Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,844
- 52,251
Shukrani,Mwenyenzi Mungu awe mwingi wa neema na rehema kwa mwaka huu.
Jamaaani umevuka? Hongera sanaaa Mungu akubariki in 2014
Jamaaani umevuka? Hongera sanaaa Mungu akubariki in 2014
Jamaaani umevuka? Hongera sanaaa Mungu akubariki in 2014
Nimevuka...
Heri ya mwaka mpya...
Heri ya mwaka mpya...
Nimekumis pia mpenzi..
Swalaaaaaaa...... Swalaaaaaaa...... Swalaaaaass........ Swali kabla hujaswaliwa!!!!!!
nawauliza wale ambao hawajalala,isije kuwa waliyatafuna haya majani kama mbuzi.kwani na wewe unamenyaga hayo makitu?
nawaonea hurumaBadooo.... kuna mtu kala hela zote za big G....
nashukuru kulisikia hilo,heri ya mwaka mpya.mie mzima,nilimis kweli michango yako,karibu tena!
Heri ya mwaka mpya humu ndani?
no one is on duty today?walinzi nimewamic
Tulitoka kdg