Nani anamiliki Internet(Who owns the internet)?

Nani anamiliki Internet(Who owns the internet)?

Sorry kama ntakua nimeuliza swali la kishamba..
Mkuu hivi hawa service providers let's say Tigo...voda..airtel..smile etc huwa wanazitoa wapi hiyo internet yao...na huko watowako i.e major internet service provider huwa anatoa wapi hizo bites (internet) wat z exactly source of internet...??
kuna ma isp wa isp ambao ni
-erricson
-huawei
-nokia
-zte
-alcatel.

voda na airtel wao wananunua kwa nokia
smile ananunua kwa alcatel
smart aka bol ananunua kwa zte.

hao kina nokia na ericson na ma isp wa isp wengine wao wanagundua miundombinu ambayo wanawauzia mitandao ya simu ili watupe sisi internet.


Kuna kampuni au nchi ambayo inamiliki internet..?? Ambayo nchi au makumpuni mengine yananunua toka kwake...??
internet haimilikiwi ila ni huru ila vyombo vinavyofanikisha mawasiliano ya internet ndo vinamilikiwa na watu.
 
kuna ma isp wa isp ambao ni
-erricson
-huawei
-nokia
-zte
-alcatel.

voda na airtel wao wananunua kwa nokia
smile ananunua kwa alcatel
smart aka bol ananunua kwa zte.

hao kina nokia na ericson na ma isp wa isp wengine wao wanagundua miundombinu ambayo wanawauzia mitandao ya simu ili watupe sisi internet.



internet haimilikiwi ila ni huru ila vyombo vinavyofanikisha mawasiliano ya internet ndo vinamilikiwa na watu.

Asante sana chief-mkwawa kwa majibu yako yanayoeleweka baada ya blah blah nyingi kwa waliojaribu kabla ya uwasilishaji wako

Kwamba local provider nao wananunua toka kwa intl provider ambao wao ndio hutengeneza hizo bytes na hawafungwi na sheria yeyote ya haki miliki kutoa huduma

Pia nimshukuru KakaKiiza kwa kuanzisha hii post na mkuu Mbeky kuiweka mada vizuri kwa maswali ya lugha rahisi inayoeleweka kuanzia IQ kubwa mithili ya Ashkenazi mpaka IQ ndogo kama wale 'Kundi la wengi' ndani ya Bunge la Katiba
 
Last edited by a moderator:
Asante sana chief-mkwawa kwa majibu yako yanayoeleweka baada ya blah blah nyingi kwa waliojaribu kabla ya uwasilishaji wako

Kwamba local provider nao wananunua toka kwa intl provider ambao wao ndio hutengeneza hizo bytes na hawafungwi na sheria yeyote ya haki miliki kutoa huduma

Pia nimshukuru KakaKiiza kwa kuanzisha hii post na mkuu Mbeky kuiweka mada vizuri kwa maswali ya lugha rahisi inayoeleweka kuanzia IQ kubwa mithili ya Ashkenazi mpaka IQ ndogo kama wale 'Kundi la wengi' ndani ya Bunge la Katiba

ila mkuu hili si jibu bali ni part tu ya jibu. mimi nimezungumzia mobile data kama hizi za kwetu za kutumia line. internet ni pana kuna wifi, kuna kwa njia ya cable na nyenginezo wataalam wataendelea huko
 
Last edited by a moderator:
An Internet service provider (ISP) is an organization that provides services for accessing, using, or participating in the Internet.

Ili internet ifanye kazi au wewe ili uweze ku-surf na kuangalia hii JF Site, unapoomba page moja ya JF labda iliyohifadhiwa kwenye computer fulani kule marekani inabidi hio information (ombi lako) litoke kwenye computer yako through modem hadi kwenye minara ya provider wako (tigo, airtel et al) na baada ya hapo either through satellites au mkonga mpaka mwisho wa siku ifike huko kwenye Computer ile ambayo ina JF page unayotaka...

Sasa hawa ISPs kwa pamoja au mmoja mmoja au kwa kukodi wanamiliki hizi njia ambayo page yako inapita; tuseme hizi njia ni kama barabara na njia za magari za nchi nzima; kwahio hata kama mkuu wa mkoa akizuia barabara zote za Mwanza ili magari yasipite kwahio watazuia watu wa Mwanza tu wasiende pengine ile sio wa pengine kuwasiliana pia hata hivyo watu wataweza kuendelea kutembea kwa kutumia ndege au train

Wewe bado hujamuelewa vizuri muuliza swali, unabaki kuzungumzia internet protocol na ISP.
Jamaa anataka kujua hao Voda wanatoa wapi hiyo service? Hiyo mikongo ya baharini (Fiber Optic) imetokea nchi gani?
 
Huu ni mfano mfu kwani mwisho wasiku TANROAD Ndo wamiliki wahizo barabara hivyo tunatafuta mmiliki wa Internet hatutaki justification hapa ongelea utaalamu siyo blah blah ila samaani kama nimekuoffend.

TANROAD inamiliki mpaka barabara za Rwanda?!!!!!!
Kuna kitu nimeshahisi kuhusiana na hii thread, HUENDA haukuwa na malengo ya kujifunza, IHAMISHIE JUKWAA LA CHITCHAT au UTANI.
 
Wewe bado hujamuelewa vizuri muuliza swali, unabaki kuzungumzia internet protocol na ISP.
Jamaa anataka kujua hao Voda wanatoa wapi hiyo service? Hiyo mikongo ya baharini (Fiber Optic) imetokea nchi gani?

Siyo somo fupi kiasi hicho, lazima aanzie karibu zaidi ili umwelewe. Ni chain kutoka kwenye modem yako kwenda voda kwenda ttcl kwenda Seacom kwenda Century Link au Qwest. Ni "system" na ndani yake kuna wahusika WENGI na wote wanategemeana, HAKUNA MMOJA ANAYEWEZA KUSEMA ANAMILIKI.
 
Asante sana chief-mkwawa kwa majibu yako yanayoeleweka baada ya blah blah nyingi kwa waliojaribu kabla ya uwasilishaji wako

Kwamba local provider nao wananunua toka kwa intl provider ambao wao ndio hutengeneza hizo bytes na hawafungwi na sheria yeyote ya haki miliki kutoa huduma

Pia nimshukuru KakaKiiza kwa kuanzisha hii post na mkuu Mbeky kuiweka mada vizuri kwa maswali ya lugha rahisi inayoeleweka kuanzia IQ kubwa mithili ya Ashkenazi mpaka IQ ndogo kama wale 'Kundi la wengi' ndani ya Bunge la Katiba

hahaaa, unaongea kama unafunga uzi wakati mleta mada hajaelewa?!! hebu tusaidie kumwelewesha mleta mada hao intl isp wao isp wao ni nani?
 
kuna ma isp wa isp ambao ni
-erricson
-huawei
-nokia
-zte
-alcatel.

voda na airtel wao wananunua kwa nokia
smile ananunua kwa alcatel
smart aka bol ananunua kwa zte.

hao kina nokia na ericson na ma isp wa isp wengine wao wanagundua miundombinu ambayo wanawauzia mitandao ya simu ili watupe sisi internet.



internet haimilikiwi ila ni huru ila vyombo vinavyofanikisha mawasiliano ya internet ndo vinamilikiwa na watu.

angalia vizuri hao uliowataja, siyo tier 1 isp. otherwise uko sahihi kaka.
 
Mi nimejifunza kitu kimoja muhimu hapa. Kwamba hakuna mtu anaweza kuzima switch sehemu huko marekani na dunia nzima ikakosa internet.

Nadhani hapo ndio kwenye jibu la mleta mada.
 
Wakati ndege ya Malaysia haijapatikana hadi leo,huku Songea kuna bodaboda imepotea na haijapatikana siku ya nne leo.

Huku Malaysia walau ping zimesikika mahali fulani kiasi cha kufahamu mahali ilipoangukia. Tunasubiri tu ku-locate blackbox.

Hamjasikia na ping za hiyo black box ya hiyo bodaboda?
 
Indeed kama fellow guys walivosema above no one actually owns the internet maana ni collection of Networks zikaunganishwa kuunda big networks na hizo big networks kuungwa zaidi na kutengeneza even bigger networks and so forth. Hivyo provided una computer yako or any network device wewe pia technically unamiliki internet maana the system is way complex to be owned by one person or company!! BUT however kuna company moja 'inayomiliki' / ku control one major aspect of the internet!! Nayo ni ICANN ambao ndo wanahusika kutoa domain name na IP addresses ambazo bila hizo huwezi kuingia on the internet!! Usipolipia domain name yako, account inafungwa na inakua wazi kwa mwingine kubeba. So unaweza sema zile physical infrastructure za internet sawa hakuna mmiliki lakin the World Wide Web inaendeshwa with these guys bila ruhusa yao who ever you are hauingii in the net!! Its a company in the Murica of coarse!! 🙂
 

Attachments

  • 1397367151414.jpg
    1397367151414.jpg
    62.9 KB · Views: 154
Indeed kama fellow guys walivosema above no one actually owns the internet maana ni collection of Networks zikaunganishwa kuunda big networks na hizo big networks kuungwa zaidi na kutengeneza even bigger networks and so forth. Hivyo provided una computer yako or any network device wewe pia technically unamiliki internet maana the system is way complex to be owned by one person or company!! BUT however kuna company moja 'inayomiliki' / ku control one major aspect of the internet!! Nayo ni ICANN ambao ndo wanahusika kutoa domain name na IP addresses ambazo bila hizo huwezi kuingia on the internet!! Usipolipia domain name yako, account inafungwa na inakua wazi kwa mwingine kubeba. So unaweza sema zile physical infrastructure za internet sawa hakuna mmiliki lakin the World Wide Web inaendeshwa with these guys bila ruhusa yao who ever you are hauingii in the net!! Its a company in the Murica of coarse!! 🙂

Kwa hiyo ni nani aligundua Internet!?
 
Kwa hiyo ni nani aligundua Internet!?
Hio ni another story (and a long one too 😛), ila inshort kukujibu the US department of defence ndo ilikua ya kwanza kutengeneza Network ya kwanza kabisa kutumia Internet Protocol (Mfumo unaotumika kusafirisha data kwenye hii tunayoijua sasa kama internet)!! Hivyo hao ndo inventors of the internet!! After that network ikaanza kukua toka hapo
 
Huku Malaysia walau ping zimesikika mahali fulani kiasi cha kufahamu mahali ilipoangukia. Tunasubiri tu ku-locate blackbox.

Hamjasikia na ping za hiyo black box ya hiyo bodaboda?

Duh, nimechekaje! na hvi nimeshindwa kuachia shuka kutokana na mvua zinazoendelea ndani ya jiji letu hili! Kweli JF ni chaka kubwa.
 
hahaaa, unaongea kama unafunga uzi wakati mleta mada hajaelewa?!! hebu tusaidie kumwelewesha mleta mada hao intl isp wao isp wao ni nani?

Soma para ya pili nimeeleza

Umejuaje hajaelewa wakati haja comment au silence means no?

chief-mkwawa, cable na wi-fi same applies as mobile provider kulingana na majibu yako. Mf. Anaeweka kwenye restaurant atanunua kwa local isp na local kwa intl isp mpaka kwa mwenyewe anaetengeneza bytes
 
Last edited by a moderator:
Indeed kama fellow guys walivosema above no one actually owns the internet maana ni collection of Networks zikaunganishwa kuunda big networks na hizo big networks kuungwa zaidi na kutengeneza even bigger networks and so forth. Hivyo provided una computer yako or any network device wewe pia technically unamiliki internet maana the system is way complex to be owned by one person or company!! BUT however kuna company moja 'inayomiliki' / ku control one major aspect of the internet!! Nayo ni ICANN ambao ndo wanahusika kutoa domain name na IP addresses ambazo bila hizo huwezi kuingia on the internet!! Usipolipia domain name yako, account inafungwa na inakua wazi kwa mwingine kubeba. So unaweza sema zile physical infrastructure za internet sawa hakuna mmiliki lakin the World Wide Web inaendeshwa with these guys bila ruhusa yao who ever you are hauingii in the net!! Its a company in the Murica of coarse!! 🙂
Kwahiyo mkuu hawa secom fiber yao wameunga kwa hao jamaa?? au huyo jamaa ndo mtengenezaji pekee wa domain?? kama siyo kwanini domain zipo nyingi??je na wao wanaunga kwa huyo mwenye www.
 
Back
Top Bottom