Makonda hata ajifarague na kujibaraguza vipi mbele ya watanzania, yeye ni jambazi, mtekaji, mporaji na muuaji.
Niliowataja hapo juu walitoa shutuma za uhalifu wa Makonda hadharani kabisa.
Cloudsmedia walirusha kwa masaa 3 kwenye TV, shutuma za uvamizi wa Makonda kwenye jengo lao la matangazo tena usiku na kamera za CCTV zikamnasa.
Serikali ya Marekani iliandika waraka kumzuia Makonda kukanyaga ardhi yao wakidai ni muuaji (ananyima watu haki ya kuishi). Wakauweka waraka huo hadharani na mitandaoni.
Haji Manara alichapisha waraka ukimshutumu Makonda kupora nyumba ya GSM na akauweka waraka huo hadharani na mitandaoni.
Lisu kaongea hadharani kuwa Makonda anahusika ktk tukio la yeye kupigwa risasi.
Sasa muulizeni Makonda, kwamba mbona hajaenda mahakamani kupinga shutuma hizi ili kujisagisha?! Badala yake amekuwa akienda kulia na kuombewa na makasisi na mashehe?
Niliowataja hapo juu walitoa shutuma za uhalifu wa Makonda hadharani kabisa.
Cloudsmedia walirusha kwa masaa 3 kwenye TV, shutuma za uvamizi wa Makonda kwenye jengo lao la matangazo tena usiku na kamera za CCTV zikamnasa.
Serikali ya Marekani iliandika waraka kumzuia Makonda kukanyaga ardhi yao wakidai ni muuaji (ananyima watu haki ya kuishi). Wakauweka waraka huo hadharani na mitandaoni.
Haji Manara alichapisha waraka ukimshutumu Makonda kupora nyumba ya GSM na akauweka waraka huo hadharani na mitandaoni.
Lisu kaongea hadharani kuwa Makonda anahusika ktk tukio la yeye kupigwa risasi.
Sasa muulizeni Makonda, kwamba mbona hajaenda mahakamani kupinga shutuma hizi ili kujisagisha?! Badala yake amekuwa akienda kulia na kuombewa na makasisi na mashehe?