Makonda ni muovu. Kama siyo muovu kwanini hajaenda Mahakamani kuwashitaki Lissu, Haji Manara, Clouds Media na Serikali ya Marekani?

Sexless

JF-Expert Member
Mar 11, 2017
21,563
50,415
Makonda hata ajifarague na kujibaraguza vipi mbele ya watanzania, yeye ni jambazi, mtekaji, mporaji na muuaji.

Niliowataja hapo juu walitoa shutuma za uhalifu wa Makonda hadharani kabisa.

Cloudsmedia walirusha kwa masaa 3 kwenye TV, shutuma za uvamizi wa Makonda kwenye jengo lao la matangazo tena usiku na kamera za CCTV zikamnasa.

Serikali ya Marekani iliandika waraka kumzuia Makonda kukanyaga ardhi yao wakidai ni muuaji (ananyima watu haki ya kuishi). Wakauweka waraka huo hadharani na mitandaoni.

Haji Manara alichapisha waraka ukimshutumu Makonda kupora nyumba ya GSM na akauweka waraka huo hadharani na mitandaoni.

Lisu kaongea hadharani kuwa Makonda anahusika ktk tukio la yeye kupigwa risasi.


Sasa muulizeni Makonda, kwamba mbona hajaenda mahakamani kupinga shutuma hizi ili kujisagisha?! Badala yake amekuwa akienda kulia na kuombewa na makasisi na mashehe?
 
Makonda hata ajifarague na kujinaragua vipi mbele ya watanzania, yeye ni jambazi, mtekaji, mporaji na muuaji.

Niliyowataja hapo juu walitoa shutuma za uhalifu wa Makonda hadharani kabisa.

Cloudsmedia walirusha kwa masaa 3 kwenye TV, shutuma za uvamizi wa Makonda kwenye jengo lao la matangazo tena usiku na kamera za CCTV zikamnasa.

Serikali ya Marekani iliandika waraka kumzuia Makonda kukanyaga ardhi yao wakidai ni muuaji (ananyima watu haki ya kuishi). Wakauweka waraka huo hadharani na mitandaoni.

Haji Manara alichapisha waraka ukimshutumu Makonda kupora nyumba ya GSM na akauweka waraka huo hadharani na mitandaoni.

Lisu kaongea hadharani kuwa Makonda anahusika ktk tukio la yeye kupigwa risasi.


Sasa muulizeni Makonda, kwamba mbona hajaenda mahakamani kupinga shutuma hizi ili kujisagisha?! Badala yake amekuwa akienda kulia na kuombewa na makasisi na mashehe?
Kwanini hao kina haji manara hawajaenda kumshitaki makonda?
 
Makonda hata ajifarague na kujinaragua vipi mbele ya watanzania, yeye ni jambazi, mtekaji, mporaji na muuaji.

Niliyowataja hapo juu walitoa shutuma za uhalifu wa Makonda hadharani kabisa.

Cloudsmedia walirusha kwa masaa 3 kwenye TV, shutuma za uvamizi wa Makonda kwenye jengo lao la matangazo tena usiku na kamera za CCTV zikamnasa.

Serikali ya Marekani iliandika waraka kumzuia Makonda kukanyaga ardhi yao wakidai ni muuaji (ananyima watu haki ya kuishi). Wakauweka waraka huo hadharani na mitandaoni.

Haji Manara alichapisha waraka ukimshutumu Makonda kupora nyumba ya GSM na akauweka waraka huo hadharani na mitandaoni.

Lisu kaongea hadharani kuwa Makonda anahusika ktk tukio la yeye kupigwa risasi.


Sasa muulizeni Makonda, kwamba mbona hajaenda mahakamani kupinga shutuma hizi ili kujisagisha?! Badala yake amekuwa akienda kulia na kuombewa na makasisi na mashehe?
wewe ni mjinga sana akili yako imejaa funza makonda ni mtu mhimu Sana katika Taifa hili hana muda wa kujibu hoja za kijinga na pia kujibizana na wapumbavu muda huo hana kabisa yuko busy kulijenga Taifa la Tanzania thamani yake ni kubwa hawezi kujishushia heshima kujibizana na kikundi cha wajinga wanaotumwa na wachaga wenye wivu na wenza

IQ Ya Makonda ni kubwa kuliko viongozi wote wa Chadema ni ukweli usiopingika kwamba makonda ni Kijana ambaye tunasubiria muda tu tumpe Urais wa nchi kwa ajili ya kufanya Makubwa kwa nchi kuliko kujibizana na wajinga wajinga wenye akili mbwebweto kama wewe
 
wewe ni mjinga sana akili yako imejaa funza makonda ni mtu mhimu Sana katika Taifa hili hana muda wa kujibu hoja za kijinga na pia kujibizana na wapumbavu muda huo hana kabisa yuko busy kulijenga Taifa la Tanzania thamani yake ni kubwa hawezi kujishushia heshima kujibizana na kikundi cha wajinga wanaotumwa na wachaga wenye wivu na wenza

IQ Ya Makonda ni kubwa kuliko viongozi wote wa Chadema ni ukweli usiopingika kwamba makonda ni Kijana ambaye tunasubiria muda tu tumpe Urais wa nchi kwa ajili ya kufanya Makubwa kwa nchi kuliko kujibizana na wajinga wajinga wenye akili mbwebweto kama wewe
Kwa jinsi ambavyo hukosekanagi katika nyuzi za aina hii ili umtetee bashite basi bila shaka wewe ndiye daud Albert bashite
 
wewe ni mjinga sana akili yako imejaa funza makonda ni mtu mhimu Sana katika Taifa hili hana muda wa kujibu hoja za kijinga na pia kujibizana na wapumbavu muda huo hana kabisa yuko busy kulijenga Taifa la Tanzania thamani yake ni kubwa hawezi kujishushia heshima kujibizana na kikundi cha wajinga wanaotumwa na wachaga wenye wivu na wenza

IQ Ya Makonda ni kubwa kuliko viongozi wote wa Chadema ni ukweli usiopingika kwamba makonda ni Kijana ambaye tunasubiria muda tu tumpe Urais wa nchi kwa ajili ya kufanya Makubwa kwa nchi kuliko kujibizana na wajinga wajinga wenye akili mbwebweto kama wewe
Kwahiyo serekali ya Marekani imetumwa na hao wachaga?
 
Makonda hata ajifarague na kujinaragua vipi mbele ya watanzania, yeye ni jambazi, mtekaji, mporaji na muuaji.

Niliyowataja hapo juu walitoa shutuma za uhalifu wa Makonda hadharani kabisa.

Cloudsmedia walirusha kwa masaa 3 kwenye TV, shutuma za uvamizi wa Makonda kwenye jengo lao la matangazo tena usiku na kamera za CCTV zikamnasa.

Serikali ya Marekani iliandika waraka kumzuia Makonda kukanyaga ardhi yao wakidai ni muuaji (ananyima watu haki ya kuishi). Wakauweka waraka huo hadharani na mitandaoni.

Haji Manara alichapisha waraka ukimshutumu Makonda kupora nyumba ya GSM na akauweka waraka huo hadharani na mitandaoni.

Lisu kaongea hadharani kuwa Makonda anahusika ktk tukio la yeye kupigwa risasi.


Sasa muulizeni Makonda, kwamba mbona hajaenda mahakamani kupinga shutuma hizi ili kujisagisha?! Badala yake amekuwa akienda kulia na kuombewa na makasisi na mashehe?
wachaga walijifanya wao ndio wamiliki wa nchi hii waliunda vikundi vya kuua na kuangamiza watu wakiongozwa na Mbowe kwani tunajua kuwa baada ya Ben saanane kutaka kugombea Uenyekiti wa Chadema Mbowe alimfanyia kitu Mbaya kwa nini Mbowe huyy gaidi lililoshitakiwa Tanzania liongoze kikundi cha kigaidi kuua na kuchoma mji wa Dar wote huyu mtu ety anaongoza wajinga Sana
 
IQ Ya Makonda ni kubwa kuliko viongozi wote wa Chadema ni ukweli usiopingika kwamba makonda ni Kijana ambaye tunasubiria muda tu tumpe Urais wa nchi kwa ajili ya kufanya Makubwa kwa nchi kuliko kujibizana na wajinga wajinga wenye akili mbwebweto kama wewe
Anayeweza kumuona Makonda ana IQ kubwa ni ama Makonda mwenyewe au kimada wake. Wewe ni yupi kati ya hao 2?
 
Back
Top Bottom