Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,474
- 39,987
- Thread starter
- #61
Mzee ES, kama nimekuelewa vizuri ni kuwa JM bado ana influence kubwa kwenye chama, lakini haikumsaidia kwenye uchaguzi uliopita kwa vile aligeuka kinyume na ahadi aliyoitoa (ya kutokugombea nafasi hiyo). Jambo hilo ni kama lililomkuta Mzee Msekwa na mambo yote ya Uspika na ikarudi kumuuma. Sivyo?
Mangula ameripotiwa kwenye Mwananchi akitaka JK avunje mtandao uliosalia tangu uchaguzi, je huyu bwana anaweza kumfanya JK ageuze sikio kumsikiliza?
Mangula ameripotiwa kwenye Mwananchi akitaka JK avunje mtandao uliosalia tangu uchaguzi, je huyu bwana anaweza kumfanya JK ageuze sikio kumsikiliza?