Kuhusu Babu Duni nadhani ni suala la muda tu atakuwa makamu wa kwanza wa rais huko Zanzibar
Juma Duni ndio natural Hair wa Maalim Seif. Japo kuwa Umri umekwenda, na pia amepoteza ushawishi kwenye chama na kwa wafuasi ukilinganisha na miaka ya nyuma. Lakini bado anabaki kuwa ndie most deserved one