Namuonea huruma mama Lucy Nkya

Namuonea huruma mama Lucy Nkya

Naskia morogoro kusini ambako sasa hivi yupo Inocent karogelesi ataenda kugombea prospa Mbena afu kalogeres anaenda morogoro kusini mashariki kwa Lucy nkya
Ila hawa wote ni vimeo aisee yani hakuna hata mwenye afadhari.
Mfano kalogeresi
1.hajui hata kuongea wala kujenga hoja kuanzia jimboni kwake mpaka bungeni.
2.Syo mwenyeji wa morogoro kusini so halijui jimbo vizuri kuanzia wananchi,maeneo na matatizo yao.
3.Hana msaada kwa wananchi kwani kuna vijana wanashindwa mpaka kulipa ada kwenye shule za kata na wanafukuzwa shule ikiwa ni government skul lakini mbunge anauchapa usingizi tuu.
4.Elimu yake magumashi na yakuunga unga tuu.
5.Syo mbunifu wa kutatua kero za wananchi jimboni kwake na anafumbia macho maovu ikiwamo migogoro ya wakulima na wafugaji ilooanza kujitokeza kisaka pamoja na mauaji ya kikongwa bwakira juu

Ila inasemekana kuna kijana makini sana anaitwa James Mbena anajipanga kwenda kugombea jimbo la morogoro kusini kama cyo mwakani basi ni 2020..
Huyu kijana ni mzaliwa wa konde matombo morogoro na elimu yake ni:-
2001-2004 =O level matombo secondary

2005-2007=A level at Changarawe high school mafinga mkoani iringa

2007-2010=Bachelor degree in Political science and public administration from UDSM

2013-2014= Masters of science in Human Resources Management from Mzumbe university
Aisee hii ni CV yake kwa ufupi ila kiukweli huyu kijana ni tishio

Tafadhali kama yupo humu namshauri aachane na ccm Npo hapa mtamba kuna kampeni ya ccm na chadema, ccm hakuna hoja kabisa ila Kwa chadema watu nyomi na hoja tele
 
kulikuwa na mtu anaitwa mwinyigoha ambaye alikuwa ni naibu waziri Wa ujenzi lakini barabara ya morogoro Matombo haijalamba rami tangu Uhuru. magari hayapishani katika barabara hii. huyu karogeresi naye anamaliza hakuna jipya zaidi ya umeme Kwa msaada Wa REA kitu ambacho hata yeye asingekuwepo umeme ungekuja tu.
 
yupo busy akimwandalia mwanae mazngira ya kuchukua jimbo la mikumi.
 
yupo busy akimwandalia mwanae mazngira ya kuchukua jimbo la mikumi.

Mikumi mwakani mbunge wao ni profesa j wakati morogoro mjini mbunge wao atakuwa afande Sele.
 
Karogeresi ni kilaza sana aisee...
tunahitaji kiongozi makini kuiokoa morogoro kusini.
Haiwezekani matunda yanaoza kwa kukosa wanunuzi ama kununuliwa kwa bei ya inyonyaji wakat huku town juice yunanunua bei juu.matombo kuna machungwa,ndizi na maembe kibao lakini viongozi wanashindwa hata kutafuta wawekezaji kwenda kujenga kiwanda cha kusindika juice ili bei ya mazao ipande.
Pia wilaya nzima ya morogoro vijijini haina hata high skull Moja ya kusoma form5&6 aisee hili janga.
Pia wilaya ya morogoro vijijini haina mkuu wa wilaya wake maalumu bali inaongozwa na mkuu wa wilaya ya morogoro mjini tangia tupate Uhuru.
Pia wilaya nzima ya morogoro vijijini inaongozwa na halmashauri ambayo ofisi zake zote zipo mjini which means dizain kama tunaendeshwa kwa "remont"
Morogoro vijijini hospital yetu ya wilaya ni tawa lakini hata jino likikaa vibaya unaambiwa nenda morogoro na kuna rekodi kuwa watu wanaogopa kung'olewa pale co vitendea kazi na wataalam duni.hospital haina hata x-ray maskini juz kati mtoto wa mjombaangu kaanguka avoenda kapewa vidonge tuu lakini avoletwa mjini kupigwa x ray kumbe mkono umevunjika je c ungeoza huu
Hospital haina hata kitengo cha upasuaji wajawazito maskini mama zetu c wapo hatarini sana.
So huu ni miongoni mwa ujinga unaofumbiwa macho na viongoz wetu.
Wananchi wa morogoro kusini na morogoro vijijini kwa ujumla tuamke tushikamane tuwe kitu kimoja lasivo tutaendelea kuwa duni.
Haiwezekani wilaya inamadini kibao lakini wachimbaji wadogo hawajengewi uwezo wakanufaika vya kutosha.
Ukienda seruu mbuga inawanyama kibao lakini ukikutwa na kipande cha nyama pori utaambiwa jangiri jamani huu c unyanyasaji wakati watu wanabeba meno ya tembo daily
 
Chama kipi cha UKAWA chenye nguvu hapo kishike hatamu Mara moja

Jimbo lile ni Kubwa sana lina KATA14 kuna maeneo CDM kuna maeneo.CUF kwingine CCM bado wananguvu chakufanya jamaa wa UKAWA wafanye utafiti wakutosha lile JIMBO liko wazi halina mwenyewe kwa sasa
 
Huyo hapo chini ni aliyekuwa mbunge Wa morogoro kusini ndugu hamza a. Mwenegoha pia naibu waziri Wa ujenzi Kwa miaka mitano hakuweka hata changarawe katika barabara hata moja katika jimbo lake.
 

Attachments

  • 1418137878477.jpg
    1418137878477.jpg
    5.6 KB · Views: 681
Kama kuna wabunge Wa chama cha mapinduzi wenye wakati mgumu katika harakati za kurudi bungeni baada ya uchaguzi Mkuu Wa mwakani 2015 basi mbunge Wa morogoro kusini mashariki, mama Lucy Nkya ana kazi kubwa mno.
Huyu mama hakubaliki hata na watoto wadogo kwenye jimbo lake kwani:
1. Anahusishwa na kifo cha aliyekuwa diwani Wa kinole (ccm) Kwa kuwa walikuwa wakigombania nyumba ambayo mama alimuonga diwani huyo ili awashawishi wananchi ambao hawamtaki mama.
2. Mama nkya siyo mzawa Wa eneo husika hivyo watu Wa kiloka, mkuyuni pamoja na kinole ambao Kwa asili ni waluguru wamechoka kutawaliwa na Mgeni Kwa miaka sasa wakati eneo hilo lina wazawa wengi wenye sifa.
3.Hakuna maendeleo yoyote ambayo yamefanyika toka kuja Kwa mama huyu. Soko lililojengwa mkuyuni ni kazi nzuri ya mwenyekiti Wa kijiji (CUF) Kwa kushirikiana na diwani wake. Mama huyu haonekani jimboni.
KWA MAEKEZO HAYA, MAMA TAFUTA CHAKA MAPEMA.
Hiyo sababu ya pili naomba uiondoe,kwani moro ni mkoa wenye sifa ya kuongozwa na wabunge wahindi na waarabu,
je hao nao ni waluguru? nilitegemea kwamba wananchi wameamka na kutaka ukombozi wa kifikra kwa kumsimamisha mpinzani. kama ni mambo ya ukabila
washindwe tu.
 
Hiyo sababu ya pili naomba uiondoe,kwani moro ni mkoa wenye sifa ya kuongozwa na wabunge wahindi na waarabu,
je hao nao ni waluguru? nilitegemea kwamba wananchi wameamka na kutaka ukombozi wa kifikra kwa kumsimamisha mpinzani. kama ni mambo ya ukabila
washindwe tu.

Nafikiri wahindi na warabu watafute machaka mapema
 
Watu wa Morogoro wengi ni wafupi,na akili zao hivyo hivyo.Wageni wameendelea kuwatawala toka enzi za ukoloni hadi sasa.uhuru wao hadi wachague UKAWA ndio utakuwa uhuru wao wanaupata kwa mara ya kwanza.Huyu mhindi wa sasa nasikia kaupata ubunge kwa kutoa basi moja kusaidia kwenye misiba ndo kamaliza.Sisi huku kwetu Singida huyu mhindi awamu moja tu inamtosha,anapigwa chini
 
kuna mbunge tz anaitwa lucy nkya?? ndo namsikia leo kweli uchaguzi umekaribia
 
Watu wa Morogoro wengi ni wafupi,na akili zao hivyo hivyo.Wageni wameendelea kuwatawala toka enzi za ukoloni hadi sasa.uhuru wao hadi wachague UKAWA ndio utakuwa uhuru wao wanaupata kwa mara ya kwanza.Huyu mhindi wa sasa nasikia kaupata ubunge kwa kutoa basi moja kusaidia kwenye misiba ndo kamaliza.Sisi huku kwetu Singida huyu mhindi awamu moja tu inamtosha,anapigwa chini

Kwa hivyo nanyinyi huko singida akili zenu zipoje? Maana pia mnatawaliwa! Nahisi mna m.avi kwenye vichwa vyenu.
 
Mama huyo anafanya kazi nzuri na anahuruma na hao watu wake.Hakuna wa kumtoa hapo atleast hao waliionyesha nia woote hovyo

Kuna maendeleo yoyote huko?
 
Kuna maendeleo yoyote huko?

Kiukweli hakuna labda huyo anayesema huyu mama ana huruma na watu atuambie. Maana barabara ni mbovu, jimbo lake maji ni shida hospital matatizo
 
Yapo...Amejenga dispensary,Daraja la mtombozi linajengwa kwa mil 525 sasa,Barabara inaanza kuchongwa pia.Project ya bwawa imeanza na wananchi washalipwa
 
kwani huyu mama ilikuwaje akapewa ubunge na siyo mzaliwa?halafu watu wa Morogoro wapo nyuma sana,kuna waarabu kibao na wahindi wanawatawala huko,tabia ya watu wa morogoro ni ubishi na kujiona wanajua halafu wavivu,acha waendelee kutawaliwa na wageni

Jamani mbona tunaleta ubaguzi? Kwani mtu haruhusiwi kugombea mahali anapoishi? Nadhani tunavuka mstari wa ustaarabu. Akataliwe kwa sababu nyingine siyo ya ugeni. Kwani wanaogombea Dar es Salaam wote ni Wazaramo?
 
Hivi zile risasi walizorushiana na mwanawe ziliishiaje ?
 
Huyo hapo chini ni aliyekuwa mbunge Wa morogoro kusini ndugu hamza a. Mwenegoha pia naibu waziri Wa ujenzi Kwa miaka mitano hakuweka hata changarawe katika barabara hata moja katika jimbo lake.
Ukimwangalia sura tu ana kila dalili ya roho mbaya .
 
Naskia morogoro kusini ambako sasa hivi yupo Inocent karogelesi ataenda kugombea prospa Mbena afu kalogeres anaenda morogoro kusini mashariki kwa Lucy nkya
Ila hawa wote ni vimeo aisee yani hakuna hata mwenye afadhari.
Mfano kalogeresi
1.hajui hata kuongea wala kujenga hoja kuanzia jimboni kwake mpaka bungeni.
2.Syo mwenyeji wa morogoro kusini so halijui jimbo vizuri kuanzia wananchi,maeneo na matatizo yao.
3.Hana msaada kwa wananchi kwani kuna vijana wanashindwa mpaka kulipa ada kwenye shule za kata na wanafukuzwa shule ikiwa ni government skul lakini mbunge anauchapa usingizi tuu.
4.Elimu yake magumashi na yakuunga unga tuu.
5.Syo mbunifu wa kutatua kero za wananchi jimboni kwake na anafumbia macho maovu ikiwamo migogoro ya wakulima na wafugaji ilooanza kujitokeza kisaka pamoja na mauaji ya kikongwa bwakira juu

Ila inasemekana kuna kijana makini sana anaitwa James Mbena anajipanga kwenda kugombea jimbo la morogoro kusini kama cyo mwakani basi ni 2020..
Huyu kijana ni mzaliwa wa konde matombo morogoro na elimu yake ni:-
2001-2004 =O level matombo secondary

2005-2007=A level at Changarawe high school mafinga mkoani iringa

2007-2010=Bachelor degree in Political science and public administration from UDSM

2013-2014= Masters of science in Human Resources Management from Mzumbe university
Aisee hii ni CV yake kwa ufupi ila kiukweli huyu kijana ni tishio

upuuzi wa cv huku kichwa kimejaa maji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom