Nani kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar baada ya kifo cha Maalim Seif Sharif Hamad?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
116,472
215,294
Ni wazi kwamba Gwiji la siasa za Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad amefariki ( Apumzike kwa amani ) lakini ikumbukwe kwamba Zanzibar bado ingalipo na itaendelea kuwepo.

Sasa bila shaka Katiba ya Zanzibar inatambua uwepo wa Makamu wa Kwanza wa Rais, je imeeleza chochote jambo kama la kifo linapotokea? Na kama ACT Wazalendo wanaruhusiwa kujaza nafasi ya Maalim Seif unadhani ni yupi awezaye kuvaa viatu hivi?
 
Ni wazi kwamba Gwiji la siasa za Zanzibar Maalim Seif amefariki ( Apumzike kwa amani ) lakini ikumbukwe kwamba Zanzibar bado ingalipo na itaendelea kuwepo.

Sasa bila shaka Katiba ya Zanzibar inatambua uwepo wa Makamu wa Kwanza wa Rais , je imeeleza chochote jambo kama la kifo linapotokea ? na kama ACT Wazalendo wanaruhusiwa kujaza nafasi ya Maalim Seif unadhani ni yupi awezaye kuvaa viatu hivi ?
Anaye tajwa tajwa Babu Juma Duni Haji
 
Ni wazi kwamba Gwiji la siasa za Zanzibar Maalim Seif amefariki ( Apumzike kwa amani ) lakini ikumbukwe kwamba Zanzibar bado ingalipo na itaendelea kuwepo.

Sasa bila shaka Katiba ya Zanzibar inatambua uwepo wa Makamu wa Kwanza wa Rais, je imeeleza chochote jambo kama la kifo linapotokea? Na kama ACT Wazalendo wanaruhusiwa kujaza nafasi ya Maalim Seif unadhani ni yupi awezaye kuvaa viatu hivi?
Imeeleza nimesahau ibara na kifungu ila inasema "endapo makamu wa kwanza wa Rais akafa Rais alieko madarakani anaruhusiwa "kuteua"mwingine..
Hivyo baada ya msiba kupita Rais anaruhusiwa kikatiba "ya kwao huko"kuteua makamu wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni wazi kwamba Gwiji la siasa za Zanzibar Maalim Seif amefariki ( Apumzike kwa amani ) lakini ikumbukwe kwamba Zanzibar bado ingalipo na itaendelea kuwepo.

Sasa bila shaka Katiba ya Zanzibar inatambua uwepo wa Makamu wa Kwanza wa Rais, je imeeleza chochote jambo kama la kifo linapotokea? Na kama ACT Wazalendo wanaruhusiwa kujaza nafasi ya Maalim Seif unadhani ni yupi awezaye kuvaa viatu hivi?
Hata watu hawajazika?
 
Twende kikatiba zaidi...

Katiba ya zanzibar ya mwaka 1984 na mabadiliko yake toleo la 2010 .

Ibara ya 40 ,Ibara ndogo ya kwanza(i) inasema,

40.(1) Endapo nafasi ya Makamo wa Kwanza wa Rais au Makamo
wa Pili wa Rais itakuwa wazi:
(a) kwa sababu ya kufariki au kujiuzulu; au
(b) ikiwa Rais amefuta uteuzi huo; au
(c) kwa sababu nyengine yoyote itakayomfanya ashindwe
kuwa na sifa za Makamo wa Kwanza wa Rais au
Makamo wa Pili wa Rais;
Rais atamteua Makamo wa Kwanza wa Rais au Makamo wa Pili wa
Rais kutegemeana na nafasi iliyo wazi.



Hivyo utaratibu unarudi kama awali alivyoteuliwa maalim seif.


Kuhusu nani ata fit kuwa makamu wa kwanza hilo tuwe na subira msiba uishe.
 
Twende kikatiba zaidi...

Katiba ya zanzibar ya mwaka 1984 na mabadiliko yake toleo la 2010 .

Ibara ya 40 ,Ibara ndogo ya kwanza(i) inasema,

40.(1) Endapo nafasi ya Makamo wa Kwanza wa Rais au Makamo
wa Pili wa Rais itakuwa wazi:
(a) kwa sababu ya kufariki au kujiuzulu; au
(b) ikiwa Rais amefuta uteuzi huo; au
(c) kwa sababu nyengine yoyote itakayomfanya ashindwe
kuwa na sifa za Makamo wa Kwanza wa Rais au
Makamo wa Pili wa Rais;
Rais atamteua Makamo wa Kwanza wa Rais au Makamo wa Pili wa
Rais kutegemeana na nafasi iliyo wazi.



Hivyo utaratibu unarudi kama awali alivyoteuliwa maalim seif.


Kuhusu nani ata fit kuwa makamu wa kwanza hilo tuwe na subira msiba uishe.
Asante , lakini Maalim pamoja na mambo Mengine aliteuliwa baada ya kupendekezwa na chama chake , sasa huyu mwingine atakayekuja naye atapitia njia hii hii ?
 
Imeeleza nimesahau ibara na kifungu ila inasema "endapo makamu wa kwanza wa Rais akafa Rais alieko madarakani anaruhusiwa "kuteua"mwingine..
Hivyo baada ya msiba kupita Rais anaruhusiwa kikatiba "ya kwao huko"kuteua makamu wake

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna ruhusa na wajibu.

Kama imeandikwa anaruhusiwa nadhhani sheria haimkalifishi pale ambapo ataamua asichague
 
Nadhani watampa Mazrui au Ismail Jussa.
Ni wazi kwamba Gwiji la siasa za Zanzibar Maalim Seif amefariki ( Apumzike kwa amani ) lakini ikumbukwe kwamba Zanzibar bado ingalipo na itaendelea kuwepo.

Sasa bila shaka Katiba ya Zanzibar inatambua uwepo wa Makamu wa Kwanza wa Rais, je imeeleza chochote jambo kama la kifo linapotokea? Na kama ACT Wazalendo wanaruhusiwa kujaza nafasi ya Maalim Seif unadhani ni yupi awezaye kuvaa viatu hivi?
 
22 Reactions
Reply
Back
Top Bottom