampendi? Ulijua jamaa alikuwa wapi au kapatwa na nini??

Msome Abby Olla hapo juu halafu linganisha..
Nishamsoma. Nilikuwa nimeshacomment tayari ila baada ya kuona comment yake nikashindwa hata kuifuta.
Wote wanamakosa hapo na ukiangalia wote hawana true love mahusiano yao ni yale ya kupeana kampani. Haya ni mambo madogo sana katika mahusiano.
Kitu kingine jamaa kafanya makosa sana. Hata kama alikuwa in the middle of something serious kwann hakumtaarifu? Unamtumia sms tu, Honey nimepata shida kidogo nitakutumia baada ya lisaa 1 au zaidi Na pia mwanamke anamakosa sana kwann aanze kutukana bila kuuliza kwanza? Hapo hakuna mapenzi.
KUHESHIMIANA NI JAMBO LA MUHIMU SANA KATIKA MAHUSIANO SBB MTAJALIANA.
 
Haha wewe jamaa unakesi ya kujibu walai.

Mbona hili suala la kuombwa umelishikia njuga hivi au na wewe ni mhanga?

Naomba jibu ulitume kisha toa copy tatu moja iende KWA chama cha wanawake JF yaani CWJ ingine iende pm ya mweka hazina.

Nyingine mtumie CEO wa chama AKA kubwa la maadui pm.
Mkuu sikufichi kadhia kama hii toka Kwa hawa viumbe imeshanicost Mara kadha,kuna kipindi niliwahi kujiona boya mwenye kiwango cha hali ya juu.Acha tu mkuu...
 
Nishamsoma. Nilikuwa nimeshacomment tayari ila baada ya kuona comment yake nikashindwa hata kuifuta.
Wote wanamakosa hapo na ukiangalia wote hawana true love mahusiano yao ni yale ya kupeana kampani. Haya ni mambo madogo sana katika mahusiano.
Kitu kingine jamaa kafanya makosa sana. Hata kama alikuwa in the middle of something serious kwann hakumtaarifu? Unamtumia sms tu, Honey nimepata shida kidogo nitakutumia baada ya lisaa 1 au zaidi Na pia mwanamke anamakosa sana kwann aanze kutukana bila kuuliza kwanza? Hapo hakuna mapenzi.
KUHESHIMIANA NI JAMBO LA MUHIMU SANA KATIKA MAHUSIANO SBB MTAJALIANA.

Mbona mwanamke alipewa taarifa asubiri baada ya dakika 45, soma post [HASHTAG]#215[/HASHTAG]..!!
 
Mkuu sikufichi kadhia kama hii toka Kwa hawa viumbe imeshanicost Mara kadha,kuna kipindi niliwahi kujiona boya mwenye kiwango cha hali ya juu.Acha tu mkuu...
[emoji3][emoji3] malizia hapo chini tupeane uzoefu bwana.

Ikiwezekana na mbinu za za kukwepa hizo B52 kabisa.

Kwenye mapenzi mizinga haikwepeki labda na wewe uwe na teknolojia kubwa ikija uielekezee baharani kama afanyavyo Mmarekani.

Ila kama teknolojia yako ndogo kuna mizinga ingine ni makombora kama yale ya nagasaki na hiroshima hayakwepeki likija Unalo na likikupata linaacha maafa kizazi kwq kizazi kama mjapan sasa hivi. [emoji125] [emoji125] [emoji1] [emoji1]
 
Nishamsoma. Nilikuwa nimeshacomment tayari ila baada ya kuona comment yake nikashindwa hata kuifuta.
Wote wanamakosa hapo na ukiangalia wote hawana true love mahusiano yao ni yale ya kupeana kampani. Haya ni mambo madogo sana katika mahusiano.
Kitu kingine jamaa kafanya makosa sana. Hata kama alikuwa in the middle of something serious kwann hakumtaarifu? Unamtumia sms tu, Honey nimepata shida kidogo nitakutumia baada ya lisaa 1 au zaidi Na pia mwanamke anamakosa sana kwann aanze kutukana bila kuuliza kwanza? Hapo hakuna mapenzi.
KUHESHIMIANA NI JAMBO LA MUHIMU SANA KATIKA MAHUSIANO SBB MTAJALIANA.

Point of Correction;

1. Wakati anaomba nilimweleza bayana itakuchukua dakika 45 mpaka lisaa limoja coz kuna ishu nafanya, hvyo nilimtaarifu.
2. Sikatai kosa, coz najua mimi ni mkoseaji mzuri tu but hata tunapokoseana jambo zuri ni kuongea
 
Hope mpo poa
Jamani kwa mfano unakuwa na boyfriend na mmepanga kumeet vizuri tu baadae ikatokea kitu ukamwambia naomba unisaidie hela kwa maana kuna mtu anahitaji na mimi nipo mbali na sehemu ya kutuma hela isitoshe haujawahi kumuomba hata siku moja ni hiyo siku tu ndo imetokea ukamuomba hela......baadae unampigia simu kumwambia mambo mengine hapokei simu zako wala kukujibu text......hivi kwanini inakuwa hivi naomba kujua
Ubahili tuuu[emoji35] [emoji35] [emoji35]

Sent from my HUAWEI Y550-L01 using JamiiForums mobile app
 
Kuna style za kuomba hela tatizo wanawake mmetufanya sisi kama ndo Wa kuwatatulia shida zenu mkinyimwa mapovu yanawatoka... mtu hata hajaEnjoy mapenzi nawewe mizinga mfululizo inaanza
tutawala sana bila kuwaoa
 
Kwa hiyo Amina alianza kuuza keki kabla ya maandazi.

Kama nakuona vile na likikombe la maziwa unasubiri waletwe
Alianza na keki na mama mmoja alikuwa anatokea kisosora sema wazee wa quantity wakawa wanazingua na soko kubwa ni wao.

Akaja na yale mavitu.
 
Alianza na keki na mama mmoja alikuwa anatokea kisosora sema wazee wa quantity wakawa wanazingua na soko kubwa ni wao.

Akaja na yale mavitu.
Nimekumbuka. Zilikuwa Ni half cake. Sema wale wamama walicompete Ila Amina alikuwa monopoly.
 
Back
Top Bottom