Nani awe 'JF Miss Chit-Chat' mwaka 2012?

Nani unampa kura yako kama Miss Chit Chat 2012?

  • Cacico

    Votes: 27 11.2%
  • Remmy

    Votes: 7 2.9%
  • Madame B

    Votes: 40 16.5%
  • Ciello

    Votes: 5 2.1%
  • Charminglady

    Votes: 115 47.5%
  • Arabela

    Votes: 48 19.8%

  • Total voters
    242
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.
hata mi inanipa mashaka hasa pale kitalolo anapoaanza kuedit post yangu kwa malengo amabyo nahisia si mazuri.

Naomba mamod wote wa jf waingilie kati hii kesi kwani unanishutumu kwa kitu amabacho sijakifanya na ikibainika ukweli waweke wazi hapa jf
 
Last edited by a moderator:


mkuu naona mabo yanaenda vizuri kwa upande wako sasa wameona wanashindwa wameanza kunishutumu eti nimeedit post zao wanataka kuaribu uchaguzi hawa wana dama ya kile chama chawala
 
mkuu naona mabo yanaenda vizuri kwa upande wako sasa wameona wanashindwa wameanza kunishutumu eti nimeedit post zao wanataka kuaribu uchaguzi hawa wana dama ya kile chama chawala

Hahaha...mkuu usijali wakati mwingine kukaa kimya ni bora zaidi ndio maana nipo kimya nafanya mambo taratibu na kwa msaada wa wadau wangu ukiwemo wewe kaka!
 
heheheeeeeiyaaaa........!!! kazi ndio imeanza,kampeni manager wa Arabela ndio naanza kazi

hata mi inanipa mashaka hasa pale kitalolo anapoaanza kuedit post yangu kwa malengo amabyo nahisia si mazuri.

mkuu Invisible naomba msaada wako kwenye hii shutuma inayonikabili nilichofanya ni kuquoute post ya huyu jamaa kama inavyojionyesha hapa lakini amekuja na shutuma kuwa nimeedit post yake tunaomba msaada maana nimemwambia sio fair kwa mwandaajia wa shindano na wakati huo huo kuwa meneja wa kampeni wa miongoni mwa wagomea kama inavyoonekana hapa kwenye post yake akijiita kampeni meneja wa Arabela.

mkuu ukifwatilia uzi huu utaona shutuma nyingi alizozielekeza kwangu hata baada ya mimi kuweka quote ya post yake na kutaka ufafanuzi juu ya hilo.
Amekiri mwenyewe kuwa hataliacha hili lipite hivyo hivyo na kwenye private meseji aliyonitumia ananishutumu kwa kumchafulia jina haya ni madai mazito sana ambayo naomba yapatiwe ufafanuzi mapema tafadhali sana sipendi kumkwza huyu bwana Ruhazwe JR kwanamna yoyote.

Asante
 
Last edited by a moderator:
heheheeeeeiyaaaa........!!! kazi ndio imeanza,kampeni manager wa Arabela ndio naanza kazi


Hahaha...mkuu usijali wakati mwingine kukaa kimya ni bora zaidi ndio maana nipo kimya nafanya mambo taratibu na kwa msaada wa wadau wangu ukiwemo wewe kaka!

mkuu ni kweli lakini ukimya maana yake ni ndio na pia ni hapana sasa kwa shutuma hizi ambazo wengine wamekwishaanza kuona kuwa nimeedit post ya huyu jamaa yanaondoa uhalali wa hili shindano ndio maana hapa nimeomba wakuu wa JF waweze kulitazama hili na kuclear mashaka yote yaliyopo ili tumpate miss chitchat wetu charminglady kwa haki bila mizengwe
 
Last edited by a moderator:
kitalolo bado nakusihi sana uweke link,ushahidi wako wa quote hautoshi...naomba uweke link mahala ambapo ume quote.mbinu uliyotumia kuiandaa hiyo quote naifahamu sana.na naomba Moderator na Invisible watoe majibu juu ya shutuma hii unayo nipa.kamwe sito iacha ipite kirahis rahis kama ulivyo kuja na narudia tena weka link ya mahala ulipo quote
 
Last edited by a moderator:

ha ha haa! Hii nafasi ya upendeleo yaonesha aliyependelewa kapendwa kwelikweli..Lakini lara1 na zinduna wangekuwamo mchuano ungekuwa vuta nikuvute zaidi...labda tusubiri shindano lijalo pengine sifa za ushiriki zitawekwa wazi mapemaaa!

Merry Christmas, Happy 2013
 
mkuu kitaloo tayari nimepata majibu ya kunilizisha....nimepigiwa sim na mdogo wangu Madabhali jnr kuwa ni kweli yeye ndio alijikuta anapost kwa kutumi simu yangu.ananikumbusha zaid tulikua tumekaa wote sehemu flan,simu yake ikawa inakataa kufungua net,akaniomba ya kwangu kuingia jf na aliingia kwa kusahau log out id yangu akajikuta ka-post.nimemwambia aje hapa kutoa majib anadai anapata tabu hata kuingia jf kwa id yake.kifup ni kwel na kanielekeza mahala ilipo hiyo post.nikuombe ladhi sana
 
Last edited by a moderator:
kitalolo nizid kukuhakikishi sijaegeme popote katika kumsaidia mshirik yoyote.japo nimepiga kura na kura yangu kwangu ni siri....relax mkuu hakuna chochote kinacho athil mwenendo wa uchaguz ila tuzid kukosoana
 
Last edited by a moderator:
kitalolo nizid kukuhakikishi sijaegeme popote katika kumsaidia mshirik yoyote.japo nimepiga kura na kura yangu kwangu ni siri....relax mkuu hakuna chochote kinacho athil mwenendo wa uchaguz ila tuzid kukosoana

Mkuu Ruhazwe JRnaoma kwa heshima na taadhima unisamehe pale nilipokukwaza na mimi ninakusamehe pale uliponikwaza na ninaomba nijiondoe kwenye haya malimbano yasiojenga na naomba tufunge huu mdaalo kwa heshima yetu sote na kwa heshima ya JF ila nizidi kukuhakikishia tu kuwa msimamo wangu ni kuwa sijaedit post yako.Na ninaondoka kwenye post hii kwa roho nyeupe na nikimsubiria mshindi wa chit chat na nitakubaliana na yeyete atakayekuwa mshindi.
Asante na ninatumaini utanielewa kwani sioni haja ya kuendeleza malumbano. na naomba wanaJF waendelee na moyo wa kupiga kura wakiamini kuwa atakayeshinda hatatokana na uchakachuzi.
Nakemea uchakachuzi wa aina yeyeto kwani tukichakachua huku ndio tunajenga taifa la wachakachuzi amabalo litatupeleke
kwenye kuchakachua kila kitu.
sina maslai na mgombea yeyeto ingawa nilipiga kura kwa heshima ya kampeni meneja wa charminglady[MENTION]watu8[/MENTION]na nilifanya hivyo kwani ndiye aliyekuwa wa kwanza kuniomba kura yake na sikuona iana ya kutokufanya hivyo na hata miaalipokuja kuniomba kura ya mtu wake nilimweleza wazi kuwa nimekwishapiga kura yangu kwa aliyewahi kuniomba kura. hivyo malalamiko yangu hayakuwa kwa maslai ya mgombea bali nilikuwa napenda kuona haki ikitendeka na kuoneka.
Hivyo kama umekana post niliyoikoti hapo nakuomba uirejee ukurasa wa kwanza na kuwaimba mamod wafuatilie kujua ni nani aliyeediti ili wewe uonekane kuwa ni mwandaaji wa shindano na pia ni kampeni meneja wa miongoni mwa wagombee hii sio kuendeleza malumbano bali ni ili haki itendeke na kuonekana kuwa imetendeka kwa maslai ya JF nzima na jukwaa hili pia kuondoa mashaka yatakayoweza kujitokeza baadae ikiwa itatokea hali ya sintofaahmu kama hii. Pengine kwenye maoni au kura zinazoendeshwa hapa JF.
naomaba nitangaze rasmi sasa kujiondoa kwenye malumbano haya na kuomba pamoja na kutangazaa msamaa dhidi ya hili lililojitokeza hapa.
AMINA NA HERI YA MWAKA MPYA WA 2013
 
Last edited by a moderator:
ha,ha,ha.. Kitololo sio utan ulinifanya jana nilewe sana maana jana nilihis kudata hasa pale ulipokataa kujibu pm yangu....naomba tuzid kukosoana.nikuombe radhi pia
 
Last edited by a moderator:
kwa utafiti mfupi niliofanya kipindi hiki kuna makampeni meneja ambao hawajavote sijui wanasubiri nini..

Mpaka sasa huyu charminglady anachapa hawa mang'ang'aa..

Week end njema!!
 
Last edited by a moderator:

mkuu Ruhazwe JR mimi natoa zawadi ya kuwa patia muda wa maongezi wa dakika 10 kwa washindi watatu wakwanza..
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…