mpe nusu farkhina atakusaidia kusoma....
Shoga angu nusura niwe kiziwi....fire alarm yanalia basi hizo kelele zake natamani kulia....kila mnapojificha sauti inafika🙁🙁🙁😱😱😱😱😱😱😡😡😡
Last edited by a moderator:
mpe nusu farkhina atakusaidia kusoma....
Pole....umeunguza nini....lazima ilie hivo ili hata wale wanolalaka pono waamke....:dance:Shoga angu nusura niwe kiziwi....fire alarm yanalia basi hizo kelele zake natamani kulia....kila mnapojificha sauti inafika🙁🙁🙁😱😱😱😱😱😱😡😡😡
kila muda wa lindo unakimbilia jikoni!, leo lazima ulinde watapika Ngongoseke na JerrymsigwaAhahhahahahaha kwani leo mnataka tule nini...nihiandae kwenda jikoni.
Cc King'asti
unataka kulipua nyumba??Mimi niko lindoni na baruti
Pole....umeunguza nini....lazima ilie hivo ili hata wale wanolalaka pono waamke....:dance:
Pole mpenzi!Sijaunguza kitu....sijui wana test nini mwenyewe huko...kelele tafran
Nani baby?namie ntamsaidia baby
Nani baby?
nauliza eti popobawa anaweza kudhuru watu walio macho, au mpaka ulale?. nakesha kwa kumuhofia ujue!.Powaa anza story
wewe ndo my baby huoni farkhina na muugwana wametuli basi na sisi tutulie mpenziNani baby?
Jf bwana kuna watu wamefungua kauzi kama haka sehem,wanajitahidi sana kushindana na hiki kitimu cha popo team,haya kazi kwenu
nauliza eti popobawa anaweza kudhuru watu walio macho, au mpaka ulale?. nakesha kwa kumuhofia ujue!.