Nani anafaa kumrithi Makonda Dar es Salaam?

Nani anafaa kumrithi Makonda Dar es Salaam?

Ni mtawala gani ambaye unayemfahamu toka kuumbwa kwa dunia hii ambaye alitawala na watu hawakufa.

Watawala wote walio wahi kutawala na wanaoendelea kutawala lazima watu wafe....!!Kuna tofauti kubwa sana kati ya MTAWALA na KIONGOZI! . Zungumzia kuhusu KIONGOZI...si MTAWALA...Kiongozi yeyote HATOPENDA KUONA WATU WAKE WANAKUFA hata kidogo kwasababu tu za kipuuzi kama KUKOSOA UTAWALA wake au kutofautina kimawazo na kihoja...Never!

Baba wa Taifa hili Mwl JK Nyerere(rip) aliwahi kusema KUONGOZA NI KUONYESHA NJIA....siyo kulazimisha watu wafuate au wakubaliane na unavyotaka wewe tena nje ya misingi ya Katiba na Sheria....!!!.CCM NI CHAMA TA/TWAWALA ndo maana Watz wasio na hatia wanakufa na kupotezwa, kubambikiwa kesi na kufungwa pasi na sababu za msingi...!!!
 
Apewe Pascal Mayala ... Anafaa sana

Tatizo litakua kwenye hotuba zake itakua mafumbo matupu wachache ma GT tu ndio tutamuelewa ...

Guys,
Tuacheni mizaha kwenye swala la Uongozi. Kuwa Kiongozi inahitaji kipawa toka kwa Mungu na siyo swala la kujisikia tu au kupewa madaraka kwasababu tu wewe ni ndugu, kada au swahiba wa mtawala aliyeko kwenye kiti!!
 
IMG-20190509-WA0018.jpeg
 
Inategemea na raisi yupi aliepo au ajaye tusubiri tuone upepo unaendaje
 
Makonda inafaa arithiwe na Humphrey Polepole. Hakuna namna huyu jamaa ameshindwa kuperform kwa nafasi yake. Afutwe kazi majukumu yake apewe mwanachama mwingine wa CCM. Dar haijawahi kuwa na RC wa ajabu kama huyu tangu nchi hii ipate uhuru.
 
Watawala wote walio wahi kutawala na wanaoendelea kutawala lazima watu wafe....!!Kuna tofauti kubwa sana kati ya MTAWALA na KIONGOZI! . Zungumzia kuhusu KIONGOZI...si MTAWALA...Kiongozi yeyote HATOPENDA KUONA WATU WAKE WANAKUFA hata kidogo kwasababu tu za kipuuzi kama KUKOSOA UTAWALA wake au kutofautina kimawazo na kihoja...Never!

Baba wa Taifa hili Mwl JK Nyerere(rip) aliwahi kusema KUONGOZA NI KUONYESHA NJIA....siyo kulazimisha watu wafuate au wakubaliane na unavyotaka wewe tena nje ya misingi ya Katiba na Sheria....!!!.CCM NI CHAMA TA/TWAWALA ndo maana Watz wasio na hatia wanakufa na kupotezwa, kubambikiwa kesi na kufungwa pasi na sababu za msingi...!!!
Nyerere, kila Kitu Nyerere, yeye hakutawala?, watu hawakufa?, au ulikua hujazaliwa?, hata history hukusoma?
 
Huo mkoa wa DSM nadhani hauna haja yakuwa na RC.Ubaki chini ya Magifuli mwenyewe.Mkoa unachangamoto sana.

Japo makonda kavurunda sana lakini bado huo mkoa ni mtihani..Hata tukisema ubakie kama nchi pekee bado changamoto zake ni nyingi
 
Hili ni swali tu ndugu zangu , wala halina uhusiano na jambo lingine lolote .

Ieleweke kwamba Mkoa wa DSM kama ilivyo mikoa mingine umeishaongozwa na Wakuu tofauti tofauti wa Mkoa , kwa uchache nitaweka majina kadhaa , Tukianza na Marehemu Kandoro , Marry Chipungahelo , Mecky Sadik , Yusuph Makamba na Ditopile Mzuzuri

Uongozi ni kama mbio za kupokezana vijiti , leo huyu kesho yule , hakuna kiongozi wa milele .

Pendekeza jina la umtakaye hata kama itafika miaka 15 ijayo .

Wakati si milele
Ni Anthony Mtaka tu wa Simiyu ndiye ana mental apptitude, vision na ukomavu bila ulimbukeni wa kuiongoza Dar yetu to a great leap; japo watu wa Simiyu watasiskitika sana lakini bora ahamie dar our commercial capital ili aipe sura na mvuto mkubwa zaidi kwa wawekezaji, tumechoka na vipety projects vya DAB visivyoisha wala kuleta tija; mara tezi dume, mara mirathi, mara VVU, mara wajane, mara usafi!
 
Hili ni swali tu ndugu zangu , wala halina uhusiano na jambo lingine lolote .

Ieleweke kwamba Mkoa wa DSM kama ilivyo mikoa mingine umeishaongozwa na Wakuu tofauti tofauti wa Mkoa , kwa uchache nitaweka majina kadhaa , Tukianza na Marehemu Kandoro , Marry Chipungahelo , Mecky Sadik , Yusuph Makamba na Ditopile Mzuzuri

Uongozi ni kama mbio za kupokezana vijiti , leo huyu kesho yule , hakuna kiongozi wa milele .

Pendekeza jina la umtakaye hata kama itafika miaka 15 ijayo .

Wakati si milele
🤣🤣🤣🤣 mbona unajihami au unamuogopa makonda?
 
Back
Top Bottom