Namuogopa sana lizy!

Namuogopa sana lizy!

wewe dada niliwahi kukuona wapi vile... tehe tehe tehe!
 
Gazeti naona kama unanisingizia...sidhani hata kama nimewahi kukukosoa ndugu yangu!
 
Wanaume kwa Ubunifu hamjambo. kila kukicha Paragraph ya Kuanzia inazinduliwa.

Ila nimegundua humu JF mwanaume akitaka kukutongoza anakuanzishia sredi.
 
Eti ikala kwake una hakika gani na hilo??inaweza kuwa ilikula kwako bwanmzee,tatizo wanaume mnafikiria mwanamke akiamua kutembea na ww ni kwa faida yenu tu

Tehee!! Kumbe huwa naovaluku
 
Wanaume kwa Ubunifu hamjambo. kila kukicha Paragraph ya Kuanzia inazinduliwa.

Ila nimegundua humu JF mwanaume akitaka kukutongoza anakuanzishia sredi.

Vivian na mimi nikija na siredi nitakupata
 
Wanaume kwa Ubunifu hamjambo. kila kukicha Paragraph ya Kuanzia inazinduliwa.

Ila nimegundua humu JF mwanaume akitaka kukutongoza anakuanzishia sredi.

VIVIAN unaonekana ni mkali sana wewe, mimi nakuogopa sana
 
Wanaume kwa Ubunifu hamjambo. kila kukicha Paragraph ya Kuanzia inazinduliwa.Ila nimegundua humu JF mwanaume akitaka kukutongoza anakuanzishia sredi.
Mtazamo huu unaweza kuwa kweli lakini kuna wengine hawana mpango huo!
 
mdada akukuambia sikupendi ujue huyu yuko radhi hata kumeza chupa akikukosa. Nakupenda pia
akupende nani mchungaji mwenyewe unakula kondoo wa bwana.kwa nini ulisema kwenye jamvi mimi ni lizy?
 
Back
Top Bottom