M O N S T E R
JF-Expert Member
- Sep 26, 2022
- 1,461
- 6,256
-Lissu amesema muhusika ni Jiwe, ukimya/kigugumizi cha serikali kukanusha wanamlinda nani?Kuna shahidi yoyote wa hilo tukio mkuu aliyekueleza alichokiona hadi sasa?
Inawezekana ndio maana wanasema muhusika wa ushahidi ni tundu mwenyewe na associates wake. Hii kesi haina hata mpita njia anayefahamu kilichotokea.
Au mimi ndio sijui?
-Footages za CCTV cameras huwa zinabaki kwenye severs hivyo kung'oa cameras si kikwazo cha footages kutokupatikana. Polisi kwa nini wanakalia kimya suala la hizo footages ambazo ndiyo kielelezo kisicho na longolongo?