Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,056
hahahaha....kweli long tym mkuu...mpaka na avatar umebadili?? Hope hamna kilichoharibika lakin!!Mzee wa ripua upo? siku nyingi sana mkuu
hahahaha....kweli long tym mkuu...mpaka na avatar umebadili?? Hope hamna kilichoharibika lakin!!Mzee wa ripua upo? siku nyingi sana mkuu
Imekuwaje ukaibua hii sredi..duh!!
Kuna mfukunyuku ( Heaven on Earth) mmoja ka-like comment yangu moja ya huku nikajikutamo humu.
Mkuu Rejao upo? Last time ulikuwa Jengo la Posta ukitupa habari za ndugu zetu walioandamana. Since then sijakusomaga kabisa mkuu!!!!
Si useme tu unamtamani.