Namuogopa sana lizy!

Namuogopa sana lizy!

Kaka hao hawazungumzwi tena wamegeuza kijiwe cha story zingine!

JF offside nyingi sana, watu wanacheza nje ya uwanja. Inabidi refaree awe makini na hizi offmada.
 
Ninapofikiria kupost chochote kile huku kwenye jukwaa la mahusiano mara nyingi huwa namfikiria Lizy. Nalazimika kuipitia kazi yangu mpaka mara kumi hata iwe ndogo vipi, sababu ya kufanya yote hayo ni kujiandaa na changamoto ninazoweza kuzipata kutoka kwa Lizy. Duh, yaani huyu dada namuogopa sana labda anikosoe kwa maandishi haya ambayo nimeamua kuandika bila kuyakagua. Yote kwa yote huwa najiuliza huyu dada kama ni mke wa mtu inakuwaje huko kwa mumewe?
Utakonda bure wewe!! Mtu mwenyewe hata hamuonani, embu jiamini kuanzia leo kukosolewa ndo mpango mzima ili upate kusugua kichwa vizuri!
 
Wanaume kwa Ubunifu hamjambo. kila kukicha Paragraph ya Kuanzia inazinduliwa.

Ila nimegundua humu JF mwanaume akitaka kukutongoza anakuanzishia sredi.

Umeisha anzishiwa ngapi?

Tiba
 
matatizo ya psychology mabaya sana.....tena sana basi tu.......
 
kuna thread moja uliwahi kuianzisha humu inasema ''dada yangu anataka kumuua mwane''.....ninaposoma na hii thread yako ya leo hii naona kama kuna tatizo katika famila yenu la kisaikolojia sio bure..........frustration is killing you....

wewe unasumbuliwa na Agora phobia.....
dada yako anasumbuliwa na social phobia

 
Ninapofikiria kupost chochote kile huku kwenye jukwaa la mahusiano mara nyingi huwa namfikiria Lizy. Nalazimika kuipitia kazi yangu mpaka mara kumi hata iwe ndogo vipi, sababu ya kufanya yote hayo ni kujiandaa na changamoto ninazoweza kuzipata kutoka kwa Lizy. Duh, yaani huyu dada namuogopa sana labda anikosoe kwa maandishi haya ambayo nimeamua kuandika bila kuyakagua. Yote kwa yote huwa najiuliza huyu dada kama ni mke wa mtu inakuwaje huko kwa mumewe?
Una uhakika kama Lizy ni mwanamke? hii ni JF ya zaidi uijuavyo,......
 
JFkwa upupu? Sa Lizy ndo nani? Acha ujinga we kijana!
 
ninapofikiria kupost chochote kile huku kwenye jukwaa la mahusiano mara nyingi huwa namfikiria lizy. Nalazimika kuipitia kazi yangu mpaka mara kumi hata iwe ndogo vipi, sababu ya kufanya yote hayo ni kujiandaa na changamoto ninazoweza kuzipata kutoka kwa lizy. Duh, yaani huyu dada namuogopa sana labda anikosoe kwa maandishi haya ambayo nimeamua kuandika bila kuyakagua. Yote kwa yote huwa najiuliza huyu dada kama ni mke wa mtu inakuwaje huko kwa mumewe?


mumewe nipo hapa,habari yako bwana mdogo!
 
Back
Top Bottom