Nani kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar baada ya kifo cha Maalim Seif Sharif Hamad?

Mazrui na babu duni wanaweza fit sana hapo ila naona kama nao wapo kwenye kundi la hatari ya changamoto ya kupumua,hivyo basi busara inaweza kutumika kumchagua kijana anaye elekea kwenye uzee.
 
Asante , lakini Maalim pamoja na mambo Mengine aliteuliwa baada ya kupendekezwa na chama chake , sasa huyu mwingine atakayekuja naye atapitia njia hii hii ?
Exactly, kwa toleo hili la 2010,la katiba ya zanzibar ya mwaka 1984 ,chama cha upinzani kilichozidi 10% ya viti vya ubunge (majimbo) ndicho kitakachotoa makamo wa kwanza wa rais ....hivyo kina ACT-WAZALENDO watapendekeza jina kwa Rais wa zanzibar kama ilivyokua kwa the late.

Yes atapitia njia hiyo hiyo.
 
Na wewe mwandika bandiko huna utu,hata kidogo,mtu hajazikwa unaanza kubashiri warithi wa cheo?
Kuwa na utu japo kidogo,subiri azikwe ndo mengine yaendelee,ungekua nduguyo wa karibu,ungefurahi watu wajadili namna hiyo?
 
1. Mansour Yussuf Himid
2. Ismail Jussa
3. Juma Duni Haji
4. Nassoro Mazrui.
  1. nassor mazrui haitowezekana kuwa makamo kwa sababu ameteuliwa kuwa muakilishi na raisi, muda wowote anaweza kuziba nafasi ya uwaziri katika ya wizara mbili walioachiwa ACT. makamo wa kwanza haingii kwenye baraza la wawakilishi
  2. kuhusu Jussa sidhani kama itawezekana kuchaguliwa, nitakupa sababu zangu private kama utahitaji (jussa ni rahisi kumchafua mbele ya jukwaa)
  3. mansour na Duni ndio wabeba maono wa upinzani na wote wameshajijengea mvuto mbele ya hadhira, wote ni wazungumzaji na wahamisishaji wazuri
 
  1. nassor mazrui haitowezekana kuwa makamo kwa sababu ameteuliwa kuwa muakilishi na raisi, muda wowote anaweza kuziba nafasi ya uwaziri katika ya wizara mbili walioachiwa ACT. makamo wa kwanza haingii kwenye baraza la wawakilishi
  2. kuhusu Jussa sidhani kama itawezekana kuchaguliwa, nitakupa sababu zangu private kama utahitaji (jussa ni rahisi kumchafua mbele ya jukwaa)
  3. mansour na Duni ndio wabeba maono wa upinzani na wote wameshajijengea mvuto mbele ya hadhira, wote ni wazungumzaji na wahamisishaji wazuri
Sawa nimekupata vizuri lakini Mansour inaonekana bado ni mchanga katika siasa za upinzani itawezekana kweli ACT kupendekeza jina lake ?
 
  1. nassor mazrui haitowezekana kuwa makamo kwa sababu ameteuliwa kuwa muakilishi na raisi, muda wowote anaweza kuziba nafasi ya uwaziri katika ya wizara mbili walioachiwa ACT. makamo wa kwanza haingii kwenye baraza la wawakilishi
  2. kuhusu Jussa sidhani kama itawezekana kuchaguliwa, nitakupa sababu zangu private kama utahitaji (jussa ni rahisi kumchafua mbele ya jukwaa)
  3. mansour na Duni ndio wabeba maono wa upinzani na wote wameshajijengea mvuto mbele ya hadhira, wote ni wazungumzaji na wahamisishaji wazuri
Nazihitaji hizo sababu za Jussa kutokupendekezwa jina lake.

Lakini pia ningependa unipe tathmini yako Jussa ameweza kuwa katika siasa za upinzani kwa takribani miaka 20 kutokea Unguja wakati nguvu ya vyama vya upinzani Zanzibar iko Pemba ?
 
Sawa nimekupata vizuri lakini Mansour inaonekana bado ni mchanga katika siasa za upinzani itawezekana kweli ACT kupendekeza jina lake ?
za nyuma ya pazia (kutoka radio wananchi), maalim alimpendekeza kijana awe makamo wa raisi lakini hussen alikataa.
 
Nazihitaji hizo sababu za Jussa kutokupendekezwa jina lake.

Lakini pia ningependa unipe tathmini yako Jussa ameweza kuwa katika siasa za upinzani kwa takribani miaka 20 kutokea Unguja wakati nguvu ya vyama vya upinzani Zanzibar iko Pemba ?
mvuto ndio unaongaliwa zaidi na wananchi husasani vijana....kitendo cha mansuri kuhama CCM na kuelekea upinzani kilipelekee ajiongezee namba ya wananchi wenye imani kwake.
 
mvuto ndio unaongaliwa zaidi na wananchi husasani vijana....kitendo cha mansuri kuhama CCM na kuelekea upinzani kilipelekee ajiongezee namba ya wananchi wenye imani kwake.
Sawa lakini ccm watakuwa tayari kushirikiana na Mansour iwapo jina lake litapendekezwa ?

Je wapemba watakuwa tayari kumtanguliza Mansour kuipigania Zanzibar yenye haki na usawa ?
 
ACT Wana siku 14, baada ya nafasi kuwa wazi, za kupendekeza jina la Makamo wa Kwanza wa Rais na kulipeleka jina hilo kwa rais then rais atamteua.
 
Back
Top Bottom