Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,474
- 39,987
John Malecela
Rashid Kawawa
Jackson Makweta
Chrisant Mzindakaya
Joseph Warioba
Salim Ahmed Salim
Salmin Amour
Kingunge Ngombare Mwiru
Cleopa David Msuya
Dr. Abdalah Kigoda
Getrude Mongella
Pius Msekwa
Joseph Mungai
Brig. Gen (mstf.) Hassan Ngwilizi
Anna Makinda
Philip Marmo
Kwa kuanzia na majina hayo machache, kuna yeyote kati yao mwenye hadhi kuonekana kweli ni "kigogo" wa CCM? Kuna majina niliyoyasahau? Je watu hao bado wanaweza kukitikisa Chama cha Mapinduzi au ujiko wao umeanza kufifia kama mbalamwezi changa? Je CCM bado ina nafasi kwa watu kama hao au ndio imeshakuwa ni chama kinachoongozwa na maslahi ya watu wachache, kikiwaweka pembeni vigogo wake na hakuna mtu mwenye ubavu wa kukinyoshea kidole?