FisadiKuu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 8,108
- 13,346
Waswahili shida sana, amelipa Ticket ya ndege laki 4 ila Tax elfu 40 anaanza manenooSasa wewe una hela ya kupanda ndege halafu huna hela ndogo ya taxi?
Any way hii ni kawaida hata mambele huko, na ukiita uber au taxi binafsi, kuingia au kushusha wanachajiwa.
Hao Taxi wamesajiliwa kufanya kazi hapo tu airport, kwa hiyo lazima wajilinde kimaslahi.
Mna bahati ka airport kadogo unaweza kutembea mpaka nje barabarani, Airport kama Heathrow au Schiphol ni unatembea maili kadhaa ndio utaona nje.