Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,771
- 218,393
- Thread starter
- #121
Mbona Bashiru Ally kateuliwa kabla hata mashada hayajanyauka ?Na wewe mwandika bandiko huna utu,hata kidogo,mtu hajazikwa unaanza kubashiri warithi wa cheo?
Kuwa na utu japo kidogo,subiri azikwe ndo mengine yaendelee,ungekua nduguyo wa karibu,ungefurahi watu wajadili namna hiyo?