Namuonea huruma mama Lucy Nkya

Namuonea huruma mama Lucy Nkya

TAWA na Kisewe ni wajinga wanaoamini katika ukabila na ndio tatizo la Waluguru.
hawaoni Miji iiliyoendelea Arusha, Dar-es-salaam, Mwanza kunamakabila mchanganyiko ambako Waluguru hawapo huko.
Kuna Makabila ambayo yanajihusisha na Biashara au Siasa Waluguru hawapo

Cha muhimu waache roho mbaya, mgeni yeyote ni mtanzania

Huenda mawazo yako yapo sawa ila namna ambavyo umewasilisha ndiyo tatizo. huyu mama tunayemzungumzia ana takriban mwaka Wa kumi kama si kumi na tano lakini hakuna maendeleo zaidi ya kuwatumia waluguru kama daraja. Barabara mbovu, zahanati duni, majimbo yote mawili ya Moro (V) hakuna Shule hata moja ya high school. wilaya nzima vituo vya polisi ni vitatu tu.
 
Na wewe umekosea;alianza Mwl J.K.Nyerere kutoka Butiama mkoani Mara enzi za bunge la Tanganyika.Maisha yakasonga wakaibuka sasa waliofatia wakiwemo hao na kina Abbas Gulamali.Kiufupi mkoa wa Morogoro wako poa sana kuondoa ile dhana ya "Uzawa"
Kuna ka mkoa fulani kaskazini mwa nchi yetu nakachukia sana kwa kuwabagua watu kiuongozi kisa si Wazawa.As long as naichukia CCM huyu mama aondolewe tu but si kwa fact ya "uzawa",
Wabhejasana!!

whabhejakulumba
 
Huenda mawazo yako yapo sawa ila namna ambavyo umewasilisha ndiyo tatizo. huyu mama tunayemzungumzia ana takriban mwaka Wa kumi kama si kumi na tano lakini hakuna maendeleo zaidi ya kuwatumia waluguru kama daraja. Barabara mbovu, zahanati duni, majimbo yote mawili ya Moro (V) hakuna Shule hata moja ya high school. wilaya nzima vituo vya polisi ni vitatu tu.
ni vigumu kukuelewesha
na kwa vile mlikuwa na Mustafa Mkulo, kina Abood mkae mkijua Mbunge huwa haleti vipa umbele peke yake km ulivyovitaja Barabara Zahanati Maabara nk ni ninyi Wananchi
Kitu nilichokipinga ni kuuweka ukabila, ndio maana nikataja Jimbo la Temeke - Masumbuko Lamwai, Augustino Lyatongana majimbo kibao yana wabunge wa makabila ya nje.
Kitendo cha wenzako kusema wawaweke UKAWA tu kwa vile Mgombea wa CCM hatokei hapo ndipo sikupapenda
 
Ila tuna kazi ya kufanya kidogo. huku wazee wengi hawaamini kabisa upinzani wengi wanafikiri kuwa upinzani ni vita.

Nikweli lkn mimi nimetembelea Vijiji km Tununguo Mkulazi Magogoni Kidunda n.k.Tatizo kubwa la kule ni kuboreshwa Daftari kuna vijana wengi wanamwamko wa mabadiliko tatizo ni kujiandikisha hapa nilipo kuna Vijana wako kwenye hivyo vijj wanataka kuwasiliana.na Ofisi za cdm kupata support ya vifaa lkn imekuwa ngumu kweli kweli kuwapata ss wengine tunajikuna tunapoweza kusaidia lkn kiukweli Vijana hawataki upumbavu,,,,!
 
Nawewe ndugu acha ujinga hebu tutajia Kabila iliyopiga ESCROW
You are jus as naive as everyone else hujui unachoongea. Asilimia 70 ya fedha zipo wapi? Mbona huo mgao wake hakuna anayejua? Hakuna muamala wowote wa benki kama ushahidi. Hizo hela anazo nani. Kwanini hakuna aliyewajibishwa mpaka dakika hii? Unajua maana ya bargaining chip? Ukiweza kujua majibu yote hayo njoo tuongee.
 
You are jus as naive as everyone else hujui unachoongea. Asilimia 70 ya fedha zipo wapi? Mbona huo mgao wake hakuna anayejua? Hakuna muamala wowote wa benki kama ushahidi. Hizo hela anazo nani. Kwanini hakuna aliyewajibishwa mpaka dakika hii? Unajua maana ya bargaining chip? Ukiweza kujua majibu yote hayo njoo tuongee.

Wewe unaejua kwanini ucweke huo ushahidi.....!
 
Tunahitaji mtu sahihi Kule! Basi!!!!!!!!
 
You are jus as naive as everyone else hujui unachoongea. Asilimia 70 ya fedha zipo wapi? Mbona huo mgao wake hakuna anayejua? Hakuna muamala wowote wa benki kama ushahidi. Hizo hela anazo nani. Kwanini hakuna aliyewajibishwa mpaka dakika hii? Unajua maana ya bargaining chip? Ukiweza kujua majibu yote hayo njoo tuongee.

Toka hapa we mbumbumbu na porojo zako za kijinga. Kwa hiyo kamati ya PAC takukuru, na CAG wote ni wajinga ila wewe kicha.a mmoja tu Ndo mwelevu?
 
Tunahitaji mtu sahihi Kule! Basi!!!!!!!!
Mtaendelea kutawaliwa na wageni. Mamam Nkya hatoki pale. Na yule ambaye mkifa anawapa gari la kuzikia ndo mnamuoa wa maana naye mluguru yule?:msela:
 
Toka hapa we mbumbumbu na porojo zako za kijinga. Kwa hiyo kamati ya PAC takukuru, na CAG wote ni wajinga ila wewe kicha.a mmoja tu Ndo mwelevu?
Tukaneni matusi mpaka mmalize:becky::becky:. Lakini mluguru mkwere na mzaramo hawafai kuwa viongozi. Wee kaa chini kunywa kahawa subiri upate busha lakini uongozi wa nchi from now hapana
becky.gif
becky.gif
 
Waluguru wazaramo, na wakwere. Mwisho wa kuwa na nafasi nyeti serikalini ni 2015. Hutakii kanyweee sumu:becky:

Mluguru nani unayemjua ana nafac kubwa serikalini? Ntajie walau wawili tu. Alafu Nambie je labda walichaguliwa bila ya kuwa na sifa.
 
Tukaneni matusi mpaka mmalize:becky::becky:. Lakini mluguru mkwere na mzaramo hawafai kuwa viongozi. Wee kaa chini kunywa kahawa subiri upate busha lakini uongozi wa nchi from now hapana
becky.gif
becky.gif

We si una faili mirembe asiyekujua nani?
 
Mluguru nani unayemjua ana nafac kubwa serikalini? Ntajie walau wawili tu. Alafu Nambie je labda walichaguliwa bila ya kuwa na sifa.
Wakwere na waluguru si wajomba etii. Mweee. Za mitondoo mjomba:becky:
 
Alafu utakuta mtu kama huyu TAWA ana familia, kwa akili sifuri kama hii post yake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom