Kipaji Halisi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 2,280
- 1,364
Me too....miss you!
Me too....miss you!
Me three Lady doctor
Nipo jamani nakujA kila hapa hufungui mlango sijui kulikoni tu
nawauliza wale ambao hawajalala,isije kuwa waliyatafuna haya majani kama mbuzi.
Nalog off
nashukuru kulisikia hilo,heri ya mwaka mpya.
Nalog off
Habari za hapa!
Hujambo! Hujalala tu?
Marhabaa! Nilikuwa siasani kidogo, watu wana jazba, siasa siwezi kamwe.Sijambo, shkamoo! Bado nipo
habarini wandugu? njooni tucheki movie.
movie tunacheki hapahapa. nimeweka jack the giant slayer. kama unayo kali ya kichitchat itakuwa bomba zaidi.Toa physical address
Marhabaa! Nilikuwa siasani kidogo, watu wana jazba, siasa siwezi kamwe.
dah mie hamna kabisa
usingizi bibiehamna nini?
sasa bibie mi nimeku penda walahi naomba uwe mke wangu jf ILOVE YOU so much mmwaaaaaaaaaaammmh..! nimewamisi, farkina, jerry, jawilat, na wengine wale wa toka mwanzo. mu wazima?