Valentina
R I P
- Oct 12, 2013
- 24,688
- 28,834
yani unaanzisha uzi halafu unaenda kulalwa? we vwipwi?
Mmmmh! Kulalwa tena??
yani unaanzisha uzi halafu unaenda kulalwa? we vwipwi?
wewe pia popoSiku njema mapopo wote...
Mayoo eeh katujencha tulikuja na mabere......wasukuma Mpo...Sasa mbona nimeshonola mda wote huo hata sioni story
Ngoja nilalepo maayo
Mmmmh! Kulalwa tena??
Nipo my kaka...mambo zako
Kulalwa ni kiswahili?
Haya mdada lunch njema ushaamka lakin
We we weee...ole wako useme
Mi nmeshindwa kuelewa uyo aliesema hivo alimanishaje
Hii post iko active day n night
----🐼🐼🐼🐼🐼🐼----
Naona hata mimi,hata hivyo Hongera kwetu tumeipa umaarufu pia
Poa mkuu, baada ya mishe za whole day sasa nilalepo(mwanza slang). Kama kawa mida yetu tutakutana
leo hauna wageni?
Poa mkuu, baada ya mishe za whole day sasa nilalepo(mwanza slang). Kama kawa mida yetu tutakutana
Jana nimewaamsha niliposikia footsteps nilipotoka kuangalia nini nikakuta machalii flani wanaulizia kwa Ngongoseke ile narudi kumuulizia farkhina chakula anadai kimeisha anaosha vyombo dah Jerrymsigwa jana ulikuwa wapi sijakuona zaidi ya Jaliwat na valentine ok tukutane mida yetu.
Wageni usiku? Ha ha haa najuuuta kutoa excuse ya kupata mgeni
jana kulikuwa na mgeni @ binamutz anavyojiita ile nimeanza kumwambia habari za wachawi akazimia mazima, Arushaone nae alichungulia sijui @ Ladydoctor alikua wapi!