mtz one
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 4,275
- 1,222
jamani kumuambia baby imekua mimba tena hahahaHuyo ana hashuo kama mimba ya paka.
jamani kumuambia baby imekua mimba tena hahahaHuyo ana hashuo kama mimba ya paka.
karibu katika mdahalo huu
Jamani nna wageni leo,ntakuwa nakuja kuchungulia
khaa nawe kwa wageni!umewaandalia nini nije kula?
Wala usiende wameandaliwa maji ya kunywa tu....
Hivi anajua kupika???Subiria maharage ya Jerrymsigwa....pika wali kabisaa...
Hivi anajua kupika???
hehehe maji ya kunywa na cd ya kibongo, ikiisha unasindikizwaWala usiende wameandaliwa maji ya kunywa tu....
Chinekeee siku ya kufa nyani leo...
Hawa Man U wamenifanya nihamie bar...
Eti nanilii kwani patrol washapita....
Man U saa hizi?...
Subiria maharage ya Jerrymsigwa....pika wali kabisaa...
Mwenzangu walivyobamizwa kwa machungu mie nikavamia haka kabaa kako karibu na lindo......fastA nikaanza na viroba...sijui hata nilizimika saa ngapi...ndio naamka saa hizi full hangover....