Kuna Dalili Uwanja wa Ndege wa Abeid A.Karume Zanzibar Kuupita Uwanja wa Julius Nyerere Kwa Idadi ya Wasafiri Miaka Michache Ijayo.

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,109
49,811
Nawakumbusha tuu Kwa wasiojua ni kwamba uwanja wa ndege wa Abeid Amani Karume Zanzibar ni uwanja wa 3 ulio busy hapa Afrika Mashariki baada ya Jomo Kenyatta International Airport na Julius Nyerere International Airport Kwa kusafirisha wasafiri wengi,hakuna Cha Entebe,Kigali Wala Mombasa Airports..

Kwa Sasa uwanja wa AAKIA ndio unaongoza Tanzania Kwa kupokea Wageni wengi wa Kimataifa (international visitors) baada ya Kuupita Uwanja wa Ndege wa JNIA Dar.Ndio kusema uwanja Wetu wa Dar unauoita wa Zanzibar Kwa wasafiri wa ndani ya Nchi tuu.
Screenshot_20221008-151246.png


Kwa mujibu wa data kutoka Mamlaka ya Viwanja vya ndege Tanzania TAA kama zilivyonukuliwa na gazeti la the Citizen,zinaongesha kwamba mwaka 2022 ,Abeid Amani Karume Airport ilisagirisha Abiria milioni 1.77 (40% growth) dhidi ya Abiria milioni 2.4 (64% growth).

Kufuatia Ongezeko kubwa la Watalii mwaka huu wa 2023,Kuna uwezekano Uwanja wa Kimataifa wa ndege wa Abeid Amani Karume ukafikisha Wasafiri milioni 2 hivyo kuukaribia kabisa uwanja wa ndege wa JNIA Dar.

Mwisho congrats nyingi Kwa uwanja wa ndege wa KIA Kwa kujitahidi..


My Take
Umoja ni Nguvu na Utengano ni hasara.
 
Vipi Tanganyika bado mnapambania Bandari?
Sijui kwani Bandari zimeenda wapi?
Shehe jikite kwenye hoja iliyopo.mezani.
 
Nawakumbusha tuu Kwa wasiojua ni kwamba uwanja wa ndege wa Abeid Amani Karume Zanzibar ni uwanja wa 3 ulio busy hapa Afrika Mashariki baada ya Jomo Kenyatta International Airport na Julius Nyerere International Airport Kwa kusafirisha wasafiri wengi,hakuna Cha Entebe,Kigali Wala Mombasa Airports..

Kwa Sasa uwanja wa AAKIA ndio unaongoza Tanzania Kwa kupokea Wageni wengi wa Kimataifa (international visitors) baada ya Kuupita Uwanja wa Ndege wa JNIA Dar.Ndio kusema uwanja Wetu wa Dar unauoita wa Zanzibar Kwa wasafiri wa ndani ya Nchi tuu.

Kwa mujibu wa data kutoka Mamlaka ya Viwanja vya ndege Tanzania TAA kama zilivyonukuliwa na gazeti la the Citizen,zinaongesha kwamba mwaka 2022 ,Abeid Amani Karume Airport ilisagirisha Abiria milioni 1.77 (40% growth) dhidi ya Abiria milioni 2.4 (64% growth).

Kufuatia Ongezeko kubwa la Watalii mwaka huu wa 2023,Kuna uwezekano Uwanja wa Kimataifa wa ndege wa Abeid Amani Karume ukafikisha Wasafiri milioni 2 hivyo kuukaribia kabisa uwanja wa ndege wa JNIA Dar.

Mwisho congrats nyingi Kwa uwanja wa ndege wa KIA Kwa kujitahidi..


My Take
Umoja ni Nguvu na Utengano ni hasara.
Utali ndo major source ya uwanja wa ndege uwe buzy Kia na Abedi Karume ni vitovu vya utalii kuliko Dar, na hamna juhudi za kufufua utali Dar, nguvu zote na akili tunapoteza kwenye mijadala isio kua na tija kwa kwasasa, eti tuna pabania bandari wewe raia wakawaida ushinde maamuzi ya chama tawala CCM kwasbb ya kelele zako, wakati walishalipanga na kulitekeleza tayari.
 
Utali ndo major source ya uwanja wa ndege uwe buzy Kia na Abedi Karume ni vitovu vya utalii kuliko Dar, na hamna juhudi za kufufua utali Dar, nguvu zote na akili tunapoteza kwenye mijadala isio kua na tija kwa kwasasa
KIA vipi sio source na kitovu Cha Utalii?
 
Nawakumbusha tuu Kwa wasiojua ni kwamba uwanja wa ndege wa Abeid Amani Karume Zanzibar ni uwanja wa 3 ulio busy hapa Afrika Mashariki baada ya Jomo Kenyatta International Airport na Julius Nyerere International Airport Kwa kusafirisha wasafiri wengi,hakuna Cha Entebe,Kigali Wala Mombasa Airports..

Kwa Sasa uwanja wa AAKIA ndio unaongoza Tanzania Kwa kupokea Wageni wengi wa Kimataifa (international visitors) baada ya Kuupita Uwanja wa Ndege wa JNIA Dar.Ndio kusema uwanja Wetu wa Dar unauoita wa Zanzibar Kwa wasafiri wa ndani ya Nchi tuu.

Kwa mujibu wa data kutoka Mamlaka ya Viwanja vya ndege Tanzania TAA kama zilivyonukuliwa na gazeti la the Citizen,zinaongesha kwamba mwaka 2022 ,Abeid Amani Karume Airport ilisagirisha Abiria milioni 1.77 (40% growth) dhidi ya Abiria milioni 2.4 (64% growth).

Kufuatia Ongezeko kubwa la Watalii mwaka huu wa 2023,Kuna uwezekano Uwanja wa Kimataifa wa ndege wa Abeid Amani Karume ukafikisha Wasafiri milioni 2 hivyo kuukaribia kabisa uwanja wa ndege wa JNIA Dar.

Mwisho congrats nyingi Kwa uwanja wa ndege wa KIA Kwa kujitahidi..


My Take
Umoja ni Nguvu na Utengano ni hasara.

Hujui kulinganisha ili kujenga hoja. Ungepaswa kuleta data za uwanja wa Mwalimu Nyerere kisha ulinganishe na data za uwanja wa ndege wa Abedi Karume. Baada ya hapo, uonyeshe ni kwa kiasi gani uwanja wa Zanzibar umeongeza idadi ya abiria huku uwanja wa ndege wa JNIA, wateja wakipungua.


Anyway, hilo halitakaa liwezekane kamwe. Bali, uwanja wa ndege wa Kilimanjaro ndiyo utakuwa kinara wa kupokea ndege za Watalii miaka michache ijayo. Hii ni kutokana na ukweli kuwa KIA, upo karibu zaidi na vivutio vingi vya utalii huko Kanda ya Kaskazini.
 
Sijui kwani Bandari zimeenda wapi?
Shehe jikite kwenye hoja iliyopo.mezani.
Hakuna hoja Bali viroja. Chato Airport Hali ipoje huko?
 
Hujui kulinganisha ili kujenga hoja. Ungepaswa kuleta data za uwanja wa Mwalimu Nyerere kisha ulinganishe na data za uwanja wa ndege wa Abedi Karume. Baada ya hapo, uonyeshe ni kwa kiasi gani uwanja wa Zanzibar umeongeza idadi ya abiria huku uwanja wa ndege wa JNIA, wateja wakipungua.


Anyway, hilo halitakaa liwezekane kamwe. Bali, uwanja wa ndege wa Kilimanjaro ndiyo utakuwa kinara wa kupokea ndege za Watalii miaka michache ijayo. Hii ni kutokana na ukweli kuwa KIA, upo karibu zaidi na vivutio vingi vya utalii huko Kanda ya Kaskazini.
Mbona kama umekurupuka? Kwani hapo kwenye mada hakuna data za viwanja nilizoweka? Rudi kusoma
 
tatizo airport za tanzania bara usumbuvu mkubwa sana kuanzia watoza ushuru uhamiaji watu wa kilimo sijui afya mambo kibao zanzibar hawana usubufu kiviile
 
Back
Top Bottom