pole mpenziPole....umeunguza nini....lazima ilie hivo ili hata wale wanolalaka pono waamke....:dance:
Mmmhh nimebaki peke yangu!
nipo mkuu ucjali kuna chakula kimebaki? farkhina.
Leo nlikuwa busy busy!! Mko powa humu?
Poa sana tu vipi wewe....
Good good gooood!! Its morning now
Good good gooood!! Its morning now
Aman ya bwana iwe nanyi....
wenzako tunakuja lindoni huku gobore huku hirizi. ongea na Jawilat niliona anazo mbili
Aman ya bwana iwe nanyi....
Valentina upo jaman mdada mzur
huyu amekua msaliti sana namtafuta bosi wake nimsemee..