Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,028
- 59,657
yuko hapa anabishana na thread nzima .. ngoja tumpe upendeleo maalmu ajitaje mwenyeweNaomba unikumbushe mshindi utu uzima wanisumbua
yuko hapa anabishana na thread nzima .. ngoja tumpe upendeleo maalmu ajitaje mwenyeweNaomba unikumbushe mshindi utu uzima wanisumbua
yuko hapa anabishana na thread nzima .. ngoja tumpe upendeleo maalmu ajitaje mwenyewe
Mama nanihii... naona vijana sasa wamekuzoea angalia usikute taraka yako ngerinaro!Hahhahaha...baba nanii sasa ndio nini hivi?!
Mtumishi wa mungu nilikata rufaa, nina imani zoezi litarudiwa upya baada ya Tanzania kuanza angalau kuwa na kaumeme ka mashaka atleast ( maana umemem wa uhakika chini ya utawala wa magamba sahau ).Naomba unikumbushe mshindi utu uzima wanisumbua
Sasa kwani kosa ni langu jamani?!Badala ya kunitisha mimi na talaka ungewatisha wao na panga ili wakae mbali.Mama nanihii... naona vijana sasa wamekuzoea angalia usikute taraka yako ngerinaro!
Mama Ngutunyi??? Jamani mnatuvunja mbavu na hayo majina yenu!Hatuna Lizy ndani ya jf tulienae anaitwa Lizzy! Huyo LIZY unaemwogopa ni mke wa mkulya flani ni mshari balaa!anajulikana zaidi kama mama Ngutunyi!
Wewe ndio mshindi...Kiongozi haitotokea akajitangaza nisaidie mkuu ni nani huyo?
Wewe ndio mshindi...
Kwasababu sili watu!!Mbona mimi sikuogopi!
Huyo jamaa kenye red hapo ana gari mpya sasa hivi hana hata mda wa kuja hapa JF kila mda yuko barabaraniMtumishi wa mungu nilikata rufaa, nina imani zoezi litarudiwa upya baada ya Tanzania kuanza angalau kuwa na kaumeme ka mashaka atleast ( maana umemem wa uhakika chini ya utawala wa magamba sahau ).
Rufaa yangu ni kwamba @ New York, USA, hakutendewa haki ameporwa ushindi wake. maana ana uwezo wa kwenda kuwalia nyama choma ili arudi na energy ya kutosha kubishana.
mumewe nipo hapa,habari yako bwana mdogo!
Kwahiyo na yeye amekuwa kama wale watoto wa kidosi wanavyosumbuwaga watu na makelele ya magari yao jioni wakishavuta SHISHA mitaa ya Masaki?Huyo jamaa kenye red hapo ana gari mpya sasa hivi hana hata mda wa kuja hapa JF kila mda yuko barabarani
Yupp!!Kwani kuna ubaya.?!haaah haaah haaah dah Jf bana duh, we Lizzy huyu ndo mumeo?!
Nashukuru Mungu haiko ndani ya uwezo wako!!!Kwahiyo na yeye amekuwa kama wale watoto wa kidosi wanavyosumbuwaga watu na makelele ya magari yao jioni wakishavuta SHISHA mitaa ya Masaki?I wish ungekuwa uwezo wangu @ New York, USA, tungemuozesha Lizy hii ingekuwa ndoa ya aina yake.
opposite is trueKwasababu sili watu!!
huyu hana makelele wala shida na mtu .. yeye ugonjwa wake ni kupiga misele tu na nissan yake mpya hadi ichakae ndio utamuona hapa JFKwahiyo na yeye amekuwa kama wale watoto wa kidosi wanavyosumbuwaga watu na makelele ya magari yao jioni wakishavuta SHISHA mitaa ya Masaki?
I wish ungekuwa uwezo wangu @ New York, USA, tungemuozesha Lizy hii ingekuwa ndoa ya aina yake.
Ninapofikiria kupost chochote kile huku kwenye jukwaa la mahusiano mara nyingi huwa namfikiria Lizy. Nalazimika kuipitia kazi yangu mpaka mara kumi hata iwe ndogo vipi, sababu ya kufanya yote hayo ni kujiandaa na changamoto ninazoweza kuzipata kutoka kwa Lizy. Duh, yaani huyu dada namuogopa sana labda anikosoe kwa maandishi haya ambayo nimeamua kuandika bila kuyakagua. Yote kwa yote huwa najiuliza huyu dada kama ni mke wa mtu inakuwaje huko kwa mumewe?